[/LIST]
He!he!he!heeee unautani wewe....moja huwa inaanzisha nyingine....utarudi saa tisa home.....trust me, wifi NL atamchekea tu akuridhishe, kwake NL atakuwa mtu mbaya sana......!
hii from experience
.....ukipitia Jumbo, mtakamata kilaji mpk tano au sita, ukitaka kuchomoka mapema Fidel taanza kukustukia....daaa mshikaji tangia aoe imekuwa hiv hivi bla!bla! ukichelewa hm ndo hivo..jiandae mzungu wa nne....!ha!ha!ha!haaaa mpk raha....!
nadhani wifi yako atakuwa sahihi kukuanzishia ndogondogo...!YUPO SAHIHI SANA TU!ni jukumu langu kumwelekeza mazingira halisi ya kazi
...mkishazoeana huo muda huwa hautoshi kumwelekeza akaelewa, anakuwa tayari na hypothesis zake......! imagine boc wako na wewe kakustua tu....tena ukute cm haina credit au charge hamna, so mpk ufike hm umwambie kesho nasafiri......moto wake huwezi uzima hivi hivi....!
hapana!SITAMTEMBEZEA!different people perceive different matters DIFFERENTLY!....kama mke ana haki zote 99 za ku-react.the question of how to react inategemea na degree of temper ALIYONAYO!..ukweli ni kwamba ukiwa mume wa mtu hupaswi kujenga hayo mazoea!...
....kuwa practical bro, mazoea nayosema hapa ni yakawaida kabisa...sio kwa ubaya mzee....thank God kama wifi atakuwa na hekima ya pekee mkuu!
hehehe!mimi ni mkristu,nipo against mila..!so hata mimi nitawatosa wazee
.....Sasa bro ukifikia kumtosa maza ukamtetea wifi, perception ya wazee wako wale darasa la ngumbalo itakuwa mbaya sana.....watajua umelishwa ile kitu au unakaliwa na wifi.....tena wa kule homu ni balaa! Ufa kati ya ndoa yenu na ndugu zako ww utakuwa mkubwa sana......! cha msingi ktk hali km hiyo, yale mambo ambayo ni ya mila na desturi kule hm ww unatakiwa kutumia SOCIAL politics kuyahandle vinginevyo will tell me!
hapo ninakiri udhaifu mkubwa kwa wanawake!...i will do my best to save my marriage
......he!he!he! easily said than done.....kny ndoa huwa tunasave zaidi usalama wa watoto sio NDOA kaka.....!
well,WIFE yupo sahihi,ndoa ni ya watu wawili NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.......lakini akishindwa kuonyesha respect kwa mzazi ATACHEZEA PERMANENT BAN!
......hapo kny blue, ndoa ni ya wawili but kumbuka, mama yako hata ukizeeka vipi, ataendelea kuona hujakua na unahitaji ulinzi wake...sawa? Hivyo kinachotakiwa wazazi wenu wote (wa wifi na wako) lazima waheshimiwe, hata kama nyie mnatofautiana, so to me hunishawishi kabisa eti wifi yako anamconfront maza then mi nimwache hivi hivi.....ilani lazima itapita! hivyo hivyo, katu katu siwezi mtukani, au kumconfront mama yake kwa sababu yeyote ile....nitanyamaa kimya.......! hapo kny light blue, ndo measure ambayo huchukulia daima, no matter what!
akiwa mpwaaz naenda nae,kinyume na hilo atapewa somo ataelewa.hili limefanyika practikale kwenye projekt yangu
.....weweeeeee....lelo ndifywa! we utaenda vacation na wifi, homu kuna HG na watoto wawili kweli hata km yy ni mpwa? somo gani utampa zaidi ya kumpiga fix????
wife wangu si wa taipu hiyo!...anawaheshimu wapwaaz HAIJAPATA TOKEA
.....stuka homu boi....anakuvutia pumzi....we kapige kitanzi then njoo sema anaheshimu wapwaaza hapa......he!heh!he!he!he!he! hiyo kule homu huitwaga
...gonelele nyamnyongo, avayino vahele......!
WELL,biashara ya kuperuz simu yangu HAINA NAFASI.kuna call-barrings,na sekyuriti kodes n.k.lakini akinibamba live na mwanamke NI HAKI YAKE KUSUSPECT....!mimi nina jukumu la kuhakikisha namuelewesha!....
.....Weeeeeeeeee komaaaaa....yaani ubavu wako unauwekea security kny simu eeeh? unaficha nini huko ndani? mwachie uhuru bana.....! Where is DARK CITY here.....msaada tutani DC please!
Nitakuja kivingine homu boi.......! ngoja nimalizie box kadha hapa.....!..also note that, hii conversation yangu na ww nimeimuvuzisha kny DISK na nimejaladia as well for records......!
BWT: Waiter hebu mpe JOFU tusker bariiiiiidi kakaukiwa koo......!