Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

Urusi unakwenda bila visa.....china wapo mchakatoni....wamarekani ni wehu,,,,,,jirani na ubalozi kuna vigrosari fedenge uwe unaombea vitu vyako hapo,,,,hata hivyo si lazima kwenda marekani.
Hizo nchi ulizozitaja ambazo unaweza kwenda bila viza hazina mvuto, ndio maana unaona watu wengi sana duniani hawashughuliki nazo Sana.
 
Kuna unyanyasaji nilioushuhudia ubalozi wa Marekani nilipoenda kushughulikia visa.

Kwanza pale getini, unaambiwa unaacha kila kitu huingii na chochote! Ila cha kushangaza, hawajaweka hata sehemu ya kuhifadhi mkoba au simu. Sasa sijui wanategemea ukienda huko usiende na pochi? Na je simu unamwachia nani?

Zamani wakati visa zinashughulikiwa ubalozi wa Uingereza, kulikuwa na lockers nje unaweka simu yako na kupewa kikaratasi. Sasa hawa binafsi sijawaelewa.

La pili; Ukishaingia ndani ya compund, nje ya ofisi zao, mnapanga foleni hapo nje mmesimama, hakuna hata benchi la kukaa! Iwe mvua liwe jua! Nikajiuliza je, na wenye ulemavu inakuwaje? Wanashindwa nini kuweka shed fulani na benchi angalau watu wakae?

Kutafuta visa ya Marekani ni kama kutafuta ruhusa ya kwenda mbinguni, wakati wao, wanaweza hata kupata visa airport! WHY?

Naamini wakiambiwa wanaweza kujirekebisha. Hakuna sababu ya kutunyanya kiasi hicho!


Ndio ukome, sio unyanyasaji, wewe si maskini, si unataka kwenda kwa watu kutafuta riziki au elimu, fuata masharti yote, USA hawabahatishi tena kuhusu security, na ukiingia tokea Msasani wanakuona hadi unaondoka, ujue hilo, ukiwa ndani wanakuona kila kitu na ukiwa unasubiria kuingia ndani avoid kiherehere cha kuongea ongea kama Mwijaku, ukifika tu counter unaondolewa na visa hupati
 
Ndio ukome, sio unyanyasaji, wewe si maskini, si unataka kwenda kwa watu kutafuta riziki au elimu, fuata masharti yote, USA hawabahatishi tena kuhusu security, na ukiingia tokea Msasani wanakuona hadi unaondoka, ujue hilo, ukiwa ndani wanakuona kila kitu na ukiwa unasubiria kuingia ndani avoid kiherehere cha kuongea ongea kama Mwijaku, ukifika tu counter unaondolewa na visa hupati
SHUT UP! Ni visa ya mkutano walionialika wao! Kama shule, nilishamaliza zamaniii! Na kama marekani, nilishaenda naijua. Hivyo sina cha kupapalikia. Wananihitaji wao siyo mimi nawahitaji! Get it clear!
 
Urusi unakwenda bila visa.....china wapo mchakatoni....wamarekani ni wehu,,,,,,jirani na ubalozi kuna vigrosari fedenge uwe unaombea vitu vyako hapo,,,,hata hivyo si lazima kwenda marekani.
Tatizo wale waalikaji hawana uhusiano na haya manyanyaso, ni watu credible kabisa! Sema hawana control!
 
SHUT UP! Ni visa ya mkutano walionialika wao! Kama shule, nilishamaliza zamaniii! Na kama marekani, nilishaenda naijua. Hivyo sina cha kupapalikia. Wananihitaji wao siyo mimi nawahitaji! Get it clear!

Hopeless, i studied in US, lived and partly worked there, Fort Lauderdale, Florida to Phoenix Arizona, to Portland Oregon, so kama wamekualika mkutanoni huna maana, most people wanatumia upenyo huo kuingia Marekani kihuni huni, huna VIP status yoyote, wewe ni maskini, eti wamekualika mkutanoni, mkutano huo wa fake pastors itakuwa, if ni mkutano wa kueleweka, hupati shida, wewe unataka kuzamia, acha uhuni wako, if ungekuwa unajulikana kwenye US Immigration System thru DHS, Department of Homeland Security, ambazo balozi wanatumia ku track records, na umesema umeenda mara nyingi na kurudi, visa hawakusumbui, wewe it seems haujulikani katika system ya US, ndio maana unapata shida kupata visa..!! Au huna fedha za kutosha in your accounts.

Na ujue jinsi hujui kitu, kama wewe ni mzoefu kwenda USA hizo taratibu za kuingia ubalozi wa Marekani mbona za kawaida sana, kipi ushangae? Hii ni dhahiri hujawahi hata kufika ubalozi huo ndio mara ya kwanza, hivyo i conclude hujawahi hata fika Marekani, sbb hukutakiwa kushangaa chochote katika taratibu za kupata Visa za ubalozi wa USA, umeshangaa sbb wewe ni mgeni, hujawahi fika USA, unaona how you expose your lies to public..!!
 
Hopeless, i studied in US, lived and partly worked there, Fort Lauderdale to Phoenix Arizona, to Portland Oregon, so kama wamekualika mkutanoni huna maana, most people wanatumia upenyo huo kuingia Marekani kihuni huni, huna VIP status yoyote, wewe ni maskini, eti wamekualika mkutanoni, mkutano huo wa fake pastors itakuwa, if ni mkutano wa kueleweka, hupati shida, wewe unataka kuzamia, acha uhuni wako, if ungekuwa unajulikana kwenye US Immigration System ambazo balozi wanatumia ku track records, na umesema umeenda mara nyingi na kurudi, visa hawakusumbui, wewe it seems haujulikami katika system ya US, ndio maana unapata shida kupata visa..!! Au huna fedha za kutosha in your accounts.

Na ujue jinsi hujui kitu, kama wewe ni mzoefu kwenda USA hizo taratibu za kuingia ubalozi wa Marekani mbona za kawaida sana, kipi ushangae? Hii ni dhahiri hujawahi hata kufika ubalozi huo ndio mara ya kwanza, hivyo i conclude hujawahi hata fika Marekani, sbb hukutakiwa kushangaa chochote katika taratibu za kupata Visa za ubalozi wa USA, umeshangaa sbb wewe ni mgeni, hujawahi fika USA, unaona how you expose your lies to public..!!
Ahsante kwa matusi. Nilishaenda US a few times, ila kitambo, na visa ilisha-expire! So I had no idea how to start, nikasema ngoja niende niulize! Maana the last time nilipata visa, hii system ilikuwa haijaanza. Tena nilivyoenda juzi, niliingia nikaishia kwa security nje ya ofisi zao, sikuingia ndani. All I wanted was information na sikujua nitaipataje.

Siyo executive wa wamarekani wala siko kwenye system za nchi hii, ila ni mkutano wa kimatafa nimealikwa. And of course, baada ya kupewa ABC, nilikuja kumalizia online. Wale walionialika, hawajui hizi procedures za hapa, na ni watu wema.

Kumbuka, Mandela akiwa rais, ilikuwa kila akialikwa marekani, Foreign Secretary Madeline ilibidi aandike barua kusema yeye siyo gaid! Mpaka siku hiyo akachoka; akaeleza kuwa amechoka kuandika hizo barua, ndo authorities walimruhusu kuwa anakwenda bila kuandikiwa barua ya kudhibitisha kuwa yeye siyo gaidi! Balozi za marekani zinaweza kukera sana!

Nilisoma UK, kipindi hicho wala mtu hukuhitaji visa; wala hiyo haikunifanya nizamie! Kwa hivo mimi si mzamiaji na ni mtu mzima. And of course, UK nimeenda mara nyingi (hata mwaka jana!) ila procedure ni zile zile, lazima uende, sema siyo ubalozini ila ofisi mbadala waliyoikabidhi hiyo kazi, na hawana mbwembwe za kibalozi. I wish americans did the same.

Usitetee ujinga, hivyo wanavyofanya si kawaida! Mbona balozi nyingine hazina kadhia hizo? Kwani wao wana nini cha ziada, hadi watu waache mapochi na simu nje, wasimame juani na kwenye mvua? With all the current securiy systems walizo nazo, uwezo wa kuweka sehemu ya kuhifadhi pochi na simu wanao, pia uwezo wa kuweka benchi! Ni dharau tu! Na wewe kama unaona wanavyofanya ni kawaida, basi una tatizo.
 
Karungikana na Jay One
With all due respect, naomba msiishie hapo tafadhali, endeleeni kubishana nimevutiwa na namna mnapeana vitasa, wengine tunavutiwaga na hizo 'vayolensi', msitunyime uhondo abegiiooh'..!!😂😂

Ahsanteni..!!
Mmoja wao apunguze "ma-ofcourses"!Yamekuwa mengi.Nabariki mpambano.🙏
 
Unashangaa ubalozi wa usa mkuu wakati kuna taasisi za kibongo doing the same, nenda immaigration hapo dar uone, huruhusiwi kuingia na mkoba au begi na hakuna sehemu ya kuhifadhia mpaka umshikishe chochote mlinzi ndio akuhifadhie la sivyo toka nje katafute sehemu uhifadhi ndio uingie ndani.
 
Kuna unyanyasaji nilioushuhudia ubalozi wa Marekani nilipoenda kushughulikia visa.

Kwanza pale getini, unaambiwa unaacha kila kitu huingii na chochote! Ila cha kushangaza, hawajaweka hata sehemu ya kuhifadhi mkoba au simu. Sasa sijui wanategemea ukienda huko usiende na pochi? Na je simu unamwachia nani?

Zamani wakati visa zinashughulikiwa ubalozi wa Uingereza, kulikuwa na lockers nje unaweka simu yako na kupewa kikaratasi. Sasa hawa binafsi sijawaelewa.

La pili; Ukishaingia ndani ya compund, nje ya ofisi zao, mnapanga foleni hapo nje mmesimama, hakuna hata benchi la kukaa! Iwe mvua liwe jua! Nikajiuliza je, na wenye ulemavu inakuwaje? Wanashindwa nini kuweka shed fulani na benchi angalau watu wakae?

Kutafuta visa ya Marekani ni kama kutafuta ruhusa ya kwenda mbinguni, wakati wao, wanaweza hata kupata visa airport! WHY?

Naamini wakiambiwa wanaweza kujirekebisha. Hakuna sababu ya kutunyanya kiasi hicho!


Kweli akili huna.....! Nimetembea Balozi nyingi Tanzania kwa ajili ya visa, wana tu treat vizuri sana ukilinganisha na taasisi za serikali.
 
Kuna unyanyasaji nilioushuhudia ubalozi wa Marekani nilipoenda kushughulikia visa.

Kwanza pale getini, unaambiwa unaacha kila kitu huingii na chochote! Ila cha kushangaza, hawajaweka hata sehemu ya kuhifadhi mkoba au simu. Sasa sijui wanategemea ukienda huko usiende na pochi? Na je simu unamwachia nani?

Zamani wakati visa zinashughulikiwa ubalozi wa Uingereza, kulikuwa na lockers nje unaweka simu yako na kupewa kikaratasi. Sasa hawa binafsi sijawaelewa.

La pili; Ukishaingia ndani ya compund, nje ya ofisi zao, mnapanga foleni hapo nje mmesimama, hakuna hata benchi la kukaa! Iwe mvua liwe jua! Nikajiuliza je, na wenye ulemavu inakuwaje? Wanashindwa nini kuweka shed fulani na benchi angalau watu wakae?

Kutafuta visa ya Marekani ni kama kutafuta ruhusa ya kwenda mbinguni, wakati wao, wanaweza hata kupata visa airport! WHY?

Naamini wakiambiwa wanaweza kujirekebisha. Hakuna sababu ya kutunyanya kiasi hicho!
Kila kitu kipo online mkuu. Soma kipengele cha Security Info.

 
Kuna unyanyasaji nilioushuhudia ubalozi wa Marekani nilipoenda kushughulikia visa.

Kwanza pale getini, unaambiwa unaacha kila kitu huingii na chochote! Ila cha kushangaza, hawajaweka hata sehemu ya kuhifadhi mkoba au simu. Sasa sijui wanategemea ukienda huko usiende na pochi? Na je simu unamwachia nani?

Zamani wakati visa zinashughulikiwa ubalozi wa Uingereza, kulikuwa na lockers nje unaweka simu yako na kupewa kikaratasi. Sasa hawa binafsi sijawaelewa.

La pili; Ukishaingia ndani ya compund, nje ya ofisi zao, mnapanga foleni hapo nje mmesimama, hakuna hata benchi la kukaa! Iwe mvua liwe jua! Nikajiuliza je, na wenye ulemavu inakuwaje? Wanashindwa nini kuweka shed fulani na benchi angalau watu wakae?

Kutafuta visa ya Marekani ni kama kutafuta ruhusa ya kwenda mbinguni, wakati wao, wanaweza hata kupata visa airport! WHY?

Naamini wakiambiwa wanaweza kujirekebisha. Hakuna sababu ya kutunyanya kiasi hicho!
Achana nao hao wabaguzi, nenda uarabuni waache na kanchi kao, ila acha kutuletea malalamiko ya kijinga na ukome.
 
Kama ulizaja form basi hukusoma updates zao. Kila kitu kimeelezwa . Halafu kusimama nje kwe foleni huo utaratibu upo miaka 15 Sasa. Labda hujawahi kwenda kufanya interview in person.
 
Back
Top Bottom