Unyanyasaji wa kibinaadamu hasa kwa wezi siyo mzuri

Unyanyasaji wa kibinaadamu hasa kwa wezi siyo mzuri

amadala
Hata asubuhi kulipokucha akaingia tena hekaluni, na watu wote wakamwendea; naye akaketi, akawa akiwafundisha.
3 Waandishi na Mafarisayo wakamletea mwanamke aliyefumaniwa katika uzinzi, wakamweka katikati.
4 Wakamwambia, Mwalimu, mwanamke huyu amefumaniwa alipokuwa akizini.
5 Basi katika torati, Musa alituamuru kuwapiga kwa mawe wanawake namna hii; nawe wasemaje?
6 Nao wakasema neno hilo wakimjaribu, ili wapate sababu ya kumshitaki. Lakini Yesu akainama, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
7 Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.
8 Akainama tena, akaandika kwa kidole chake katika nchi.
9 Nao waliposikia, wakashitakiwa na dhamiri zao, wakatoka mmoja mmoja, wakianzia tangu wazee hata wa mwisho wao; akabaki Yesu peke yake, na yule mwanamke amesimama katikati.
10 Yesu akajiinua asimwone mtu ila yule mwanamke, akamwambia, Mwanamke, wako wapi wale washitaki wako? Je! Hakuna aliyekuhukumu kuwa na hatia?
11 Akamwambia, Hakuna, Bwana. Yesu akamwambia, Wala mimi sikuhukumu. Enenda zako; wala usitende dhambi tena.]
Hiyo hiyo Biblia inasema mshahara wa dhambi ni mauti na haijawahi kupingwa hiyo
 
Nazungumzia hayo mateso waliyompa na sitayari wamemkamata? Kwanini wakoroge.cement wamnyweshe? Kwanini wamfunge mikono wamwagie petrol na kumchoma sio haki kabisa! Acha kutetea unyanyasaji wa kibinaadamu.
Akipelekwa Police Kesi inachukuwa miaka na mara nyingi wanatoka kwa Kesi kukosa ushaidi na pia nenda rudi ya wewe ulieibiwa- ingependeza mwizi akikamatwa na ushaidi upo 100% aukumiwe afungwe! Akirudi kitaa awaachi huenda akaja tena kuiba kwa ile nyumba ..... dawa yake ni ....
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.

Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.

Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?

Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
NJIA PEKEE YA YA KU UKATAA UNYANYASAJI, MATESO NA UDHALILISHAJI NI KUTO KUIBA MALI YA WENYEWE.
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.

Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.

Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?

Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
Imetokea wapi iyo??? Maana kuna kijana wetu uku mtaani nasikia amefanyiwa kama ivyo..ika bado hatujazika
 
Wewe uliibiwa lakini hujawahi kusafishwa na wezi, utakuja kunadili msimamo wako japo wapo watu wenye roho mbaya
Sio kusafishwa. Niliibiwa hela nyingi sana, mbaya zaidi hazikuwa zangu. Msoto nilioupata baada ya hapo, sitakaa nisahau maisha yangu yote. Maana ni afadhali zingekuwa ni fedha zangu. Lakini uthubutu wa kumtoa mwizi damu sina aisee.
 
Huyo itakua hajawahi kuibiwa.

Kuna binti wa chuo aliuliwa na vibaka kisa tu alikua anapambana nao wasichukue vitu vyake asubuhi mtoto wa watu anaenda chuo.
Wakaona wamchome kisu ili asiwasumbue waibe hiyo simu binti akafariki hapo hapo, sasa hao viumbe gani wasio na utu.
Mie niliponea chupu chupuuu kosa watu wazima wawili ningekufaaa,
Kibaka m1 kumbe alikua ananifatilia, siku hyo natoka chuo SAA 3 uiku, nashangaa ngumi ya tumbo kuinama hiv teke had chini, eti leta kila kitu lasivyo nakumaliza hapa, katoa kisu hilo na bisi bisi, hapo nna cm, pc, hela na mkobaa, ilee naanza kutoaa document na ID kwa mkobaa ndo wakatokea watu hao wawili ndo yule jamaa akakimbia.

Na nilihama ule mtaaa. Khaaah wafe tyuuh hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie niliponea chupu chupuuu kosa watu wazima wawili ningekufaaa,
Kibaka m1 kumbe alikua ananifatilia, siku hyo natoka chuo SAA 3 uiku, nashangaa ngumi ya tumbo kuinama hiv teke had chini, eti leta kila kitu lasivyo nakumaliza hapa, katoa kisu hilo na bisi bisi, hapo nna cm, pc, hela na mkobaa, ilee naanza kutoaa document na ID kwa mkobaa ndo wakatokea watu hao wawili ndo yule jamaa akakimbia.

Na nilihama ule mtaaa. Khaaah wafe tyuuh hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah pole sana
 
Kinachochangia wananchi kuchukua sheria mkononi ni swala moja tu mfumo wetu wa polisi mpka mahakama una kona nyingi na ufuatiliaji mwingi mwizi anaweza pelekwa polisi akawekwa ndani akifika mahakamani anahitajika shahidi na hakuna mtu anakubali muda wake upotee ndio maana wakikamatwa waizi wanauliwa. Pia mwizi anaweza fungwa hata miezi 6 mpka mwaka ila akitoka bado anaendeleza tabia yake ile ile hivyo ukileta ubaya bas inakua mambo mbaya
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.

Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.

Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?

Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
tatizo polisi
 
Nazungumzia hayo mateso waliyompa na sitayari wamemkamata? Kwanini wakoroge.cement wamnyweshe? Kwanini wamfunge mikono wamwagie petrol na kumchoma sio haki kabisa! Acha kutetea unyanyasaji wa kibinaadamu.
We unaona hayo mateso!!..mtaani kwetu tunawapaka vanish ya mbao kichwani,tunawalawiti Kisha kipigo,ndo tunawaachia
 
Sio kusafishwa. Niliibiwa hela nyingi sana, mbaya zaidi hazikuwa zangu. Msoto nilioupata baada ya hapo, sitakaa nisahau maisha yangu yote. Maana ni afadhali zingekuwa ni fedha zangu. Lakini uthubutu wa kumtoa mwizi damu sina aisee.
Basi we nyoronyoro sana, mi mwizi akipita anga zangu sitamsamehe hata kidogo nitamkata mikono
 
Mie niliponea chupu chupuuu kosa watu wazima wawili ningekufaaa,
Kibaka m1 kumbe alikua ananifatilia, siku hyo natoka chuo SAA 3 uiku, nashangaa ngumi ya tumbo kuinama hiv teke had chini, eti leta kila kitu lasivyo nakumaliza hapa, katoa kisu hilo na bisi bisi, hapo nna cm, pc, hela na mkobaa, ilee naanza kutoaa document na ID kwa mkobaa ndo wakatokea watu hao wawili ndo yule jamaa akakimbia.

Na nilihama ule mtaaa. Khaaah wafe tyuuh hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa .. pole shooo...daaahhh
Mimi sijawahi kabwa ila mmewahi ibiwa vitu vya ndani km mahobda weee..usiombe yakukute
Utaitafuta adabu mkononi uishike
 
Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.

Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.

Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?

Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
Tujadili chanzo au matokeo?
 
Wanaoweza kuwaua wawaue tu Mimi siwezi ila Sina huruma na mwizi natamani na haya mafisadi tungekua tunayaua kama Hawa wezi wa kuku
Muda utafika wataanza kupotea mmoja mmoja waache waendelee kula pesa za wananchi hizo dhambi watazilipia bill.
 
Back
Top Bottom