UNSC kusimamisha vita Gaza

UNSC kusimamisha vita Gaza

Mpaka aachie ngazi Netanyahu
Hasira za kaka yake hizo ila kisasi akiendeleza na wao wataendeleza tu

Sitaki, nataka - hadi aseme:

IMG_20231219_083111.jpg


Atasema tu, atake asitake.
 
Hii ni habari njema sana kwa kila mpenda haki, usawa, uhuru au demokrasia.

Kwamba, bunduki zinyamaze sasa. Kila mtu akazike wafu wake, wafungwa wabadilishwe ya kuwa somo kila mtu kajifunza:

View attachment 2845896

Nani mwenye ubavu wa kupiga veto leo?

Kwani nani hana kumbukumbu za mateka wale watu? Vipi shinikizo tokea kwa raia kote duniani? Nani asiyejua kunako masikilizano ni kweli mateka walikuwa wanaachiliwa tena salama na vijibwa vyao?

Kwamba yupo asiyejua suluhu ilipo?

View attachment 2845900

Kwa hakika hata Natenyahu na Joe Biden wanajua vyema, na pasi na shaka.

Eh mola wetu wewe ndiye uliye mkuu, busara ikatamalaki dhidi ya ufwedhuli wa kibinadamu.
mbona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATO
 
mbona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATO

1. Nani alishabikia operations za Urusi? Usichanganye madesa.

2. Huwezi kuamini katika hali, usawa, uhuru au demokrasia kisha ukapinga Palestina, Ukraine, LGBTQ. nk.

3. Kinyume cha hapo ni ule urafiki wenye mashaka na Mungu na shweitwani kwa wakati mmoja.

4. #3 hapo ni yale ya kutaka kutembea njia 2 wakati mmoja.

5. Huo ndiyo ulio ukweli mchungu!
 
mbona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATO
Urusi ina haki yakuregesha ardhi zake zilizowatunuku wa ukraine
Kama ilivyo haki na wajibu kwa hamas kutetea ardhi zao walizoporwa namagaidi ya kizayuni
Hamas kundi teule kamatieni hapo hapo
 
Urusi ina haki yakuregesha ardhi zake zilizowatunuku wa ukraine

Masahihisho hapa tafadhali:

1. Urusi haina haki ardhi zake zilizowatunuku yeyote achilia mbali wa ukraine.

2. Tofautisha Soviet Union (USSR) na Russia.

3. #2 hapo tofautisha Tanzania, Tanganyika na Zanzibar; Tanganyika haina lolote Zanzibar bali Tanzania.

Kama ilivyo haki na wajibu kwa hamas kutetea ardhi zao walizoporwa namagaidi ya kizayuni
Hamas kundi teule kamatieni hapo hapo

1. Hapa si haba kwani sote tu wake, na kwake tutarejea.

2. Hayupo asiyekuwa mteule wake na hasa kila aliye mtenda mema.
 
Houthi na Hamas huko Hezballah
Yaani meli kukamatwa wameamua kuungana kutafuta suluhu mbwa hao
Na bado watalia sana
Wasomali waliteka meli zaidi ya 360
Hesabu bado ndogo sana
Watakubali tu

Jana wametishia veto mara kadhaa huku wakiomba chonde chonde azimio lisiondolewe:

IMG_20231219_133349.jpg


Watabana weee, ila wataachia tu!
 
Jana wametishia veto mara kadhaa huku wakiomba chonde chonde azimio lisiondolewe:

View attachment 2847124

Watabana weee, ila wataachia tu!
Bro yote hii ni maslahi tu washenzi hao
Wayemen kuanza kuteka meli ndio wameanza eti kuikandia Israel
Ila hizo ni mbinu tu za kizamani
Meli zitatekwa tu na fidia watatoa
Safari hii acha mashoga wao waandamane na wanaowatetea pia
Maisha yatakuwa magumu siku si nyingi
Wanatapatapa sana hapo Red Sea
 
Bro yote hii ni maslahi tu washenzi hao
Wayemen kuanza kuteka meli ndio wameanza eti kuikandia Israel
Ila hizo ni mbinu tu za kizamani
Meli zitatekwa tu na fidia watatoa
Safari hii acha mashoga wao waandamane na wanaowatetea pia
Maisha yatakuwa magumu siku si nyingi
Wanatapatapa sana hapo Red Sea

Bottom line mpalestina apewe haki yake:

IMG_20231218_005354.jpg
 
Mbona hawakusimamisha vita kipindi hamas wanaua watu hovyo pale walipovamia Israeli?!
 
Mbona hawakusimamisha vita kipindi hamas wanaua watu hovyo pale walipovamia Israeli?!
Acha ujinga. Hamas alipovamia Israel kulikuwa na vita? Kama kulikuwa na vita, ilipiganwa kwa muda gani mpakakuwe na pouse? Wewe mzee naona unakuwa mwili tu.
 
Back
Top Bottom