Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Mimi siyo mlevi mtumishkijana umekunywa pombe gani? lala upumzishe akili uache kuona vitu vya kipuzi
Bali Mimi ni mtumish wa YESU KRISTO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siyo mlevi mtumishkijana umekunywa pombe gani? lala upumzishe akili uache kuona vitu vya kipuzi
Ufunuo 3:21Kwa Namna mambo yalivyo magumu Bora arudi tu! Twende kwenye makao ya milele!
Things are tough ... Kutunza vazi la wokovu kutochafuka si kazi nyepesi!
Yesu urudi! Nipe neema yako kuwa sehemu ya kuvuna nafsi nyingi ili waweze kurithi UFALME wako
Japo nahisi kukata tamaa! Ila nampenda Kristo
Ubarikiwe sana MkuuUfunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika KITI changu Cha enzi, kama Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na BABA yangu katika KITI chake Cha enzi.
.... Mwisho wa kunukuu....
Usikate tamaa, ikiwa Yesu akikubali kuacha KITI Cha enzi Mbinguni, akashuka na kushinda, wewe pia usikubali chochote kikufarakanishe na mbingu, Roho mtakatifu akutie nguvu upambane Hadi mwisho na kushinda.
Ubarikiwe 🙏
Mungu sifa yake kuu ni Mwaminifu na WA Kweli.Ubarikiwe sana Mkuu
Niweke kwenye maombi ..
Mungu anivushe hapa nilipo
Mtumishi naweza kuku PM?Ufunuo 3:21
Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika KITI changu Cha enzi, kama Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na BABA yangu katika KITI chake Cha enzi.
.... Mwisho wa kunukuu....
Usikate tamaa, ikiwa Yesu akikubali kuacha KITI Cha enzi Mbinguni, akashuka na kushinda, wewe pia usikubali chochote kikufarakanishe na mbingu, Roho mtakatifu akutie nguvu upambane Hadi mwisho na kushinda.
Ubarikiwe 🙏
No,Mtumishi naweza kuku PM?
Ubarikiwe 🙏amina..
Salaam,Shalom!!
Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,
Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.
Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.
.......Mwisho wa taarifa......
Source: Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.
(Waraka wa Yuda 1:14)
Na Henoko, mtu wa Saba baada ya Adamu, aliutoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja pamoja na WATAKATIFU wake, maelfu elfu. Ili afanye HUKUMU juu ya watu wote.
Ufunuo wa Yohana 14:1-5,
1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.
Ufunuo wa Yohana 19:11-16.
11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.
12:Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.
13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.
14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.
15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.
16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.
Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.
Karibu katika familia ya Mungu 🙏
Ni alert Kwa WATAKATIFU kujiweka tayari,Haya
Sasa amka Oga nenda katafute mkate wa kila siku
Mungu akurehemu!Umezinguwa ungemwambia "bwana hilo panga lako si kitu kwa makombora ya Netanyahu". 1 billion PILATOS = 1 NETANYAHU
halafu kuna mbuzi humu zitaamini huu upupuSalaam,Shalom!!
Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni,
Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita mawinguni amepanda farasi mweupe, na farasi huyo alipita akikanyaga mawingu kama farasi apitapo Nchi kavu,Majeshi ya Malaika yalifuatana naye wakiwa pia wamepanda juu ya farasi weupe Kila Mmoja, na baada ya Mfalme Yesu kupita akiambatana na Majeshi ya Mbinguni, aligeuka na kunitizama huku usoni mwake akiwa ametabasamu.
Nilijaribu kutaka kuwaonyesha Walio karibu yangu Ili waangalie juu na kuona kinachotokea lakini sikuona aliyebahatika kuona nilichoona, nilitamani kumfuata huko aliko mawinguni Ili kufurahi na kuambatana naye lakini baada ya kunitizama, akageuka na kuendelea na msafara wa Majeshi ya Malaika na WATAKATIFU wake.
.......Mwisho wa taarifa......
Source: Niliyoyaona na kuyaandika, yapo katika vifungu hivi ndani ya BIBLIA.
(Waraka wa Yuda 1:14)
Na Henoko, mtu wa Saba baada ya Adamu, aliutoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, angalia Bwana alikuja pamoja na WATAKATIFU wake, maelfu elfu. Ili afanye HUKUMU juu ya watu wote.
Ufunuo wa Yohana 14:1-5,
1: Kisha nikaona na tazama huyo mwana kondoo, amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye Jina lake na Jina la baba yake limeandikwa katika VIPAJI vya NYUSO ZAO.
Ufunuo wa Yohana 19:11-16.
11: Kisha nikaziona mbingu zimefunuka, na tazama, farasi weupe, na Yeye aliyempanda, aitwaye Mwaminifu na Wa- Kweli, naye Kwa HAKI ahukumu na kufanya vita.
12:Na macho yake yalikuwa kama mwali wa moto, na juu ya KICHWA chake, vilemba vingi, naye ana Jina lililoandikwa, asilolijua mtu ila Yeye mwenyewe.
13: Naye amevikwa vazi lililochovywa katika Damu, na Jina lake aitwa NENO la Mungu.
14: Na Majeshi yaliyo Mbinguni wakamfuata, wamepanda farasi weupe na kuvikwa kitani nzuri, nyeupe, safi.
15: Na upanga mkali hutoka kinywani mwake Ili awapige mataifa Kwa huo. Naye atawachunga Kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadgabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.
16. Naye ana Jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.
Ikiwa unapenda kujitakasa Ili usiachwe pale WATAKATIFU watakaponyakuliwa, fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN.
Karibu katika familia ya Mungu 🙏
Ni alert Kwa WATAKATIFU kujiweka tayari,
Na kujiweka tayari ni kuishi MAISHA ya utakatifu,
Hiyo haimaanishi kuacha kufanya KAZI halali,
Usiwe na uono hafifu juu ya maandiko.
eti ameshika panga🤣🤣🤣🤣🤣🤣amkate nani sasa?Umezinguwa ungemwambia "bwana hilo panga lako si kitu kwa makombora ya Netanyahu". 1 billion PILATOS = 1 NETANYAHU
Sasa mkristo awezaje Kutoamini neno la Mungu na akaendelea kuwa mkristo!halafu kuna mbuzi humu zitaamini huu upupu
wakiristo wajinga sana
kwahio wewe ni mungu?Sasa mkristo awezaje Kutoamini neno la Mungu na akaendelea kuwa mkristo!
Neno la Mungu linasema wazi, Unyakuo utatokea maisha yakaendelea kama kawaida,Sawa tumeelewa
Kuna Maisha after maandiko
So jiandae kwenda kupambana na changamoto za dunia,
Hayo maandishi yapo Tu
Uliza swali🙏kwahio wewe ni mungu?
Bange nomakijana umekunywa pombe gani? lala upumzishe akili uache kuona vitu vya kipuzi