University of arusha mzigo umetemwa!!!

University of arusha mzigo umetemwa!!!

nyie maboya chbat55 na mwenzio oilsumu! mi nna point nane na naenda private! we oil chafu ka umefikisha atleast 7 nakupa hela! mtu una cut point 5 mineno mingi!

boya mwenyewe kwanza umechaguliwa lichuo la kifala yu kwa sababu ya ukilaza wako
 
sina hstoria ya kusoma private ktk maisha yang yote kwaiyo cwez nikaja aru wakat kuna muce- udsm

Huna ujanja wa kusoma ardhi wewe...pale hawasomi waliofeli kama wewe..utachezea chaki na kuuza karanga mashuleni mpaka unakufa!!project yangu moja nalipa mshahara wako wa mwaka mzima..nyambaf
 
kama umechaguliwa mihayo wangeku2mia sms kama mpiga msuli: ali2miwa sms na chuo cha mihayo

Ha ha ha!!!, nimecheka sana mkuu, inaonekana wana customer care nzuri sana, btw ni wadogo zangu sio mimi.
 
Huna ujanja wa kusoma ardhi wewe...pale hawasomi waliofeli kama wewe..utachezea chaki na kuuza karanga mashuleni mpaka unakufa!!project yangu moja nalipa mshahara wako wa mwaka mzima..nyambaf

jiandae kwenda teku
 
Nimeuona mkuu AllenMwita! mpaka sasa private wanaongoza 7 bila(0) dhid ya government.! Wafungaji wa private ni CBE, MOUNT MERU, ST. JOSEPH, ITA ,JORDAN, UNIVERSITY OF ARUSHA, NA ARBSHOP MIHAYO TABORA..!

nimeamini we ni kilaza CBE ni,.,..
 
Last edited by a moderator:
sio nimekosa udsm sikuwa na malengo ya kusoma hapo nna chem C bios C wangeniacha kwa vigezo gani as kuna watu vilaza ka wewe mwenye GEO E na HIST D umechukuliwa
 
sina hstoria ya kusoma private ktk maisha yang yote kwaiyo cwez nikaja aru wakat kuna muce- udsm

wewe kumbe mgeni wa jiji! huijui ARU.! wewe ni kilazaa namba mojaaa humu jf! eti aru privatee.! Bora hata ulivyopelekwa huko huko iringaa coz ukitoka kwenu musoma moja kwa moja iringa kwa wajanja duce, na udsm(main campus) utapackiaa tuuu! Hoya oil sumu vp UCLAS unapajuaa?
 
Last edited by a moderator:
wewe kumbe mgeni wa jiji! huijui ARU.! wewe ni kilazaa namba mojaaa humu jf! eti aru privatee.! Bora hata ulivyopelekwa huko huko iringaa coz ukitoka kwenu musoma moja kwa moja iringa kwa wajanja duce, na udsm(main campus) utapackiaa tuuu! Hoya oil sumu vp UCLAS unapajuaa?

umepangwa kwenye chuo kilichokuwa zamani ni godown la mkoa hahahaha!
 
Last edited by a moderator:
CBE ni government kipo chini ya wizara ya viwanda na biashara.

Nimeuona'! mpaka sasa private wanaongoza 7 bila(0) dhid ya government.! Wafungaji wa private ni CBE, MOUNT MERU, ST. JOSEPH, ITA ,JORDAN, UNIVERSITY OF ARUSHA, NA ARBSHOP MIHAYO TABORA..!
 
Back
Top Bottom