Tetesi: Unyama: Wamasai wa Ngorongoro waanza kukomeshwa, huduma muhimu zapigwa marufuku

Why now , au ni vile serikali inamtumikia kibopa ?
Mimi sielewi, kwanini hawa watu wanaforce kuishi vichakani na wanyama?. Hakuna vyoo, hakuna hospitali, hakuna maji safi, hakuna umeme sijui hata kama kuna nyumba, au labda wanalima,
Nijuacho kwao nyasi ndo dhahabu yao , kulisha ng'ombe,,
Haya ni maisha duni sana,,, [emoji23]
Waondolewe,, tena wahamishiwe kilwa kivinje
 
Sawa lakini hatutaki kuona gang yeyote inakuja pale kwa jina la UWEKEZAJIII !!
Yaani nchi ilivyo kubwa hivi, nawe unakubali uongo kwamba kuna kigogo anataka kujenga hoteli hapo?
Hiyo hoteli itskua na ukubwa wa kilomita ngapi hadi wanamasai watakiwe kuondoka?
 
Yaani nchi ilivyo kubwa hivi, nawe unakubali uongo kwamba kuna kigogo anataka kujenga hoteli hapo?
Hiyo hoteli itskua na ukubwa wa kilomita ngapi hadi wanamasai watakiwe kuondoka?
Ukubwa wa nchi ni suala moja na
Yaani nchi ilivyo kubwa hivi, nawe unakubali uongo kwamba kuna kigogo anataka kujenga hoteli hapo?
Hiyo hoteli itskua na ukubwa wa kilomita ngapi hadi wanamasai watakiwe kuondoka?
Tusubiri tuone !!
 
Kabla ya kupost umesoma tarehe ya hiyo picha yako mkuu au umekurupuka tu?
Picha inakueleza huduma zilizokuwa zinafanyika mwaka uliopita ili kuweka ushahidi kwenye uzi , lakini maelezo ya chini yanakueleza lini barua ya kusitisha huduma hii imeandikwa .

Bado hujaelewa ?
 
Mbona hueleweki mwanaccm,fafanua wameua nani na kijiji gani?
 
wanyama pia wanaongezeka hivyo kuhitaji maeneo zaidi. Sasa ni nani atakaye mpisha mwenzake ndipo ugomvi ulipo
Wanyama hawezi kuongezeka kwa kiwango Cha kutisha kama unavyojaribu kujenga hoja yako.

Kwasabb Kwa upande wa wanyama, wakiongezeka vibali hutolewa kwa makampuni ya ya uwindaji ili yaje yavune wanyama
 
Hii ni kazi inafanywa na intelijensi ya Kenya, kuhakikisha tourism ya Bongo daima inakuwa conflicts na wao watupige bao,wamefaulu watalii hawawezi kuja, na hiii movement wakenya walianza mara tu filamu ya Raisi Samia ya Royal tour ilipo kamilika, na kurushwa ile trailer, Remember ile filamu ilitakiwa iwe hewani between March and April, good movement mpaka high government official wanatumika. Intelligence ya Raisi Samia lazima iwe makini, Kenyan are controlling East African tourism by Mafian mechanism...
 
Wenyeji wa asili walikuwa wakiishi maeneo hayo pamoja na hao wanyama kwa miaka mingi sana kabla ya fortress conservation module kuletwa na wakoloni.
Sasa sijuhi unataka waondoke akina nani!
it is a rhetorical question, haijibiwagi kirahisi rahisi kama unavyodhani
 
Mbona hiyo ilikuwa 11 MARCH 2021
 

Habari zenu za kutumia wamasai kujineemesha zishajulikana.

Wamasai wana mifugo kibao lakini hali zao bado duni sana kumbe mifugo ya matajiri ambao saivi mko mjini mnapambana wamasai wasitoke Hifadhini kwakuwa mifugo yenu itakufa njaa.
 

Bora hata wamasai wangekuwa wao ndo wanataka kubaki huko. Ishu ni kwamba kuna wakubwa wana mifugo yao wanafugia huko wengine wanawinda kinyemela kwahyo wamasai wakiondoka mifugo yao itakufa maana ni mingi sana
 
Kama wewe unajua si uandike hapa na sisi tujue...
 
[emoji871]Itaje hata hoteli moja unayoijua kwamba ujenzi wake unaendelea kwa kasi huko Ngorongoro?

[emoji871]Msiwe wepesi wa kuropoka vitu ambavyo binafsi yenu hamuwezi kuvishuhudia

[emoji871]Haya itaje sasa?

[emoji871]Jp Omuga....acha kushuhudia Uongo.
 
Huku KIlwa hatuwahitaji.
 
Mimi Ngorongoro ni nyumbani. Labsa kama unahitaji faida ya ushahidi wangu.
Ninachokisema nakijua. Muda ukifika nitaachia picha.
Tena siyo hoteli moja zilizojengwa kiholela.
 
Yaan wewe mbuzi ujue haya alafu super dept yetu ya NCHI (TISS) wasijue lolote?? Hii nchi ina maajabu yake, we unadhani hii nchi haina wataalamu wa kuweza kujua namna ya kudeal na hizi ishu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…