Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ununuaji wa views Youtube mambo hadharani

Ali alikuwepo ndio kama diamond but hakuwah kuufikisha mziki wetu mbali kama alivyofanya diamond
Inategemea mbali unaitafsiri vipi.Ila ujue tu mziki wa zamani haukuwa rahisi kama huu wa leo wenye social network za kumwaga.

Leo hii Msanii anaweza akaachia ngoma mpya na asipeleke kwenye radio ila watu wa radio wakaitafuta wenyewe kwa njia zao.

Kwa wakati ule Ali aliufikisha mziki sehemu yake kwa juhudi zake na mziki wa zamani ulivyokuwa na diamond kaupeleka mbele huku akisaidiwa na upepo wa Social network
 
Inategemea mbali unaitafsiri vipi.Ila ujue tu mziki wa zamani haukuwa rahisi kama huu wa leo wenye social network za kumwaga.

Leo hii Msanii anaweza akaachia ngoma mpya na asipeleke kwenye radio ila watu wa radio wakaitafuta wenyewe kwa njia zao.

Kwa wakati ule Ali aliufikisha mziki sehemu yake kwa juhudi zake na mziki wa zamani ulivyokuwa na diamond kaupeleka mbele huku akisaidiwa na upepo wa Social network
Hata leo domo akifa ataacha legacy ya kuwa mmoja kati ya walioupekeka mziki wa bongoflava katika level ya juu sana

Lkn kiba hana cha kukumbukwa
 
Hata leo domo akifa ataacha legacy ya kuwa mmoja kati ya walioupekeka mziki wa bongoflava katika level ya juu sana

Lkn kiba hana cha kukumbukwa
Sisi tutamkumbuka wewe usipomkumbuka hayo ni maamuzi yako
 
Hate him or like him ..Diamond is doing a great job

Kwa hiyo hata mafanikio yake yota ananunua?

Basi kama yananunuliwa na wengine wanunue

Tunataka wafanikiwe wengi zaidi

Tanzania Ipae

Ila kama mnaongea amajungu tu ..Mtalaaniwa
 
Inategemea mbali unaitafsiri vipi.Ila ujue tu mziki wa zamani haukuwa rahisi kama huu wa leo wenye social network za kumwaga.

Leo hii Msanii anaweza akaachia ngoma mpya na asipeleke kwenye radio ila watu wa radio wakaitafuta wenyewe kwa njia zao.

Kwa wakati ule Ali aliufikisha mziki sehemu yake kwa juhudi zake na mziki wa zamani ulivyokuwa na diamond kaupeleka mbele huku akisaidiwa na upepo wa Social network
muongo mkubwa zamani hizo unazo sema wewe labda msondo ngoma ndio nakubali vp Ay aliwezaje kuforwad poor kibakul
 
Inategemea mbali unaitafsiri vipi.Ila ujue tu mziki wa zamani haukuwa rahisi kama huu wa leo wenye social network za kumwaga.

Leo hii Msanii anaweza akaachia ngoma mpya na asipeleke kwenye radio ila watu wa radio wakaitafuta wenyewe kwa njia zao.

Kwa wakati ule Ali aliufikisha mziki sehemu yake kwa juhudi zake na mziki wa zamani ulivyokuwa na diamond kaupeleka mbele huku akisaidiwa na upepo wa Social network
Co kweli coz Ali hakuwa peke yake walikuwepo na wakina Mr blue, mwanafa na diamond aliwakuta na hawakufanya chochote mpaka d alipokuja kufanya mabadiliko, so tukubali tukatae d ndio aliofanya huu mziki umefika hapa leo
 
Co kweli coz Ali hakuwa peke yake walikuwepo na wakina Mr blue, mwanafa na diamond aliwakuta na hawakufanya chochote mpaka d alipokuja kufanya mabadiliko, so tukubali tukatae d ndio aliofanya huu mziki umefika hapa leo

Mi nashangaa sana.....Huyo alikiba ameimba kipi hasa..manake naona anasafiria mgongo wa mondi tu...

Ni sawa na Ray alivokuwa anasafiria mgongo wa kanumba
 
Mashabiki wa ali kiba sikieni nikwambieni, video ya rich mavoko wakati inatoka ilikuwa namba moja ktk trending TZ kwasababu ndo ilikuwa inaangaliwa sana na watanzania. Kadri siku zinavokwenda haitazamwi sana tanzania, bali nchi mbalimbali duniani ndo mana ina view wengi lakini aitrend sana in tz, ukipiga hesabu darasa ni trend 1 in tz means anatizamwa sana tz, so ndo umuhmu wa kuwainternational, hata kama hautrend bongo utapata view wengi mana unaangaliwa nchi nyingi. Ndomana salome au pana zinaangaliwa sana ila ktk kutrend tz hazipo sababu za kimataifa
Kwanza mimi sio bwege pili sio shabiki wa msanii yeyote bali nyimbo nzuri hata wewe ukitoa nyimbo nzuri ntaikubali hivo hivo kwa diamond na alikiba na msanii yeyote yule.
 
Co kweli coz Ali hakuwa peke yake walikuwepo na wakina Mr blue, mwanafa na diamond aliwakuta na hawakufanya chochote mpaka d alipokuja kufanya mabadiliko, so tukubali tukatae d ndio aliofanya huu mziki umefika hapa leo
Mm ndio hata sikuelewi.

Unataka kusemaje sasa...Ali hajafanya chochote kwenye huu muziki au?!
 
Co kweli coz Ali hakuwa peke yake walikuwepo na wakina Mr blue, mwanafa na diamond aliwakuta na hawakufanya chochote mpaka d alipokuja kufanya mabadiliko, so tukubali tukatae d ndio aliofanya huu mziki umefika hapa leo
Huu ndio ukweli angalau kuna wachache na wagumu kuelewa bado watabisha sana.
 
Kwanza huyo max ndio nani!!?,
Na ana fanya shughuli gani mpaka athibitishe kuwa diamond kanunua likes!!?

It doesnt make sense hapo
Kumbe upo jirani, ila punguzeni mahaba mshaurini domo pale panapostahili, mwambie pia apunguze mapovu
 
Mm ndio hata sikuelewi.

Unataka kusemaje sasa...Ali hajafanya chochote kwenye huu muziki au?!
I think jibu unalo, Ali kama mtoto uji kapikiwa yeye anafanya kunywa tuu, aliona mziki mgumu ndo mana aliamua kupumzika now kaona kashatengenezewa njia na d ndo karud kula matunda ya uhuru
 
Back
Top Bottom