Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Wazazi tuungane kukemea hili.
Tunazalisha kizazi cha watoto wajinga in the name of performance.
Sisi tulienjoy shule ya msingi. Saa nane kamili unarudi nyumbani.
Siku za michezo ni michezo kwelikweli
Na baadhi yetu tumesoma shule zina mchaka chaka asubuhNa
Na bado tulifaulu vizuri msingi mpaka secondary na kupata pass mark za vyuo vya kuchukua cream(Binafsi nimesoma day mpaka form 1 mpaka form 6 term ya kwanLak
Lakini siku hizi ati mtoto wa darasa nne saa 12 kamili awe darasWato
Watoto wadogo wanalazimishwa boarChama
Chama cha madaktari wametusaidia jamani. Ujumbe usambae
Tunazalisha kizazi cha watoto wajinga in the name of performance.
Sisi tulienjoy shule ya msingi. Saa nane kamili unarudi nyumbani.
Siku za michezo ni michezo kwelikweli
Na baadhi yetu tumesoma shule zina mchaka chaka asubuhNa
Na bado tulifaulu vizuri msingi mpaka secondary na kupata pass mark za vyuo vya kuchukua cream(Binafsi nimesoma day mpaka form 1 mpaka form 6 term ya kwanLak
Lakini siku hizi ati mtoto wa darasa nne saa 12 kamili awe darasWato
Watoto wadogo wanalazimishwa boarChama
Chama cha madaktari wametusaidia jamani. Ujumbe usambae