Bro unatupanga sanaNdio ukome, sio unyanyasaji, wewe si maskini, si unataka kwenda kwa watu kutafuta riziki au elimu, fuata masharti yote, USA hawabahatishi tena kuhusu security, na ukiingia tokea Msasani wanakuona hadi unaondoka, ujue hilo, ukiwa ndani wanakuona kila kitu na ukiwa unasubiria kuingia ndani avoid kiherehere cha kuongea ongea kama Mwijaku, ukifika tu counter unaondolewa na visa hupati
πππ mjegeje za kichwa tu...RIPKama hakuna ulazima kwako unaenda kufanya nini?. Hiyo ni viza ya kwenda mbinguni ndio maana inang'ang'ania nayo.
Hujasema ulivyaambiwa uache simu na pochi uliviachaje hapo? Kama uliacha kwa mlinzi ndio utaratibu huo
Ukikaa kwa utulivu ni rahisi kuachia mabomu uliyobeba. Ndio maana inatakiwa usimame ni rahisi mitambo yetu kutruck. Ukitisika tu hapo uliposimama tunajua unataka kuachia tiktak zako tunakuchomoa na risasi moja tu ya kichwa
Sister ukiona analialia humu ujue tayari kakutana na za usoAsanteni kwa cheko na heko mlilonipa wote mlioandika kwenye huu uzi khaaa.....
Maana hadi mmoja wa mods ameweka emoji ya kicheko kwenye moja ya quote.
Pole mtoa mada kwa yaliyokusibu. Kila la kheri kwenye safari yako ya USA Baby....
Wacha nimtaarifu Raisi wa wabeba boksi USA ajiandae kukupokea jimbo utalofikia....πππππ
Wakati muomba visa ya US ana henyahenya na hekaheka za kuoata VISA, wenye ubalozi wao na nchi yao wamekaa paleee wanakuchungulia....πππππ.
Tafadhali uje kutupa mrejesho ukifanikiwa kupata VISA ama hata wakikunyima. Uje utuelezee na utaratibu wa kule ndani na namna unahojiwa....π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Jamaa wako very serious aisee linapokuja swala la usalamahalafu kwa pembeni kuna zungu limevaa kijeshi liko busy na mitambo ndani ya kichumba kama strong room sijui linarekodi nini na kutuma taarifa kwao
Karungikana na Jay One
With all due respect, naomba msiishie hapo tafadhali, endeleeni kubishana nimevutiwa na namna mnapeana vitasa, wengine tunavutiwaga na hizo 'vayolensi', msitunyime uhondo abegiiooh'..!!ππ
Ahsanteni..!!