Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,877
- 2,314
Sasa mbona hamna mada nyingine za amshaamsha jamani? UDSM ndo tumechoka hivi kweli?
Basi tufahamishane, mwanaharakati Tweve yupo hai? Waliokuwepo udsm miaka ya 2002 - 2007. Sikumbuki yeye alianza na kumaliza lini, namkumbuka tu pale Rev.Square siku za harakati.
Basi tufahamishane, mwanaharakati Tweve yupo hai? Waliokuwepo udsm miaka ya 2002 - 2007. Sikumbuki yeye alianza na kumaliza lini, namkumbuka tu pale Rev.Square siku za harakati.