United States of Africa (USA)

Marais Magufuli, Kagame kuzindua miradi Rusumo katika eneo la mpaka wa Tanzania na Rwanda kesho
Marais Magufuli, Kagame kuzindua miradi Rusumo katika eneo la mpaka wa Tanzania na Rwanda kesho - wavuti

Mawaziri 3 kuzindua ujenzi mradi wa umeme Rusumo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwa kushirikiana na mawaziri wenzake wa kutoka Rwanda na Burundi leo wanatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa maji wa megawati 80 katika eneo la Rusumo katika Mto Kagera wilayani hapa.

Mradi huo wa kuzalisha na kusambaza umeme katika maporomoko ya maji ya Rusumo katika Mto Kagera utanufaisha nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi.
http://habarileo.co.tz/index.php/ha...aziri-3-kuzindua-ujenzi-mradi-wa-umeme-rusumo
 

hehehehe what a joke!!! you are funny even when you don't mean to be.
 
Ok Anal I have a question. Please answer honestly. Do you notice how off topic and inconsequential this post is? Or are you just too constipated that S.h.i.t is doing the thinking for you now.
Tanzania na Malawi zasaini kushirikiana katika mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia na usafiri wa anga

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt, Augustine Mahiga (Mb) wakati alipokuwa anasoma hotuba ya kufunga kikao hicho jijini Lilongwe siku ya Jumapili tarehe 05 Februari 2017.

Mhe. Waziri alieleza kuwa kikao hicho kimefanyika kufuatia maelekezo ya Waheshimiwa Marais wa Tanzania na Malawi ambao walifanya mazungumzo walipokuwa Ethiopia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika na kutoa wito kwa jopo la viongozi wa zamani wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kuongeza kasi ya kutafuta suluhu ya mgogoro huo.

Tanzania na Malawi zasaini kushirikiana katika mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia na usafiri wa anga | Bongo5.com
 
sorry i didn't get that, say it in less b.u.l.l.s.h.i.t please.
Tanzania na Morocco zatiliana saini mikataba 21 ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara

Nchi ya Tanzania na Morocco zimetiliana saini mikataba ya ushirikiano kwenye maeneo zaidi ya 21, mikataba ambayo itashuhudia nchi hizi mbili zikiimarisha uhusiano wao ambao toka nchi ya Morocco ijitoe kwenye umoja wa Afrika haukuwa mzuri sana na nchi za Afrika.

Tanzania na Morocco zatiliana saini mikataba 21 ya ushirikiano wa kiuchumi na biashara
 

not quite there yet, there's a little crap on the 'Tanzania' paragraph. Try again. Remember to take note of the crap for a wiser post.
 
MK254 mdomo unaumba, tema mate chini na kuwa na imani kuu kwa mwafrika na Africa kwa ujumla, civilization ilianza Africa na nina imani kuu itarudi Africa kwa kasi kuu, believe me as it was at the beginning so it shall be at the end!
 
hheheheheee!!!! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. You make me happy sad clown!!
Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania
Serikali imewaonya baadhi ya wakimbizi wa kisomali waliopewa uraia nchini kuacha kupandikiza mbegu za ugaidi kwa watanzania na badala yake wanapaswa kuheshimu sheria na taratibu zilizowekwa ili kuendelea kudumisha hali ya amani na utulivu iliyosababisha mamlaka husika kuwapatia uraia wa kuishi nchini.
Wakimbizi 1514 wa Somalia wapewa uraia wa Tanzania | East Africa Television
 
Wakenya wanalilia EPA sisi tunakuwa nauhusiano wa kimaendeleo
Rais Magufuli amekutana na Balozi wa Umoja wa Ulaya leo IKULU
 
Tulia Anal, I should be placing a curfew on that butt of a mouth u claim ownership to.
That's enough for today, piggy, go find something else to do.
 
Another who thinks yeye ndiye hunilipia bill ya Zuku mwezi ukitimia.
Are you playing smart with me, moderator?
Hehehe
 

Attachments

  • Screen_20170407_122726_e001.jpg
    19 KB · Views: 34
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…