UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

...e bana weeh,

hebu oa kwanza upate 'Cetificate' ya Ndoa. (Kumradhi kama ushaoa!)

...wenzio tulishamaliza degree na kukabidhi 'thesis' kwa Masters' study na sasa tunakimbizana na 'dissertation' tupate huo udakitari wa falsafa za Ndoa lakini wapi, Ndoa somo nyie!

Hivi unajua kwanini wanaume wengi hufa kabla ya wake zao?
Kwa sababu hawana miyoyo ya kuhimili mikiki kama wanawake. Nivizuri pia na wao wapewe hiyo mikiki karne hii ili waeze kuhimili pia. Nadhani wataanza pia kuishi maisha marefu kama wanawake.
 
...e bana weeh,

hebu oa kwanza upate 'Cetificate' ya Ndoa. (Kumradhi kama ushaoa!)

...wenzio tulishamaliza degree na kukabidhi 'thesis' kwa Masters' study na sasa tunakimbizana na 'dissertation' tupate huo udakitari wa falsafa za Ndoa lakini wapi, Ndoa somo nyie!

Hivi unajua kwanini wanaume wengi hufa kabla ya wake zao?

....nimekutafuta sana comrade, au ndo unaamka? homu boi hapa naona kama vile anatukana mamba vile wakati anatakiwa aende upande wapili na hakuna daraja.....ha!ha!ha!ha!....well said mzee wa Emirates!
 
....nimkutafuta sana comrade, au ndo unaamka? homu boi hapa naona kama vile anatukana mamba vile wakati anatakiwa aende upande wapili na hakuna daraja.....ha!ha!ha!ha!....well said mzee wa Emirates!

...we muache tu!

....akikoswa kswa na mamba, kuna viboko, kama sio viboko kuna mkondo, akikoswa koswa na yote japo tope litamtoa nishai.

...all in all mimi namuombea kila la kheri na huo 'mto', keshakunja suruali lazima avuke sasa.....
 
kama nakosea,just tell me!I ACCEPT CHALLENGES

lakini kutishana kwamba YOU WILL GET TO KNOW THM SLOWLY una maana kali kidogo mkuu!...unataka watu waogope ndoa,au wawaogope wanawake!

kwamba kila anaeoa ni lazima ACHEAT!?

WENZANGU MNA NDOA ZENU!
...nisaidieni uzoefu!kila mwenye ndoa ana cheat?


katika ile 30% mimi nipo pia, one of the most serious MAN come sun come rain. my wife is a place where I will always get relief and not otherwise. UPENDO tuu ndio Dawa yake, Kila la kheri G!, ningekuwa mitaa hiyo ningehudhuria tukio lako la kupata mweza, Mungu akutangulie bro1
 
[/LIST]
YES!yes yes yes
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experience

YES!...yes yes
.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!

nadhani wifi yako atakuwa sahihi kukuanzishia ndogondogo...!YUPO SAHIHI SANA TU!ni jukumu langu kumwelekeza mazingira halisi ya kazi
...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!

hapana!SITAMTEMBEZEA!different people perceive different matters DIFFERENTLY!....kama mke ana haki zote 99 za ku-react.the question of how to react inategemea na degree of temper ALIYONAYO!..ukweli ni kwamba ukiwa mume wa mtu hupaswi kujenga hayo mazoea!...

....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!

hehehe!mimi ni mkristu,nipo against mila..!so hata mimi nitawatosa wazee

.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!

hapo ninakiri udhaifu mkubwa kwa wanawake!...i will do my best to save my marriage
......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!

well,WIFE yupo sahihi,ndoa ni ya watu wawili NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.......lakini akishindwa kuonyesha respect kwa mzazi ATACHEZEA PERMANENT BAN!

......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!

akiwa mpwaaz naenda nae,kinyume na hilo atapewa somo ataelewa.hili limefanyika practikale kwenye projekt yangu
.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????

wife wangu si wa taipu hiyo!...anawaheshimu wapwaaz HAIJAPATA TOKEA
.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!

WELL,biashara ya kuperuz simu yangu HAINA NAFASI.kuna call-barrings,na sekyuriti kodes n.k.lakini akinibamba live na mwanamke NI HAKI YAKE KUSUSPECT....!mimi nina jukumu la kuhakikisha namuelewesha!....
.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!

karibu homeboy
Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!

BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!
 
[/LIST]
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experience


.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!

...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!



....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!



.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!

......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!



......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!

.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????


.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!

.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!

Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!

BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!

mkulu, mi nina wasi wasi hata sijui atamaliza kusoma au la. na pia kingine ni kwamba hata akimaliza kusoma hataelewa. walau kwa sasa

USHAURI ni kwamba aprint hii kitu aiweke for future use
 
Kwa sababu hawana miyoyo ya kuhimili mikiki kama wanawake. Nivizuri pia na wao wapewe hiyo mikiki karne hii ili waeze kuhimili pia. Nadhani wataanza pia kuishi maisha marefu kama wanawake.

...si unaona sasa?

...no wonder mtu unaoa na nywele kichwani lkn baada ya miezi sita tu kipara kinaota, wengine mvi kichwani wala umri bado....




 
experience sometimes ni mwalimu mzuri sana. Ujua mi naangalia mazingora ya hoja yenyewe na muda wenyewe
........hapo ndipo kny utata, ingekuwa anafanya anversary ya 1 or 3 years hivi, ngeelewa sana na kurespect.....now? no haniconvince kabisa.....!

ndo maana tunasikia keleloe nyingi za CCJ, kumbe mwaka wa uchaguzi huu...get my point dear?
....stuka hapo mpwaaz!

hehehe!
nimepata upinzani mkubwa sana kutoka kwa gp,kaizer na masaki!....
NGOJA NITAFAKARI
....Ongeza na NL hapo!

Mnhh, jamani tungoje 13 february ipite kwanza, hizi sredi zingine tata!!.
....hili neno GP!

no, utajishika pabaya wewe mwenyewe ujikute unabadilisha id, shauri yako.

i can personaly say i fall in the remaining 30% only to be with an Unserious Woman!!
.....Waifu wako ana argue kinyume chake.......!

mkulu, mi nina wasi wasi hata sijui atamaliza kusoma au la. na pia kingine ni kwamba hata akimaliza kusoma hataelewa. walau kwa sasa

USHAURI ni kwamba aprint hii kitu aiweke for future use

Asiwe na wasiwasi nimesha muhifadhia kny Flash disk every thing......!
 
YES!....i hate it,i hate it so much

70%-of men involved in SERIOUS RELATIONSHIPS ARE NOT SERIOUS!.....ndio,lazima tuelezane ukweli

Nakushukuru sana kwa kuwa mkweli..hapa wanaume wala tusijitete ukweli ndio huo tunaobisha basi sisi wachawi
 
...si unaona sasa?

...no wonder mtu unaoa na nywele kichwani lkn baada ya miezi sita tu kipara kinaota, wengine mvi kichwani wala umri bado....

wengina hapo wanasema enhee...unaona anavojua kutunza, mzee hadi kipara sasa maana busara zinaongezeka...wapi! matatizo tu!
 
[/LIST]
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!hii from experience


.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!

...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!



....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!



.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!

......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!



......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!

.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????


.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga ...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!

.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!

Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!

BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!


Mkuu nimekugongea senks hadi nikatamani kubast (kurudia tena - mwendo wa JKT huo), basi tu hawa jamaa wangetupa opotyunite ya kurudia kidogo.

Kijana nimeshamweka sawa. Akapumzike kwanza. Lugha itapanda baada ya kulete ripoti ya projekti. Sasa hivi hakielewki kitu. Nimkumbushe tu kuwa "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe". Kwanza aione hiyo tamu na hamu iishe ndo tunaweza kuongea kithungu kinachofanana.
 
wengina hapo wanasema enhee...unaona anavojua kutunza, mzee hadi kipara sasa maana busara zinaongezeka...wapi! matatizo tu!

Mzee hebu mpe breki kidogo kwani kakubali kupumzika mwenyewe kabla ya kupigwa ban. Mshikaji akishamaliza projekti tutakaa tumsikilize. Bilivu me, lugha haitakuwa hiyo. Tunaokamilisha decade tumeshayaona mengi. The good news ni kuna raha nyingi kuliko karaha, ingawa hizo karaha kidogo zinahitaji roho ya paka kukabiliana nazo. Hayo mawimbi ya wadau wetu siyo ya kubeza.
 
Mzee hebu mpe breki kidogo kwani kakubali kupumzika mwenyewe kabla ya kupigwa ban. Mshikaji akishamaliza projekti tutakaa tumsikilize. Bilivu me, lugha haitakuwa hiyo. Tunaokamilisha decade tumeshayaona mengi. The good news ni kuna raha nyingi kuliko karaha, ingawa hizo karaha kidogo zinahitaji roho ya paka kukabiliana nazo. Hayo mawimbi ya wadau wetu siyo ya kubeza.

hahaha mkuu DC nimekusoma. Kuna raha kweli kuliko karaha hasa kwa wale tunaoamini hivyo.

Huyu wetu tu tunampa muda. uzuri NL kasema anamsevia kwenye flash disk siku ya anniversary ya jubilei yamwaka mmoja basi tunamsomea kama risala ya wapwaz na mabinamuz....kisha tutamwomba aijibu!
 
hahaha mkuu DC nimekusoma. Kuna raha kweli kuliko karaha hasa kwa wale tunaoamini hivyo.

Huyu wetu tu tunampa muda. uzuri NL kasema anamsevia kwenye flash disk siku ya anniversary ya jubilei yamwaka mmoja basi tunamsomea kama risala ya wapwaz na mabinamuz....kisha tutamwomba aijibu!


Ni poa sana ila tusimtishe. 13/2 anaweza kujikuta anapata mental block na kutema mzigo mbele ya kasisi. Kwa sasa tumwambie tu kwamba mambo yooote ni mswano kama kuangalia mwisho wa bahari!!! Yeye mwenyewe atakuja kutujuvya tu hata kwa PM. Pia tumwombee, malengo yake ni mazuri sana hata kama yataishia kuwa kama Ujamaa wa Nyerere!!
 
hapa wanaume wala tusijitete ukweli ndio huo tunaobisha basi sisi wachawi

.....ukweli upi sasa? tunachosema hapa kny ndoa kuna ups and downs, zipo raha nyingi sana na karaha....not always zinasbabishwa na mwanaume kutokuwa serious..... mzee!

wengina hapo wanasema enhee...unaona anavojua kutunza, mzee hadi kipara sasa maana busara zinaongezeka...wapi! matatizo tu!
....yaani umekumbusha mzee mmoja teacher, yaani alivokuwa anapelekeshwa na bibie....sidhani kama atakuwa hai leo hii....kichwani mvit tupu....kitambi hicho....but....???

Mkuu nimekugongea senks hadi nikatamani kubast (kurudia tena - mwendo wa JKT huo), basi tu hawa jamaa wangetupa opotyunite ya kurudia kidogo.

Kijana nimeshamweka sawa. Akapumzike kwanza. Lugha itapanda baada ya kulete ripoti ya projekti. Sasa hivi hakielewki kitu. Nimkumbushe tu kuwa "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe". Kwanza aione hiyo tamu na hamu iishe ndo tunaweza kuongea kithungu kinachofanana.
...umefanya ze needful kumshauri akavute pumzi.....tena anatakiwa afanye mfungo kabisa...retreat kabla ya tukio aiseeeee!

Mshikaji akishamaliza projekti tutakaa tumsikilize. Bilivu me, lugha haitakuwa hiyo. Tunaokamilisha decade tumeshayaona mengi. The good news ni kuna raha nyingi kuliko karaha, ingawa hizo karaha kidogo zinahitaji roho ya paka kukabiliana nazo. Hayo mawimbi ya wadau wetu siyo ya kubeza.
....daaah DC upande ulioamkia leo.....hiyo blue ni PWENTI tupu, tayari imeshajaladiwa hii.......! GP ameshamwonya asibadili ID........!

hahaha mkuu DC nimekusoma. Kuna raha kweli kuliko karaha hasa kwa wale tunaoamini hivyo.
.....hapa kweli kuna malegendi walio kny serious relationships.....only reality prevails hapa aisee...! Karaha chache kny ndoa,bwana kuzihandle kazi ipo sana.....!

Huyu wetu tu tunampa muda. uzuri NL kasema anamsevia kwenye flash disk siku ya anniversary ya jubilei yamwaka mmoja basi tunamsomea kama risala ya wapwaz na mabinamuz....kisha tutamwomba aijibu
....don't worry wakuu....itakuwa salama kabisa maktaba!
 
Geoff... Big up. Mbona umpotezee muda na kumchezea mtoto wa watu? Infact jamaa wa aina hiyo huwa wanapata good babes halafu they play games with their hearts.

Ndo maana sasa hivi I believe in Turner's song ...whats love got to do with it, when infact a heart can be broken?

Heeh x-factor unajijua I dedicate this thread to youuuuuuuuu...................
 
...si unaona sasa?

...no wonder mtu unaoa na nywele kichwani lkn baada ya miezi sita tu kipara kinaota, wengine mvi kichwani wala umri bado....
Sawa babaa,

Na nini hasa kinawapelekea kunyonyoka hiso ndefu vichwani mwao kama sio miyoyo legefu! Mbona zetu hazikati sinasidi kurefuka aiseee.
 
Sawa babaa,

Na nini hasa kinawapelekea kunyonyoka hiso ndefu vichwani mwao kama sio miyoyo legefu! Mbona zetu hazikati sinasidi kurefuka aiseee.

......nyie huwa mahitaji just ''Security'' in life......zaidi hiyo hamna shida kabisa, hamtaki makuu.....!
 
......nyie huwa mahitaji just ''Security'' in life......zaidi hiyo hamna shida kabisa, hamtaki makuu.....!
Hapo umenena wangu...lakini mbona hata hiyo security yenywe siku hizi inaonekana kupotelea kwa small houses! na bado sie tumo tuu. I think here our security master is only "Jesus Christ" kwa wenye imani kama yangu.
 
Back
Top Bottom