Ungependa Zuhura Yunus atoke na mkeka kipindi cha Pasaka au baada Eid?

Ungependa Zuhura Yunus atoke na mkeka kipindi cha Pasaka au baada Eid?

HUU MJADALA WA SASA NI CHA MTOTO,ILA NINA HAKIKA KINACHOOFUATA WAKATI WOWOTE BILA KUJALI BUNGE,PASAKA WALA MFUNGO WA RAMADHANI "WAHAFIDHINA NA WAKAANGA MBUYU WATABAKI MIDOMO WAZI".
If wishes were horses...........
 
Wahusika wa wizi ndio wanatakiwa kuchukuliwa hatua, hiyo mikeka ya kila siku haina jipya tena.
 
Ndugu, kwani kuna awamu ambayo CAG hajawahi kuibua madudu? Hebu download na ujisomee report ya mwaka 2018/2019 aliyosomewa Mzee!View attachment 2580816View attachment 2580817
Ufisadi unaofanywa na wataalam wetu ni wa kisomi, unafanyika kwa kufuata mianya ya sheria za manunuzi zilizopo. Ndiyo maana Mzilankende akaamua kununua ndege kwa keshi ili kuukwepa wizi uliohalalishwa na sheria zetu
 
Hizo mambo alikuwa anaziweza Hayati Magufuli ,mkurugenzi wa TANESCO alitumbuliwa akiwa kwenye ibada ya mwaka mpya.
Hata yeye licha ya wakati mwingine kufanya hivyo lakini haikusaidia chochote,alikuwa anaweka mwingine bado tatizo liko pale pale tu.Inshu sio kubadirisha watu kila siku,tatizo linapokuwa ni la kimfumo kumtoa mtu mmoja tu haiwezi kusaidia kitu wakati mfumo unabaki vile vile!!!Na hawaogopi kwani sheria nazo sio kali,bunge nalo ndio hivyo halina meno,wananchi ndio wapumbavu kabisa.
 
Tukubali kwamba Rais amekwazika sana na ripoti ya CAG. Nilipomsikiliza akitamka neno stupid nilimkumbuka Rais wa sasa wa Zambia Hichilema alipowaambia Wazambia kwamba, siku anaingia ofisini alikuta majalada yanayomtaka aidhinishe fedha za magari na samani nyingine za ofisi kwa kigezo kwamba magari na samani zilizotumiwa na mtangulizi wake haziwezi kutumika na utawala wake.

Hoja hii aliikataa na ikawapa picha wasaidizi wake kuelewa yeye ni mtu wa aina gani.

Mhe. Rais naamini anatafakari kuona wale aliowateua wakaamua kutingisha kiberiti, anawaondoa ofisini ili TAKUKURU na taasisi nyingine ziweze kuanza uchunguzi.

Ni vigumu kumchunguza mteule wa Rais akiwa bado yupo ofisin, naamini sasa vyombo vya uchunguzi vinasubiria awafungulie baraba lakini je, amfungulie baraba pasaka hii au baada ya Eid?

Asipomfungulia baraba mapema upo uwezekano mabaraba wakadestroy ushahidi na akiwafungulia mapema anaweza kuwakwaza baadhi walio kwenye mfungo.

Zuhura Yunus tunasubiri kalamu yako imwake wino kuelekea kunako umma wa Watanzania kuwaambia hasira za mama zimeisha? Sitegemei ziishe kimya kimya au ziishe baada ya azimio la Bunge, maana akisubiri kelele za wabunge italeta tafsiri kwamba serikali inasubiri kufundishwa na Bunge.

Pasaka njem, funga njema kuelekea Eid.
Wewe tunakufahamu ndiye mtu wa karibu na huyu mwandishi wa rais kwa hiyo wala haitusumbui hata akitoa leo usiku wa manane haibadilishi chochote makapi ni yale yale na sumu kuvu zake.
 
Kwa nini hawa wezi hajawafukuza mpaka leo… eti bunge likability.. bunge lipi? Mkulu avunje bunge kibogoyo automatically mawaziri wanafutwa…
Aunde serikali ndogo yenye watu waadilifu wenye kuipenda nchi… 2025 atarudi kwa kura nyingi tuanzie hapa…

JF siku hizi hampendi ukweli mnaboa sometimes..
 
Hapo hakuna jipya maana wateule ni walewale kinachofanyika wanabadilishana vitengo

Hapa watu wanao weza kufanya maamuzi yenyetija ndani ya taifa hili ni wananchi wenyewe tu watakapo amuwa kumfukuza mwehu na makopo yake Nahiyo ndio itakuwa tiba ya kuiponya nchi
 
Tukubali kwamba Rais amekwazika sana na ripoti ya CAG. Nilipomsikiliza akitamka neno stupid nilimkumbuka Rais wa sasa wa Zambia Hichilema alipowaambia Wazambia kwamba, siku anaingia ofisini alikuta majalada yanayomtaka aidhinishe fedha za magari na samani nyingine za ofisi kwa kigezo kwamba magari na samani zilizotumiwa na mtangulizi wake haziwezi kutumika na utawala wake.

Hoja hii aliikataa na ikawapa picha wasaidizi wake kuelewa yeye ni mtu wa aina gani.

Mhe. Rais naamini anatafakari kuona wale aliowateua wakaamua kutingisha kiberiti, anawaondoa ofisini ili TAKUKURU na taasisi nyingine ziweze kuanza uchunguzi.

Ni vigumu kumchunguza mteule wa Rais akiwa bado yupo ofisin, naamini sasa vyombo vya uchunguzi vinasubiria awafungulie baraba lakini je, amfungulie baraba pasaka hii au baada ya Eid?

Asipomfungulia baraba mapema upo uwezekano mabaraba wakadestroy ushahidi na akiwafungulia mapema anaweza kuwakwaza baadhi walio kwenye mfungo.

Zuhura Yunus tunasubiri kalamu yako imwake wino kuelekea kunako umma wa Watanzania kuwaambia hasira za mama zimeisha? Sitegemei ziishe kimya kimya au ziishe baada ya azimio la Bunge, maana akisubiri kelele za wabunge italeta tafsiri kwamba serikali inasubiri kufundishwa na Bunge.

Pasaka njem, funga njema kuelekea Eid.
Na tupo kwenye weekend wakti muafaka wa “TEUZI” 😂😂
 
Tukubali kwamba Rais amekwazika sana na ripoti ya CAG. Nilipomsikiliza akitamka neno stupid nilimkumbuka Rais wa sasa wa Zambia Hichilema alipowaambia Wazambia kwamba, siku anaingia ofisini alikuta majalada yanayomtaka aidhinishe fedha za magari na samani nyingine za ofisi kwa kigezo kwamba magari na samani zilizotumiwa na mtangulizi wake haziwezi kutumika na utawala wake.

Hoja hii aliikataa na ikawapa picha wasaidizi wake kuelewa yeye ni mtu wa aina gani.

Mhe. Rais naamini anatafakari kuona wale aliowateua wakaamua kutingisha kiberiti, anawaondoa ofisini ili TAKUKURU na taasisi nyingine ziweze kuanza uchunguzi.

Ni vigumu kumchunguza mteule wa Rais akiwa bado yupo ofisin, naamini sasa vyombo vya uchunguzi vinasubiria awafungulie baraba lakini je, amfungulie baraba pasaka hii au baada ya Eid?

Asipomfungulia baraba mapema upo uwezekano mabaraba wakadestroy ushahidi na akiwafungulia mapema anaweza kuwakwaza baadhi walio kwenye mfungo.

Zuhura Yunus tunasubiri kalamu yako imwake wino kuelekea kunako umma wa Watanzania kuwaambia hasira za mama zimeisha? Sitegemei ziishe kimya kimya au ziishe baada ya azimio la Bunge, maana akisubiri kelele za wabunge italeta tafsiri kwamba serikali inasubiri kufundishwa na Bunge.

Pasaka njem, funga njema kuelekea Eid.
Hii itasaidia nini kwa mfano .ukifanya uteuzi hata Mara elfu ndo itaongeza uwajibikaji
 
Hongera Mhe. Rais umeanza kumulika waliokuwa wanakudanganya, TRC na shirika la lenge Kwa uwekezaji tuliofanya tunahitaji watu wenye karba ya Neemia Mchechu ; watu wenye business strategy siyo wazee wanaotokana na mfumo kama waliopo sasa. Tafakuri kubwa iliyo mbele yako nikutafuta watu wenye business mind wakae maeneo nyeti then watu wa system wabaki kumulika nakukuangazia pakupita.

Regime iliyopita iliondoa watu wenye business mind ukaweka watu wenye urasimu na waliokariri uzalendo.....uzalendo siyo kukwamisha biashara uzalendo nikufichua maovu. Matokeo yake Kwa sasa nivigumu kufichua maovu Kwa Sababu watu wanaopaswa kufichua maovu wamekalia viti vya maamuzi.
 
Back
Top Bottom