Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Eti kuna wapuuzi wanakuambia tz ni nchi ya amani, amani ipi hiyo wanayozungumzia kama watu wasiokuwa na hatia wanateswa na kuuwawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nashauri watanzania wote tufanye tuwasomee duwa hawa washenzi Mungu atatusikia tu , mimi kila siku nikitoka kubeba boksi lazima nimsomee Jiwe dua ya viongozi dhalimu , jeuri ndio nilale yaani wote tukifanya hivyo damu za waliokufa hazitapotea bure . Kama watu hamuijui niwawekee hapa nikumgonga duwa Jiwe na ka Hussein Mwinyi Mpaka wabroo .Maandamano ya amani hawayataki wanauwa watu iliyobaki ni kufanywa sunna tu na faradhi ikibidi
Kukosa akili ni ugonjwa mbaya sana! nahisi ulivyo na akili ndogo hata jinsia yako huijui vyema! Huyu mzee ni babu au baba yako jua hilo.Amevuna alichopanda, nani alimwambia afanye fujo, amlaumu aliemwambia akafanye fujo.
Hapo nimetoka kapa bin nilHalafu Hutu likatumia billioni kumi kuwalipa wahutu liliowaleta toka Burundi.
Ni wazi Hawa wameumizwa Sana Kama video hii ni ya kweli....Mungu awalinde kwa kweli...ila waliumizwa wakiwa nyumbani kwao au kwenye matembezi yao mitaani?!Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya uchaguzi wa Oktoba 2020.
Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.
Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457
View attachment 1632458
Uko sahihi, mshikamano wenu lazima ulindwe kwa nguvu zote. Mshikamano wenu ni legelege na bila kutumia nguvu ya ziada utaporomoka. CCM ulisha sambaratika kitambo, ni gundi ya NEC, TISS na police iliobaki kuinatisha pamoja. Ni muda nayo itaishiwa nguvu.Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote.
Hakuna mahakama itakayo sikiliza na kuamua kwa haki kesi iliyofunguliwa dhidi ya serikali. Uhuru wa mahakama umeporwa.
Hakuna askari mzee, labda kachoshwa na maisha, au alidanganya umri wakati wa kuajiriwa. Askari wa mstari wa mbele hustaafu at 55yrs. Uzee ni kuanzia 60 yrs.Namuona huyu askari mzee aliyepigwa mawe na raia na hapa amechomwa miguu kwa motoView attachment 1632610
ID yako inajitosheleza, no comment.Kama walitaka kivuruga amani tuingie vitani wanastahili kukunyugwa vilivyo
Nao chadema waliandamana kwenda kwa mkurugenzi kupata vibari vya mawakala wao, nae mkurugenzi alikataa kuwaapisha mawakala kwa sababu aliagizwa toka juu, nao walioko juu waliogopa kushindwa uchaguzi kama utaendeshwa kwa uhuru na uwazi, nao uchaguzi hauendeshwi kwa uhuru na uwazi kwa sababu wananchi wameichoka CCM.......Yule mwanafunzi alipatwa na risasi bahati mbaya, ila chanzo ni maandamano ya chadema. Ndo maana wana kesi.
Profesa Machokodo?Halafu Prof Machokodo anasema "Watanzania" tunathamini "utu" wetu! Utu wa CCM na wala siyo wa Watanzania.
Sikiliza hii clip
Kwani ni LAZIMA kuandamana kudai vibali? Walikuwa na kibali cha maandamano? Haya ndo tunayosema kila siku, Fuateni utaratibu!! Vinginevyo mtaendelea kulalamika kuonewa, wakati hamfuati utaratibu. Na usipofuata utaratibu, utapigwa tu!Nao chadema waliandamana kwenda kwa mkurugenzi kupata vibari vya mawakala wao, nae mkurugenzi alikataa kuwaapisha mawakala kwa sababu aliagizwa toka juu, nao walioko juu waliogopa kushindwa uchaguzi kama utaendeshwa kwa uhuru na uwazi, nao uchaguzi hauendeshwi kwa uhuru na uwazi kwa sababu wananchi wameichoka CCM.......