UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

Mkuu kwa hili ni kweli kabisa... hizi ni dakika za majeruhi na cha maana ni wewe ku-calm down!!! jichukulie kama unaoa mkeo vile halafu utaona mambo yalivyo rahisi

the most difficult part ya ndoa ni pale mnapoandaa mambo, vitu kama utambulisho, posa, kupanga dates nk. lakini kwa sasa hata iweje omba uzima utashangaa mambo yanavyokwenda

I am certain kwamba utaona tambarare

Umeshaanza likizo?

Hata mimi simwelewi. Nilijua naye atakaa ndani kama mwezi aweze kupumzisha kichwa, lakini yeye bado tu amening'inia kwenye PC. Hizi hadithi zipo nyingi tu, na nyingine hii hapa (https://www.jamiiforums.com/mahusia...47-wanaume-na-wasichana-wa-kazi-za-ndani.html). Atazikuta tu!
 
well,
nipo free kiaina!
jana tulikuwa na kikao cha bajeti kimeisha saa saba usiku!...nimerudi home nimepigwa na mvua haijawahi kutokea!...IMENIUMA SANA
NIMEFIKIRIA MAMBO MENGI HADI NIKAKARIBIA KUKUFURU

...there you go!

mkiwa kwenye uchumba kuelekea kwenye maandalizi mpaka siku ya harusi, kuna 'alinacha' nyingi sana unakumbana nazo... kila mtu anataka kukuonyesha wewe ndiye wewe...

Kimbembe kinaanzia the morning after the night before...
Unaamka kitandani na maruweruwe ya jana unaangalia upande wa pili wa mto na kujiuliza "...WTF?" (excuse my french)
 
...there you go!

mkiwa kwenye uchumba kuelekea kwenye maandalizi mpaka siku ya harusi, kuna 'alinacha' nyingi sana unakumbana nazo... kila mtu anataka kukuonyesha wewe ndiye wewe...

Kimbembe kinaanzia the morning after the night before...
Unaamka kitandani na maruweruwe ya jana unaangalia upande wa pili wa mto na kujiuliza "...WTF?" (excuse my french)

Hahaaaa... there you go!!!! Its for life dude... Yes, for the rest of your life!!!! Hahahaaaa
 
Hahaaaa... there you go!!!! Its for life dude... Yes, for the rest of your life!!!! Hahahaaaa


Mkuu De Novo asante kwa salaaam za jana, nimezipata mkulu! Many thanks!
 
Asante sana mkuu kwa useful post, mi wananikera sana hawa wanaume kunyanyasa wenzao wanawake as if they are gods, na walaaniwe.
 
Mkuu De Novo asante kwa salaaam za jana, nimezipata mkulu! Many thanks!

Kaizer, it was exciting... jana was very exciting for me!!! Ngoja kijana aoe halafu tuvunje makabati na friji
 
I think if you are not happy in a relationship it better to call it off....IF he is not serious you cant just change him...I dont know why ppl sticks with ppl who treat them bad...
 
Hatimaye naona kijana kameza piliton za kutosha.......kalala fofofo......huyo nadhani tutaonane naye 13/02........!
 
Back
Top Bottom