mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Jamani mimi natumia Zantel kwenye huduma ya internate,cha ajabu kwenye package zao ziwe za saa 24,siku 7 au siku 30 wanatangaza kuwa ni Unlimited ilihali ni UONGO,ukishusha vitu vingi inaisha kabla ya muda wake na unatakiwa uongeza hela sasa hiyo UNLIMITED ina maana gani,tafadhali wajuzi naomba mtutoe matongotongo ya hizi huduma.Kwenye speed sina tatizo nako ,Zantel ni nambare wani.