Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Marekani akisema kijana tulia, atatulia tu!, la sivyo hakuna zana za kijeshi kupelekwa kuua wapalestina, na pia diplomatic immunity kwenye security council itayeyuka!Israel hawezi kusikiliza ujinga yenyewe inaendelea na operation yake mpk magaidi wote wafutike kwenye uso wa dunia.
Mpaka aachie ngazi Netanyahu
Hasira za kaka yake hizo ila kisasi akiendeleza na wao wataendeleza tu
mbona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATOHii ni habari njema sana kwa kila mpenda haki, usawa, uhuru au demokrasia.
Kwamba, bunduki zinyamaze sasa. Kila mtu akazike wafu wake, wafungwa wabadilishwe ya kuwa somo kila mtu kajifunza:
View attachment 2845896
Nani mwenye ubavu wa kupiga veto leo?
Kwani nani hana kumbukumbu za mateka wale watu? Vipi shinikizo tokea kwa raia kote duniani? Nani asiyejua kunako masikilizano ni kweli mateka walikuwa wanaachiliwa tena salama na vijibwa vyao?
Kwamba yupo asiyejua suluhu ilipo?
View attachment 2845900
Kwa hakika hata Natenyahu na Joe Biden wanajua vyema, na pasi na shaka.
Eh mola wetu wewe ndiye uliye mkuu, busara ikatamalaki dhidi ya ufwedhuli wa kibinadamu.
doz inaendelea kama mlivyoona vita sio hatar kwa waukraine , muendelee hivyo hivyoSawa yahudi mweusi msemaji wa idf wa tawi la kijeshi la tandika maguruwe wamekusikia
mbona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATO
Urusi ina haki yakuregesha ardhi zake zilizowatunuku wa ukrainembona mlishabikia operation ya Urusi isiyo na sababu zeny mashiko eti anaogopa NATO wkt wapo majiran zake ambao ni NATO
Urusi ina haki yakuregesha ardhi zake zilizowatunuku wa ukraine
Kama ilivyo haki na wajibu kwa hamas kutetea ardhi zao walizoporwa namagaidi ya kizayuni
Hamas kundi teule kamatieni hapo hapo
Houthi na Hamas huko Hezballah
Houthi na Hamas huko Hezballah
Yaani meli kukamatwa wameamua kuungana kutafuta suluhu mbwa hao
Na bado watalia sana
Wasomali waliteka meli zaidi ya 360
Hesabu bado ndogo sana
Watakubali tu
Bro yote hii ni maslahi tu washenzi haoJana wametishia veto mara kadhaa huku wakiomba chonde chonde azimio lisiondolewe:
View attachment 2847124
Watabana weee, ila wataachia tu!
Bro yote hii ni maslahi tu washenzi hao
Wayemen kuanza kuteka meli ndio wameanza eti kuikandia Israel
Ila hizo ni mbinu tu za kizamani
Meli zitatekwa tu na fidia watatoa
Safari hii acha mashoga wao waandamane na wanaowatetea pia
Maisha yatakuwa magumu siku si nyingi
Wanatapatapa sana hapo Red Sea
Lazima iwe leo au kesho haki yake haitapotea
Magaidi ya Hamas lazima yasafishweLazima iwe leo au kesho haki yake haitapotea
Kama mwanaume nendaMagaidi ya Hamas lazima yasafishwe
Ataachaje kusikiliza wakati toka vita inaanza ni mtu wa kupewa msaada. European union na USA wakimchunia. Israel hatoboi kwenye hiyo vita
Unajua nini maana ya gaidi?Magaidi lazima wamalizwe Hamna namna
Acha ujinga. Hamas alipovamia Israel kulikuwa na vita? Kama kulikuwa na vita, ilipiganwa kwa muda gani mpakakuwe na pouse? Wewe mzee naona unakuwa mwili tu.Mbona hawakusimamisha vita kipindi hamas wanaua watu hovyo pale walipovamia Israeli?!