Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Mimi sielewi, kwanini hawa watu wanaforce kuishi vichakani na wanyama?. Hakuna vyoo, hakuna hospitali, hakuna maji safi, hakuna umeme sijui hata kama kuna nyumba, au labda wanalima,Why now , au ni vile serikali inamtumikia kibopa ?
Nijuacho kwao nyasi ndo dhahabu yao , kulisha ng'ombe,,
Haya ni maisha duni sana,,, [emoji23]
Waondolewe,, tena wahamishiwe kilwa kivinje