zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Masters UDBS ikoje mkuu naskia na kwenyewe kumekazwaWatakaochaguliwa CoNAS pls jaribuni kuwa makini na masomo.Kupata sup n disco haijawa shukurani kwa mzazi ama kwako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masters UDBS ikoje mkuu naskia na kwenyewe kumekazwaWatakaochaguliwa CoNAS pls jaribuni kuwa makini na masomo.Kupata sup n disco haijawa shukurani kwa mzazi ama kwako.
Hamna kitu kirahisi juhudi zako na utii wa kitu unachotaka ndo muhimu.CoNAS imekua kama jadi imefikia pabaya hata finalist anadisco!!!!Masters UDBS ikoje mkuu naskia na kwenyewe kumekazwa
N noma mkuu kuna perturbation theory na equation ni hatarha ha haaa hasa approximation methods na SE(solution of schrodinger eqn)
CONAS balaa nasikiaa hta yule president Mstaafu E***mo(aliyemuachi a kiti J.jeremia) kaliwa kichwa nae .Nilisoma kwenye gazeti mwanahalisi juziHamna kitu kirahisi juhudi zako na utii wa kitu unachotaka ndo muhimu.CoNAS imekua kama jadi imefikia pabaya hata finalist anadisco!!!!
Udsm main campsUmechaguliwa chuo gani?
Udsm main campsUmechaguliwa chuo gani?
kama umechaguliwa udsm basi unatakiwa kuripoti tar 30/10/2017Habar zenu wana jf
Kulingana na taarifa ya TCU mwaka wa masomo 2017/18 unatakiwa uanze kabla ya tar30/10 VP kwa waliochaguliwa wanatakiwa waanze kurpot tar ngap?
Karbun ,matus yanaruhusiwa pia lakin busara itumike
Poapoa mkuu but hawa jamaa wananitia wasasa wameniandikia pending kwenye application yangu why?Mkuu ukiingia kwebye web ya chuo tazama Almanac itajuelekeza kila kitu hao TCU achana nao
Hapana. Udsm tarehe 28kama umechaguliwa udsm basi unatakiwa kuripoti tar 30/10/2017
Hiyo inawahusu tcu. Sio wewe.Poapoa mkuu but hawa jamaa wananitia wasasa wameniandikia pending kwenye application yangu why?View attachment 602869