Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
haiwezi kani kutokea kwa hiyo sijisumbuhi hata kufikiria chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli inaweza kuwa hivi....Ila maana kubwa ni kutathimin sehemu ambayo unahisi ulikosea katika maisha yako ambayo unaonesha kujutia kwa sasaKuanza upya kuanzia wapi? Tumboni mwa mama yako, baada ya kumaliza elimu ya msingi, au wapi? Upya ni wapi?. Maana kuna mwingine alipokuwa mtoto wa miaka 6 alichachanwa usoni na paka mpaka leo ana alama na akiangalia hiyo alama anatamani asingemfinya yule paka wao. Ukimwambia anza upya atarudi pale alipokuwa anamfinya paka.
Nah.Kutokua Compatible na Dunia ninavyotaka iwe..
AmeenHujachelewa kuwa unavotaka Kuwait,mpaka unawaza hivo jua akili ipo kwenye utayari wakufika huko .Tia jitihada !!Muombe Mungu!Utafanikiwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Great.Yep..
That's what heroes do!!!!!!
alinisumbua eti "utajua jina langu la utoto lilikuwa lipi"
Ungelala na mwanamke au?Nisingekaaa nikalala na mwanaume
[emoji16]Nisingefanya ngono na mwanamke yeyote Wala kupiga punyeto mpaka pale siku ya ndoa yangu, na pia katika kipindi chote hicho ningekua mcha Mungu, mpenda mazoezi na mzingatiaji wa diet [emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app