UNSC kusimamisha vita Gaza

UNSC kusimamisha vita Gaza

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii ni habari njema sana kwa kila mpenda haki, usawa, uhuru au demokrasia.

Kwamba, bunduki zinyamaze sasa. Kila mtu akazike wafu wake, wafungwa wabadilishwe ya kuwa somo kila mtu kajifunza:

IMG_20231218_123406.jpg


Nani mwenye ubavu wa kupiga veto leo?

Kwani nani hana kumbukumbu za mateka wale watu? Vipi shinikizo tokea kwa raia kote duniani? Nani asiyejua kunako masikilizano ni kweli mateka walikuwa wanaachiliwa tena salama na vijibwa vyao?

Kwamba yupo asiyejua suluhu ilipo?

IMG_20231218_005354.jpg


Kwa hakika hata Natenyahu na Joe Biden wanajua vyema, na pasi na shaka.

Eh mola wetu wewe ndiye uliye mkuu, busara ikatamalaki dhidi ya ufwedhuli wa kibinadamu.
 
Hii ni habari njema sana kwa kila mpenda haki, usawa, uhuru au demokrasia.

Kwamba, bunduki zinyamaze sasa. Kila mtu akazike wafu wake, wafungwa wabadilishwe ya kuwa somo kila mtu kajifunza:

View attachment 2845896

Nani mwenye ubavu wa kupiga veto leo?

Kwani nani hana kumbukumbu za mateka wale watu? Vipi shinikizo tokea kwa raia kote duniani? Nani asiyejua kunako masikilizano ni kweli mateka walikuwa wanaachiliwa tena salama na vijibwa vyao?

Kwamba yupo asiyejua suluhu ilipo?

View attachment 2845900

Kwa hakika hata Natenyahu na Joe Biden wanajua vyema, na pasi na shaka.

Eh mola wetu wewe ndiye uliye mkuu, busara ikatamalaki dhidi ya ufwedhuli wa kibinadamu.
Sawa sawa UN DELEGATE
 
Mwenye ubavu ni yupi hapo?Au "wataomba" kipigo kisitishwe Kwa "kuwaomba" wakubwa wamwambie Israel aweke pause?
 
Hii ni habari njema sana kwa kila mpenda haki, usawa, uhuru au demokrasia.

Kwamba, bunduki zinyamaze sasa. Kila mtu akazike wafu wake, wafungwa wabadilishwe ya kuwa somo kila mtu kajifunza:

View attachment 2845896

Nani mwenye ubavu wa kupiga veto leo?

Kwani nani hana kumbukumbu za mateka wale watu? Vipi shinikizo tokea kwa raia kote duniani? Nani asiyejua kunako masikilizano ni kweli mateka walikuwa wanaachiliwa tena salama na vijibwa vyao?

Kwamba yupo asiyejua suluhu ilipo?

View attachment 2845900

Kwa hakika hata Natenyahu na Joe Biden wanajua vyema, na pasi na shaka.

Eh mola wetu wewe ndiye uliye mkuu, busara ikatamalaki dhidi ya ufwedhuli wa kibinadamu.
Vita ni mpaka mshindi apatikane ndio mengine yafuate, la sivyo kila mmoja atajitangaza ni mshindi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Unamjua aliyemwua? Israel kauwa mateka wake angemnusuru nani huyo?
Ninyi tumewazoea , huwa hamuoni thamani ya uhai wa watu ,mnaleta propaganda za kijinga wakati Imani yenu mnachocheana maujinga kama wakati ule mnavamia viongozi wa dini halafu mnakuja kwenye social media na kusema walikuwa wanagombania sadakal
 
Ninyi tumewazoea , huwa hamuoni thamani ya uhai wa watu ,mnaleta propaganda za kijinga wakati Imani yenu mnachocheana maujinga kama wakati ule mnavamia viongozi wa dini halafu mnakuja kwenye social media na kusema walikuwa wanagombania sadakal

1. Mjinga ni wewe. Maji Maji, Mau Mau, ANC, FRELIMO,MPLA, KANU,TANU, nk unadhani watu hawakufa?

IMG_1567.jpg


2. Unadhani bIla watu kujitoa sadaka nchi hizi zingekuwa huru?

3. Leo nchi Iko huru unakenua unadhani uhuru ulikuja kama mvua?

4. Nani kakwambia Kuna issue ya dini hapa?

Bure kabisa!
 
Back
Top Bottom