Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Unyama uliofanywa na vyombo vya Ulinzi na Usalama

Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya Uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya Ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457

View attachment 1632458
Pole sana na mungu akusaidie upate ahueni
 
Ninaomba vikwazo viwekwe na wazungu pengine watawala watapata akili.
Halafu unakuta post hii imepata like za kutosha!!
Watu wamechoka kweli
Na hizo ndio hisia za mioyo ya watanzania wengi....
 
Hahahaha, kumbe unaogopa jeshi. Au wewe sio kamanda?? Kamanda hatakiwi kuogopa bana. BTW hakuna JWTZ, wala jeshi kutoka Burundi, ni uwongo wa kiwango cha juu. Acheni uzushi, Hivi mkiacha uwongo mtakosa kwenda mbinguni??
Kwani ni siri ,wakati tunawasikia kiswahili chao mitaani?
 
Tumenyooshwa, na inatosha, sasa tuangalie mambo mengine yanayo tusumbua.

Si amini kama hizi kelele zitatusaidia sana. Kingine ndani ya vyama vyetu upo upungufu mkubwa. Tuna takiwa tuanze kuyaona na kuyafanyia kazi.
Tuangalie wapi na watu wengine bado hawajarudishwa na wengine wako majela kwa kesi za kubambikizwa bila kufikishwa mahakamani
 
Mzee wa historia Bw.Ameir ambae ni miongoni mwa waathirika wa matukio ya Uchaguzi wa Oktoba 2020.

Majeraha hayo yametokana na kipigo na mateso aliofanyiwa na vyombo vya Ulinzi wanaolipwa kwa kodi ya Wananchi akiwemo Mzee Ameir ambae hajawakosea jambo lolote kachukuliwa kwake wakampeleka wanako kujuwa wao na kumfanyia unyama huo. Mzee Ameir hapungukiwi miaka 80 kwa kukisia.

Allah ndie mlipaji
View attachment 1632457

View attachment 1632458
Inna Lilah Wainna ilaihim Rajiuun
AMESHAFARIKI TAYARI
 
Back
Top Bottom