Ungependa kukutana na hawa JF members?

Ungependa kukutana na hawa JF members?

Kumbe ndio huyo?anatutesa sana aisee Itabidi Max aongeze wataalamu kuzuia Hilo tatizo,maana Hawa wanaweza kukuuza hata Kwa manjagu maana PM tunajuana Hadi real names...hatari
Kuna mmoja kasema walitumiana picha za chiu pm kunogesha penzi, imemuuma kujua walionekana eti 🤣🤣🤣🤣
Nikamwambia mtajikuta mmechafua hali ya hewa
 
Kuna mmoja kasema walitumiana picha za chiu pm kunogesha penzi, imemuuma kujua walionekana eti 🤣🤣🤣🤣
Nikamwambia mtajikuta mmechafua hali ya hewa
🤣🤣🤣🤣🤣Mamaaa hicho kisanga...Tena unajua Mmoja akifukuzwa tu kazi ana flash yake anaanza kuziuza Moja baada ya nyingine
 
Back
Top Bottom