Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
- Thread starter
- #101
Kwa hiyo kwa kuwa siyo polisi ndiyo achinjwe??!!
Soma tena nilichokuandikia bila jaziba
Askari yule si polisi, alikwenda kufanya nini kwenye uchaguzi na sheria haimruhusu?
Inaonyesha hujaangalia mpaka mwisho umeandika kwa jaziba tu