Wahutu kwa kawaida yao (Mu-7, Kagame, Nkurunziza) hawaondoki. 2025 akiwa mzima anabadili katiba ama anatafuta Mhutu mwenzie humo CCM. Tutaendelea hivi kwa muda mrefu sana.
Temea chini tafadhari, Jiwe sio mtanzania ni Mhutu aliekuja kabebwa mgongoni kutoka uhutuni Rwanda kwa binamu yake Mr slim village mate.Hayo yote wanafanyiwa watanzania na "mtanzania" mwenzao ndani ya nchi yao.
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote
Siamini hata kdg kama vyombo vyetu vya ulinzi na amani vinaweza kuonea watu bure, HAPANA. Lazima kuwe na sababu, kutofuata amri au maelekezo: Mkiambiwa fuateni utaratibu hamsikii, mnataka vurugu, kutaka kuiingiza nchi kwa machafuko. Dawa ya moto ni moto, hapana chezea amani yetu, kaa mbali na chokochoko. Kuna baadhi ya watu wamelewa kwa ajili ya amani, siku tukiingia kwenye vurugu kama Libya tunaanza kujuta. Lazima amani, utulivu na mshikamano wetu ulindwe kwa nguvu zote
Sio kama amevuna alichopanda?Mungu wabariki Wazanzibar
Duh.. inasikitisha sanaAlikuwa nyumbani kwake
Maandamano ya amani hawayataki wanauwa watu iliyobaki ni kufanywa sunna tu na faradhi ikibidiWahutu kwa kawaida yao (Mu-7, Kagame, Nkurunziza) hawaondoki. 2025 akiwa mzima anabadili katiba ama anatafuta Mhutu mwenzie humo CCM. Tutaendelea hivi kwa muda mrefu sana. Na kwa vile ni waoga wa kuandamana, we are in for it.