United Nations 2018 global poverty index rank- Africa

United Nations 2018 global poverty index rank- Africa

soma vizuri hiyo orodha, iko randomly. na ukienda kwenye kiziduo utaona idadi ya masikini Nigeria inafika 99,000k. SASA NCHI ina watu wangapi?
List inaanza na maskini walio wengi na inaisha na walio wachache kulingana na takwimu za kila nchi, sio random bana. Alafu hapo awali nilimaanisha nigeria ina maskini zaidi ya Milioni mia na sio laki moja. Takwimu ziko sawa wanigeria wanakaribia millioni 200 na hapo asilimia ya masikini ni 51.95%.
 
List inaanza na maskini walio wengi na inaisha na walio wachache kulingana na takwimu za kila nchi, sio random bana. Alafu hapo awali nilimaanisha nigeria in maskini zaidi ya Milioni mia na sio laki moja. Takwimu ziko sawa wanigeria wanakaribia millioni 200 na hapo asilimia ya masikini ni 51.95%.

walio wengi in absolute or relative term!!???
 
Kwa maisha ya sasa kaka hauna haja ya kukumbushwa,lazima watu wabadilike tu kwa hiari...angalia wachina walikua masikini miaka 25 iliopita lakini kwa sasa ni level ingine; hawajawahi badili tamaduni zao lakini wameendelea sana...

Middle east nao to be specific UAE miaka ya 1980 Dubai ilikua pori tu hakukua na kitu cha maana lakini angalia mahali walipo sasa...lakini muarabu hajawahi badili culture yake...

Waswahili tumejaa na uvivu hatuna haraka hatujui kuchangamka,hatupendi shule na kazi...hivi vitu tukiviacha mara moja miaka 20 ijayo tutakua mbali sana tena sana

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Umenena. Hata Kenya wakiacha ufisadi wanaweza fika mbali sana
 
nyangau Mkeny chunga sana serikali isikuweke mikononi, taarifa unazo zitoa je zimetoka serikalini maana serikali inasema 18% wewe unapandisha subiri mkono wa sheria ya takwimu
 
Mimi niliyesoma shule za kata sijaelewa kabisa.

Je, nchi iliyotajwa namba moja ndio masikini zaidi au ile iliyotajwa ikiwa ya mwiso(16)?

Je, nchi ambazo hazitajwa hapa ndio angalau zina uchumi mzuri anagalau?

Ufafanuzi kwa aliyeelewa wakuu..
 
Nigeria Nini? Nigeria ndio nambari moja wa watu maskini dunia nzima
Kitu pekee huwa sielewi ni hii nchi ya Nigeria,
Hata kama wangekuwa na watu milioni 300,
First of All, population is not always a bad thing, It can be an Advantage, especially for investors,
Pili, with a GDP of over $500bn, the Country is blessed with massive oil, kiasi kwamba wanapata bulk revenues at once,
Why then they have poor people, poor cities, poor infrastructure, poor Education system

The day I Saw they built this SGR (extremely substandard) for $12bn niliwadharau Rasmi,
 
Yes Tanzania we are poor, but we are not poor and foolish like Nigerians.
 
Kwa maisha ya sasa kaka hauna haja ya kukumbushwa,lazima watu wabadilike tu kwa hiari...angalia wachina walikua masikini miaka 25 iliopita lakini kwa sasa ni level ingine; hawajawahi badili tamaduni zao lakini wameendelea sana...

Middle east nao to be specific UAE miaka ya 1980 Dubai ilikua pori tu hakukua na kitu cha maana lakini angalia mahali walipo sasa...lakini muarabu hajawahi badili culture yake...

Waswahili tumejaa na uvivu hatuna haraka hatujui kuchangamka,hatupendi shule na kazi...hivi vitu tukiviacha mara moja miaka 20 ijayo tutakua mbali sana tena sana

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Muafrica alilaaniwa sioni tukidevelop any time soon unless tubadalishe behaviour zetu.
 
NairobiWalker Hayo yote kisa battle na ligi zisizokuwa na tija. Ndio maana kuna nyuzi humu hutaona comment yangu hata moja. Ukijaribu kuja kivingine ili tuamshane kama mandugu unatupiwa mitusi ambayo hata haigongi bulls eye, mara sijui za nyang'au sijui Kibera mara sijui njaa. Wakati wote huo wakitukashifu huwa wanajiweka juu na sisi chini yao eti nyang'au kiumbe ambacho hakifai kabisa kuwa kwenye dunia hii. Huku wakituponda kwa muamko wetu wakujikubali kama wakenya na kuwa tayari kila wakati kuamdamana na kuonesha hamaki zetu kwa wale ambao wanatuangusha kama waafrika. Muda wote huo huwa wanakana kwamba wapo kwenye hali mbaya kisa eti ndio wawafurahishe miungu watu wao na vyama vya enzi za ujana wa mababu zetu. Damn! Itabidi sote tujitathmini upya.
 
Kitu pekee huwa sielewi ni hii nchi ya Nigeria,
Hata kama wangekuwa na watu milioni 300,
First of All, population is not always a bad thing, It can be an Advantage, especially for investors,
Pili, with a GDP of over $500bn, the Country is blessed with massive oil, kiasi kwamba wanapata bulk revenues at once,
Why then they have poor people, poor cities, poor infrastructure, poor Education system

The day I Saw they built this SGR (extremely substandard) for $12bn niliwadharau Rasmi,

Ufisadi, Rushwa, udini, ukabila, ndio matatizo yao makubwa.
 
Umenena. Hata Kenya wakiacha ufisadi wanaweza fika mbali sana
Kweli kabisa,huwa naitazamia kenya iwe juu sana in short time kutokana na kuwa na uchumi wezeshi,lakini nashangaa nao wanapiga marktime kama sisi wakati bajeti yao ni kubwa karibu mara mbili ya tanzania,nna idadi ya watu wao ni karibia nusu ya watanzania,na bado pia eneo lao ni dogo tu! Ufisadi unawarudisha sana nyuma ndugu zetu hawa!
 
Back
Top Bottom