Kwa sababu hawana miyoyo ya kuhimili mikiki kama wanawake. Nivizuri pia na wao wapewe hiyo mikiki karne hii ili waeze kuhimili pia. Nadhani wataanza pia kuishi maisha marefu kama wanawake....e bana weeh,
hebu oa kwanza upate 'Cetificate' ya Ndoa. (Kumradhi kama ushaoa!)
...wenzio tulishamaliza degree na kukabidhi 'thesis' kwa Masters' study na sasa tunakimbizana na 'dissertation' tupate huo udakitari wa falsafa za Ndoa lakini wapi, Ndoa somo nyie!
Hivi unajua kwanini wanaume wengi hufa kabla ya wake zao?
...e bana weeh,
hebu oa kwanza upate 'Cetificate' ya Ndoa. (Kumradhi kama ushaoa!)
...wenzio tulishamaliza degree na kukabidhi 'thesis' kwa Masters' study na sasa tunakimbizana na 'dissertation' tupate huo udakitari wa falsafa za Ndoa lakini wapi, Ndoa somo nyie!
Hivi unajua kwanini wanaume wengi hufa kabla ya wake zao?
....nimkutafuta sana comrade, au ndo unaamka? homu boi hapa naona kama vile anatukana mamba vile wakati anatakiwa aende upande wapili na hakuna daraja.....ha!ha!ha!ha!....well said mzee wa Emirates!
kama nakosea,just tell me!I ACCEPT CHALLENGES
lakini kutishana kwamba YOU WILL GET TO KNOW THM SLOWLY una maana kali kidogo mkuu!...unataka watu waogope ndoa,au wawaogope wanawake!
kwamba kila anaeoa ni lazima ACHEAT!?
WENZANGU MNA NDOA ZENU!...nisaidieni uzoefu!kila mwenye ndoa ana cheat?
BRAVO!.
u made my day mkuu.
unatumia kinywaji gani vilee???, weitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
[/LIST]He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experienceYES!yes yes yes
.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!YES!...yes yes
...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!nadhani wifi yako atakuwa sahihi kukuanzishia ndogondogo...!YUPO SAHIHI SANA TU!ni jukumu langu kumwelekeza mazingira halisi ya kazi
hapana!SITAMTEMBEZEA!different people perceive different matters DIFFERENTLY!....kama mke ana haki zote 99 za ku-react.the question of how to react inategemea na degree of temper ALIYONAYO!..ukweli ni kwamba ukiwa mume wa mtu hupaswi kujenga hayo mazoea!...
....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!
hehehe!mimi ni mkristu,nipo against mila..!so hata mimi nitawatosa wazee
.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!
......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!hapo ninakiri udhaifu mkubwa kwa wanawake!...i will do my best to save my marriage
well,WIFE yupo sahihi,ndoa ni ya watu wawili NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.......lakini akishindwa kuonyesha respect kwa mzazi ATACHEZEA PERMANENT BAN!
......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!
.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????akiwa mpwaaz naenda nae,kinyume na hilo atapewa somo ataelewa.hili limefanyika practikale kwenye projekt yangu
.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!wife wangu si wa taipu hiyo!...anawaheshimu wapwaaz HAIJAPATA TOKEA
.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!WELL,biashara ya kuperuz simu yangu HAINA NAFASI.kuna call-barrings,na sekyuriti kodes n.k.lakini akinibamba live na mwanamke NI HAKI YAKE KUSUSPECT....!mimi nina jukumu la kuhakikisha namuelewesha!....
Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!karibu homeboy
BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!
[/LIST]
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experience
.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!
...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!
....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!
.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!
......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!
......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!
.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????
.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!
.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!
Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!
BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!
mkulu, mi nina wasi wasi hata sijui atamaliza kusoma au la. na pia kingine ni kwamba hata akimaliza kusoma hataelewa. walau kwa sasa
USHAURI ni kwamba aprint hii kitu aiweke for future use
Kwa sababu hawana miyoyo ya kuhimili mikiki kama wanawake. Nivizuri pia na wao wapewe hiyo mikiki karne hii ili waeze kuhimili pia. Nadhani wataanza pia kuishi maisha marefu kama wanawake.
........hapo ndipo kny utata, ingekuwa anafanya anversary ya 1 or 3 years hivi, ngeelewa sana na kurespect.....now? no haniconvince kabisa.....!experience sometimes ni mwalimu mzuri sana. Ujua mi naangalia mazingora ya hoja yenyewe na muda wenyewe
....stuka hapo mpwaaz!ndo maana tunasikia keleloe nyingi za CCJ, kumbe mwaka wa uchaguzi huu...get my point dear?
....Ongeza na NL hapo!hehehe!
nimepata upinzani mkubwa sana kutoka kwa gp,kaizer na masaki!....
NGOJA NITAFAKARI
....hili neno GP!Mnhh, jamani tungoje 13 february ipite kwanza, hizi sredi zingine tata!!.
no, utajishika pabaya wewe mwenyewe ujikute unabadilisha id, shauri yako.
.....Waifu wako ana argue kinyume chake.......!i can personaly say i fall in the remaining 30% only to be with an Unserious Woman!!
mkulu, mi nina wasi wasi hata sijui atamaliza kusoma au la. na pia kingine ni kwamba hata akimaliza kusoma hataelewa. walau kwa sasa
USHAURI ni kwamba aprint hii kitu aiweke for future use
Asiwe na wasiwasi nimesha muhifadhia kny Flash disk every thing......!
YES!....i hate it,i hate it so much
70%-of men involved in SERIOUS RELATIONSHIPS ARE NOT SERIOUS!.....ndio,lazima tuelezane ukweli
Nakushukuru sana kwa kuwa mkweli..hapa wanaume wala tusijitete ukweli ndio huo tunaobisha basi sisi wachawi
...si unaona sasa?
...no wonder mtu unaoa na nywele kichwani lkn baada ya miezi sita tu kipara kinaota, wengine mvi kichwani wala umri bado....
[/LIST]
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experience
.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!
...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!
....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!
.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!
......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!
......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!
.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????
.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!
.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!
Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!
BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!
Mkuu nimekugongea senks hadi nikatamani kubast (kurudia tena - mwendo wa JKT huo), basi tu hawa jamaa wangetupa opotyunite ya kurudia kidogo.
Kijana nimeshamweka sawa. Akapumzike kwanza. Lugha itapanda baada ya kulete ripoti ya projekti. Sasa hivi hakielewki kitu. Nimkumbushe tu kuwa "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe". Kwanza aione hiyo tamu na hamu iishe ndo tunaweza kuongea kithungu kinachofanana.
wengina hapo wanasema enhee...unaona anavojua kutunza, mzee hadi kipara sasa maana busara zinaongezeka...wapi! matatizo tu!
Mzee hebu mpe breki kidogo kwani kakubali kupumzika mwenyewe kabla ya kupigwa ban. Mshikaji akishamaliza projekti tutakaa tumsikilize. Bilivu me, lugha haitakuwa hiyo. Tunaokamilisha decade tumeshayaona mengi. The good news ni kuna raha nyingi kuliko karaha, ingawa hizo karaha kidogo zinahitaji roho ya paka kukabiliana nazo. Hayo mawimbi ya wadau wetu siyo ya kubeza.
hahaha mkuu DC nimekusoma. Kuna raha kweli kuliko karaha hasa kwa wale tunaoamini hivyo.
Huyu wetu tu tunampa muda. uzuri NL kasema anamsevia kwenye flash disk siku ya anniversary ya jubilei yamwaka mmoja basi tunamsomea kama risala ya wapwaz na mabinamuz....kisha tutamwomba aijibu!
hapa wanaume wala tusijitete ukweli ndio huo tunaobisha basi sisi wachawi
....yaani umekumbusha mzee mmoja teacher, yaani alivokuwa anapelekeshwa na bibie....sidhani kama atakuwa hai leo hii....kichwani mvit tupu....kitambi hicho....but....???wengina hapo wanasema enhee...unaona anavojua kutunza, mzee hadi kipara sasa maana busara zinaongezeka...wapi! matatizo tu!
...umefanya ze needful kumshauri akavute pumzi.....tena anatakiwa afanye mfungo kabisa...retreat kabla ya tukio aiseeeee!Mkuu nimekugongea senks hadi nikatamani kubast (kurudia tena - mwendo wa JKT huo), basi tu hawa jamaa wangetupa opotyunite ya kurudia kidogo.
Kijana nimeshamweka sawa. Akapumzike kwanza. Lugha itapanda baada ya kulete ripoti ya projekti. Sasa hivi hakielewki kitu. Nimkumbushe tu kuwa "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe". Kwanza aione hiyo tamu na hamu iishe ndo tunaweza kuongea kithungu kinachofanana.
....daaah DC upande ulioamkia leo.....hiyo blue ni PWENTI tupu, tayari imeshajaladiwa hii.......! GP ameshamwonya asibadili ID........!Mshikaji akishamaliza projekti tutakaa tumsikilize. Bilivu me, lugha haitakuwa hiyo. Tunaokamilisha decade tumeshayaona mengi. The good news ni kuna raha nyingi kuliko karaha, ingawa hizo karaha kidogo zinahitaji roho ya paka kukabiliana nazo. Hayo mawimbi ya wadau wetu siyo ya kubeza.
.....hapa kweli kuna malegendi walio kny serious relationships.....only reality prevails hapa aisee...! Karaha chache kny ndoa,bwana kuzihandle kazi ipo sana.....!hahaha mkuu DC nimekusoma. Kuna raha kweli kuliko karaha hasa kwa wale tunaoamini hivyo.
....don't worry wakuu....itakuwa salama kabisa maktaba!Huyu wetu tu tunampa muda. uzuri NL kasema anamsevia kwenye flash disk siku ya anniversary ya jubilei yamwaka mmoja basi tunamsomea kama risala ya wapwaz na mabinamuz....kisha tutamwomba aijibu
Sawa babaa,...si unaona sasa?
...no wonder mtu unaoa na nywele kichwani lkn baada ya miezi sita tu kipara kinaota, wengine mvi kichwani wala umri bado....
Sawa babaa,
Na nini hasa kinawapelekea kunyonyoka hiso ndefu vichwani mwao kama sio miyoyo legefu! Mbona zetu hazikati sinasidi kurefuka aiseee.
Hapo umenena wangu...lakini mbona hata hiyo security yenywe siku hizi inaonekana kupotelea kwa small houses! na bado sie tumo tuu. I think here our security master is only "Jesus Christ" kwa wenye imani kama yangu.......nyie huwa mahitaji just ''Security'' in life......zaidi hiyo hamna shida kabisa, hamtaki makuu.....!