Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote
Itakuwa unapigwa nao wewe sio bure. Mzee wa miaka 80 kuna amani gani anayoweza kuvunja! Nenda.kapigwe nao huko kuna la mama yako!
 
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote
Tumia hata akili ya mbuzi kuvukia barabara , kwani mamlaka ya polisi ni kuua watu ? Ndio sheria inavyosema hivyo? Sheria inataka polisi kutumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha sio risasi za moto , mamlaka ya kuua nyinyi CCM mmeyapata wapi ? Kwanani ?hata vitabu vyote vya dini havisemi wapinzani wauwawe kwa risasi za moto au mamlaka hayo ya kuua mnayatoa kwa mungu wa ccm mwenge Nyamrunda ?
 
Tumia hata akili ya mbuzi kuvukia barabara , kwani mamlaka ya polisi ni kuua watu ? Ndio sheria inavyosema hivyo? Sheria inataka polisi kutumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha sio risasi za moto , mamlaka ya kuua nyinyi CCM mmeyapata wapi ? Kwanani ?hata vitabu vyote vya dini havisemi wapinzani wauwawe kwa risasi za moto au mamlaka hayo ya kuua mnayatoa kwa mungu wa ccm mwenge Nyamrunda
Wewe ndo huelewi, mbona polisi ameuawa? Au polisi siyo binadamu, kwa kawaida kutishia ni Mara tatu kupiga risasi hewani, kama wanazidi kusonga mbele tena kurusha mawe, na silaha zingine... Hapo lazima mtu akalishwe chini ili kutuliza ghasia.
 
Halafu Hutu likatumia billioni kumi kuwalipa wahutu liliowaleta toka Burundi .
Hapa ndipo mnaposhindwa! Hata kama mkiwa na haki, mtadharailiwa kwa sababu ya kutumia uongo ili mvune huruma!
Nakubaliana na wewe, hao wahutu kutoka Burundi walikuja na manowari iliyokuwa inatembea barabara za mwendo kasi Unguja! Wakati mwingine walikuwa ndani ya Nyambizi zilizo pitishwa SGR kusini magharibi!
Unapata faida gani kutumia uongo?
 
H
Mwalimu nyerere ANGEYAONA HAYA HAKIKA ANGELIA KILIO KIKUU.

NCHI ALIYOIPIGANIA KWA DAMU NA JASHO WAO KWA WAO WAMEANZA KUCHINJANA KAMA WANYAMA.

Jiwe ni Mtusi ndio maana katili watanzania tulizoea kuishi kwa upendo.
Jiwe analipeleka wapi hili Taifa???
Hii paragraph ya mwisho kila mmoja amejua wewe ni hayawani! Zile mbili mtu angefikiri wewe ni wa kawaida!
 
Amevuna alichopanda, nani alimwambia afanye fujo, amlaumu aliemwambia akafanye fujo
Huyu mtu alichukuliwa nyumbani kwake akiwa ametulia barazani.

Alipanda kipi hapo barazani cha kuvuna Mateso namna ile ?
 
Ndio nchi yetu ilipofikishwa hapa, mgawanyiko wa hatari sana huu ktk jamii yetu, tumehacha kulithamini taifa letu kwa sababu ya matendo ya ovyo ya Jiwe na ccm.

Sincerely hili giza linakaribia kupambazuka, sitashangaa kusikia Alshaabab wameifadhiwa hapo manzese, mburahati au ata hapa mzambarauni kwa lengo la kwenda kulipua wizara fulan au ata ikulu kwani Jiwe na ccm wametufanya tuichukie sana nchi yetu.

Owk time will tell.

Wahutu kwa kawaida yao (Mu-7, Kagame, Nkurunziza) hawaondoki. 2025 akiwa mzima anabadili katiba ama anatafuta Mhutu mwenzie humo CCM. Tutaendelea hivi kwa muda mrefu sana. Na kwa vile ni waoga wa kuandamana, we are in for it.
 
Back
Top Bottom