TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,268
- 1,611
Walioikimbia Nairobi ni wameru na wamasai wa Tz wanaojichimbia huko!!Nina wasiwasi damu nyingi sana kumwagika. Wengi wameikimbia Nairobi na wengine hata kuikimbia Kenya na kuingia Tanzania kwa wingi. Wakenya wengi wana hofu kubwa kuhusu uchaguzi huu kwamba panga zitacharangana vibaya sana, Mwenyezi Mungu apishilie mbali. Chaguzi za hivi zinatisha sana.
We unajua wamefukuzwa kwanini? Majina yao yapo kwenye orodha ya NASA/ANC ya watakaoteuliwa na chama hicho kama madiwani kwenye bunge za county baada ya uchaguzi. Yaani list ya nominated MCAs. Kumbuka hao ni senior officers kwenye vituo vya uchaguzi! IEBC ilishurutisha vyama vyote vipeane majina hayo kabla ya uchaguzi chini ya sheria mpya kwenye katiba. Zamani walikuwa wanapeana majina baada ya uchaguzi afu wanawteua vigogo wao walioshindwa kwenye uchaguzi km. Oburu Odinga! Mnadhani Raila ni msafi?Mazee nimeona sehemu NASA wanalalamika eti IECB wamefukuza wafanyakazi maeneo ambayo ni ngome yao
mwenye kombe ndoatakuwa president. You can't make your journey half way.Kwani unamaanisha unajua mshindi? Jubilee ndio itashinda?
Wabeja sanaNili wahaidi kuwaletea matokeo kutoka kwenye tallying center yetu ya NASA. Lakini nahona kwa wenye App ya Telegram hiyo itakuwa njia rahisi. Lakini pia nitakuwa nikiweka matokeo kadri tutavyo yapata kupita hii page.
Na magu anaombea ivyo ivyomi nawaombea mmalize salama ila napenda raila omoro odinga achukue maana kapigana sana kama maalimu zenji
Kwenye nyekundu "Tupa Kule"!Link ya Jubelee
JPM Baki
Ongelea watu wengine lakini sio huyu mtu. Asilimia kubwa yawapiga kura mnaongea kwa ushabiki. Sometimes i feel sorry when you lineup to elect the elected. Nivigumu kujua cards za siasa zinavyo chezwa. Everything is planned and once you fail the only way is to be eliminated completly. The person with one eye is watching. Leo nikikwambia kuwa mimi nilizunguka na Lowassa Tanzania nzima tukiwa na Chadema kupiga kampeni huwezi hamini. But I have to tell you that we are all one. Pia 2020 nitakuwa na Chadema. Magufuli mpe heshima yake kama anayopewa Uhuru. You only hate and fear the devil only because you RESPECT its strength. . Just know the same applies to our leaders.
DHaha its never that serious. Usihofu. Mambo si mabaya sana
How many so far?Thank you for sharing. More people are getting connected to our tallying center just keep on. We also have experts from Israel to take us through this process.
Ukweli haubadiriki Kipara ni mpiga kelele tu hakuna anachofanya zaidi ya sifa za kijingaOngelea watu wengine lakini sio huyu mtu. Asilimia kubwa yawapiga kura mnaongea kwa ushabiki. Sometimes i feel sorry when you lineup to elect the elected. Nivigumu kujua cards za siasa zinavyo chezwa. Everything is planned and once you fail the only way is to be eliminated completly. The person with one eye is watching. Leo nikikwambia kuwa mimi nilizunguka na Lowassa Tanzania nzima tukiwa na Chadema kupiga kampeni huwezi hamini. But I have to tell you that we are all one. Pia 2020 nitakuwa na Chadema. Magufuli mpe heshima yake kama anayopewa Uhuru. You only hate and fear the devil only because you RESPECT its strength. . Just know the same applies to our leaders.View attachment 560679