Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru kwa maelezo Yako mkuu. Ila nina swali Moja, unakuta kwenye conversation nipo Mimi na YinYang tu (watu wawili), ila pale juu kuna muda inaandika 3 online. Huyo wa tatu anakuwa ni nani?Mkuu Analyse ,
Sina uwezo wa kuingia PM yako, na hakuna mtu yeyote mwenye uwezo wa kuingilia PM yako. Kwenye uwanja wa PM kuna sehemu ya Participants ambapo inakuruhusu kuangalia watu mliokwenye maongezi. Hizo tuhuma unazoleta hazina ukweli wowote.
Mkuu unataka kum-kick out nani huko? 😎😎Nimeshindwa. Mwanzoni kick out ilikuwa mwishoni kabisa mwa conversation, siku hizi siioni kabisa.
Labda unielekeze inapatikana kwa wapi.
Daniel 3:1-30......Je,ni nani yule nimuonae Mtu wa nne kwenye tanuru.......Vivyo hivyo huyu bwana atueleze huyo Mtu wa tatu PM Huwa ni nani???Nashukuru kwa maelezo Yako mkuu. Ila nina swali Moja, unakuta kwenye conversation nipo Mimi na YinYang tu (watu wawili), ila pale juu kuna muda inaandika 3 online. Huyo wa tatu anakuwa ni nani?
🤣🤣🤣🤣Hakika ninaingojea hiyo sikuManeno mazito sana yatatamkwa mama🤣🤣
Dah Watu mna Siri, kumbe "mnatangazana" huko PM? Wengine tunazeekea hapa hapa hatujawahi kuwa hata mmoja! DahHawa jamaa wanatufaidi sana huko PM tunavyotongoza totoz za jf.
Hawezi kumtaja, sana sana atasema hakuna mtuDaniel 3:1-30......Je,ni nani yule nimuonae Mtu wa nne kwenye tanuru.......Vivyo hivyo huyu bwana atueleze huyo Mtu wa tatu PM Huwa ni nani???
🤣🤣mkuu nilikuwa natania tu. Usiniambie unazeeka bila bila, sikuamini hata kidogo 🤣Dah Watu mna Siri, kumbe "mnatangazana" huko PM? Wengine tunazeekea hapa hapa hatujawahi kuwa hata mmoja! D
Ndio yuleee tunamuonaga PM...
Niamini Tu kama ahadi za CCM🤣🤣mkuu nilikuwa natania tu. Usiniambie unazeeka bila bila, sikuamini hata kidogo 🤣
Sijawahi kupokea PM ya mwanamke hata iliyokosea njia🤣🤣mkuu nilikuwa natania tu. Usiniambie unazeeka bila bila, sikuamini hata kidogo 🤣
Wanaboa sana Kwa kweli,wajirekebisheHawezi kumtaja, sana sana atasema hakuna mtu
Usha karibia kufaa🤣🤣😂Nina miaka 14 humu sijawahi pigwa BAN 😂😂😂
Nakumbuka 🤣😂Hawa jamaa walinipa banned ya uonevu halafu niliyekuwa na bishana nae yeye akaachwa Kila nikikumbuka nalia sana aiseee
Yapunguzwe mambo ya kitoto na ya mpalange...yanalinajisi jukwaa...sie tupo kitambo humu...ndoo maana tukichafukwa yanatutoka matusi bila kukusudia. 🙏Yupi kati yao hasa ungependa kukutana nae?
Ungepata nafasi ya kukutana nae ungemwambia nini kuhusu mtandao huu?
Nini kiboreshwe zaidi? Nini kipunguzwe?
====
Sometimes huwa uko vizuri up stairs, sema bangi uache🤣😄Jamii Forums ni moja ya kitu cha thamani sana kama utakuwa na matumizi sahihi. Naandika hivi kuna siku nita kutag tena. Na ishu ya kusema nachatig nini PM hiyo haijalishi kwa sababu nikiwa na interest ya Comment au thread fulani nitamfuata aliyeandika ili kuanza process za kutafuta mawasiliano zaidi. Na kuna member wengine hawezi akakupa mawasiliano binafsi siku hiyo hiyo inaweza chukua hata miezi mitatu. JamiiForums ni mgodi na una kila kitu ni wewe tu utachagua cha kuchukua.
Mdogo unanivunjia heshima yangu aisee, Nitakufa nikiwa na miaka 77+Usha karibia kufaa🤣🤣😂
Dah hizo kitu mara ya mwisho niliachaga hata JF haijaanzishwa 🤣🤣🤣Sometimes huwa uko vizuri up stairs, sema bangi uache🤣😄