Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Gavana

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2008
Posts
33,637
Reaction score
8,947
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya Uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya Ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji


 
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote.
 
Mkipora kwa bunduki haki yetu ya kuchagua viongozi kwa kura, tutaanza kulenga vichwa vyenu.
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote
 
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote

Angalia hii hali

 
Mwalimu nyerere ANGEYAONA HAYA HAKIKA ANGELIA KILIO KIKUU.

NCHI ALIYOIPIGANIA KWA DAMU NA JASHO WAO KWA WAO WAMEANZA KUCHINJANA KAMA WANYAMA.

Jiwe ni Mtusi ndio maana katili watanzania tulizoea kuishi kwa upendo.
Jiwe analipeleka wapi hili Taifa?
 
Wahutu kwa kawaida yao (Mu-7, Kagame, Nkurunziza) hawaondoki. 2025 akiwa mzima anabadili katiba ama anatafuta Mhutu mwenzie humo CCM. Tutaendelea hivi kwa muda mrefu sana. Na kwa vile ni waoga wa kuandamana, we are in for it.
Maandamano ya amani hawayataki wanauwa watu iliyobaki ni kufanywa sunna tu na faradhi ikibidi
 
Back
Top Bottom