Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

Ndio ukome, sio unyanyasaji, wewe si maskini, si unataka kwenda kwa watu kutafuta riziki au elimu, fuata masharti yote, USA hawabahatishi tena kuhusu security, na ukiingia tokea Msasani wanakuona hadi unaondoka, ujue hilo, ukiwa ndani wanakuona kila kitu na ukiwa unasubiria kuingia ndani avoid kiherehere cha kuongea ongea kama Mwijaku, ukifika tu counter unaondolewa na visa hupati
Bro unatupanga sana
 
Kama hakuna ulazima kwako unaenda kufanya nini?. Hiyo ni viza ya kwenda mbinguni ndio maana inang'ang'ania nayo.

Hujasema ulivyaambiwa uache simu na pochi uliviachaje hapo? Kama uliacha kwa mlinzi ndio utaratibu huo

Ukikaa kwa utulivu ni rahisi kuachia mabomu uliyobeba. Ndio maana inatakiwa usimame ni rahisi mitambo yetu kutruck. Ukitisika tu hapo uliposimama tunajua unataka kuachia tiktak zako tunakuchomoa na risasi moja tu ya kichwa
😄😄😄 mjegeje za kichwa tu...RIP
 
Asanteni kwa cheko na heko mlilonipa wote mlioandika kwenye huu uzi khaaa.....

Maana hadi mmoja wa mods ameweka emoji ya kicheko kwenye moja ya quote.

Pole mtoa mada kwa yaliyokusibu. Kila la kheri kwenye safari yako ya USA Baby....

Wacha nimtaarifu Raisi wa wabeba boksi USA ajiandae kukupokea jimbo utalofikia....😄😄😄😄😄

Wakati muomba visa ya US ana henyahenya na hekaheka za kuoata VISA, wenye ubalozi wao na nchi yao wamekaa paleee wanakuchungulia....😂😂😂😂😂.



Tafadhali uje kutupa mrejesho ukifanikiwa kupata VISA ama hata wakikunyima. Uje utuelezee na utaratibu wa kule ndani na namna unahojiwa....🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sister ukiona analialia humu ujue tayari kakutana na za uso
 
Utakuwa umenyinmwa viza, maana ungepewa hata hizo kasoro usingeziona 😀
 
Karungikana na Jay One
With all due respect, naomba msiishie hapo tafadhali, endeleeni kubishana nimevutiwa na namna mnapeana vitasa, wengine tunavutiwaga na hizo 'vayolensi', msitunyime uhondo abegiiooh'..!!😂😂

Ahsanteni..!!
FB_IMG_17144272715717093.jpg
 
Marekani ni kama mbinguni hapo ndipo kwenye point kubwa uliyoisahau
 
Mkifika kwao mnaanza maandamano ya kuunga mikono Hamas ndio maana bora msumbuliwe, hatimaye wametia akili brazaj
 
Back
Top Bottom