stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Unique sisters - Baishoo, Sababu Gani. Nliwapenda sana hao wadafada. Kuna wadada wengine nao wamekimbia game kama Josephine alieshirikishwa na soggy kibanda cha simu na RENEE RAMIRA alieimba "ngoma ya kwetu". Muziki wa Tanzania hauko fair kabisa kwa wadada.
Waliimba nyimbo gani miaka hiyo?
Big up sana mshikaji upo kwenye game kitambo cc MTAZAMOUnique sisters - Baishoo, Sababu Gani. Nliwapenda sana hao wadafada. Kuna wadada wengine nao wamekimbia game kama Josephine alieshirikishwa na soggy kibanda cha simu na RENEE RAMIRA alieimba "ngoma ya kwetu". Muziki wa Tanzania hauko fair kabisa kwa wadada.
Waliishi Japan wakati dingi yao akiwa idhaa ya ya kishwahili Radio Japan.Kuna mmja wao Nakumbuka alikuwa mkalimani kwenye kampuni ya kuuza magari ya kashin car muscat kitambo kdg, kampuni ilikuwa ya wa Japan... Sjui radhia au Nani ila anakitema kijapan balaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukioa wa kukusafishia nyumba, utakuwa umewaolea wenzio!!Wameolewa wanafanyakazi ya kusafisha nyumba Sasa hivi.
1. Baishoo ft Mac DWaliimba nyimbo gani miaka hiyo?
Renee Ramila?? OπMiaka ya nyuma kulikuwa na thread kuhusu Renee..walisema aliokoka hivyo aliacha muziki kwa hiyari yake
Yeyote ndani ya nyumba amemuona WANGU MPENZI...
Single ya mwisho kufanya vizuri nayoikumbuka ni mambo bado ft. Mwana FA.. wamestruggle kurudi ila muziki haujakubali
ndo huyo aliyeolewa na mjapan?Kuna mmja wao Nakumbuka alikuwa mkalimani kwenye kampuni ya kuuza magari ya kashin car muscat kitambo kdg, kampuni ilikuwa ya wa Japan... Sjui radhia au Nani ila anakitema kijapan balaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahh.. Joanah Sio muhenga weweYani hata sizifahamu hizo nyimbo