Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauruhusiwi kutukana sehemu yoyote ile, nimetumia chuo pendwa kwa sababu mnatukanana ndani ya nyuzi husika.kwahio kuna vyuo vinastahili kutukanwa sio
Ushuzi wa wanayama haunuki kama wa mwanadamu! Kwa nini wa mwanadamu unanuka vibaya? Kwa sababu mwanadamu hutumia mdomo ule ule anaolia chakula, kutukana!sawaa mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushuzi wa wanayama haunuki kama wa mwanadamu! Kwa nini wa mwanadamu unanuka vibaya? Kwa sababu mwanadamu hutumia mdomo ule ule anaolia chakula, kutukana!
Ha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????????????????????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utapata mkuu saiv at least tatzo LA hostel limepunguaWakuu nimepata pale uɗsm ɗiploma ya computer science...sasa naomɓa mnijuze hiv ukichukua ɗiploma pale coict unapata hostel kweli??? Au nianze michaƙato mingine
Dah, haya bwana ubarikiweNimepata hapo mwaka Jana naelekea mwenge
Utapata mkuu saiv at least tatzo LA hostel limepungua
Tupo tupo !!Jamani hampo ?
Niambie mziki ukoje second yrTupo tupo !!
ha ha haaa hasa approximation methods na SE(solution of schrodinger eqn)Mkuu usiseme hivo hivi unadhan MTU huwa anajipanga akapate supp au carry??....alafu unasema course rahisi are u sure???? Unaijua QUANTUM PHYSICS ww ???....mkuu alafu ujue hizi mambo mfano pale udsm inategemeana na college....sasa kama CONas supp nje nje
Kozi gani kiongozi ila jiamini hakuna jipya chini ya jua ni kupambana mwanzo mpaka mwisho. Mwaka wa pili ni mgumu kiasi na pia ni mwepesi sanaNiambie mziki ukoje second yr
Bcom accounting bossKozi gani kiongozi ila jiamini hakuna jipya chini ya jua ni kupambana mwanzo mpaka mwisho. Mwaka wa pili ni mgumu kiasi na pia ni mwepesi sana