Ungeweza kuchagua kazi yoyote hapa duniani ungetamani kufanya kazi gani?

Ungeweza kuchagua kazi yoyote hapa duniani ungetamani kufanya kazi gani?

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
233
Reaction score
298
Wakuu kwema?

Kama ungepewa nafasi ya kuchagua kazi yoyote hapa duniani ungependa kufanya kazi gani?

Haijalishi ina hela au lah, lakini kazi hiyo inakupa amani ya moyo na furaha na unaona ungekuwa unafanya hiyo yaani utakuwa na furaha maisha yako yote, ungependa kufanya nini?

Mi napenda sana misosi wakuu, na kwenye kupika si haba, ipo siku ntaenda kuongeza ujuzi niingie huku vizuri. Vipi wewe?

Swali la uchokozi baada ya kujua ungependa kufanya kazi gani.... Nini kinakuzuia kufanya kazi hiyo unayoipenda?
 
Kuuza ujugu muda kama huu ningekuwa na ungo wangu na ujugu wangu nakata mitaaa tu. Mkononi coin nyingiiii.
 
Time nipo miaka 4 mpaka 14 nilitamani kuwa mwanajeshi

14 to 16 Nilimamani kuwa mwalimu

16 to 18 nilitamani kuwa TISS (Nilijua kazi yao ni kukaa tu na wanapewa hela ya bure hii ilitokana na kuishi kwa shemeji yangu ambae alikuwa ni TISS anaenda job saa 3 asubuhi na anarudi saa 7 mchana ila alikuwa na hela saana)

18 to 20 nilitamani kuwa DR baada us kukosa vigezo nikageukia uinjinia up to now AM MECHANICAL ENGINEER

Aliyenishawaishi kuchukua mechanics ni shemeji yangu na alinipeleka kufanya kazi mamlaka moja bila usahili wowote ule yaani tulienda tu kwa kigogo mmoja akamwambia kuwa mm ni mechanics anifanyie taratibu niingie mamlaka husika ilikuwa siku ya J5 Dar alafu J3 nikalipoti kituo cha kazi mkoani kigoma
 
Time nipo miaka 4 mpaka 14 nilitamani kuwa mwanajeshi

14 to 16 Nilimamani kuwa mwalimu

16 to 18 nilitamani kuwa TISS (Nilijua kazi yao ni kukaa tu na wanapewa hela ya bure hii ilitokana na kuishi kwa shemeji yangu ambae alikuwa ni TISS anaenda job saa 3 asubuhi na anarudi saa 7 mchana ila alikuwa na hela saana)

18 to 20 nilitamani kuwa DR baada us kukosa vigezo nikageukia uinjinia up to now AM MECHANICAL ENGINEER

Aliyenishawaishi kuchukua mechanics ni shemeji yangu na alinipeleka kufanya kazi mamlaka moja bila usahili wowote ule yaani tulienda tu kwa kigogo mmoja akamwambia kuwa mm ni mechanics anifanyie taratibu niingie mamlaka husika ilikuwa siku ya J5 Dar alafu J3 nikalipoti kituo cha kazi mkoani kigoma

wa hivi mnakuwaga wazembe sana job.

yaani shemeji anamaliza kila kitu.
 
Back
Top Bottom