Ebu onaa simu tu anamchomaa kisu dada wa watu mpk akafa hlf mpumbavu mmoja anakuja kuteteaa upuuzii hapaa,,huyu nae ni mwiziWezi wanazingua nao kuna wakati nilikuwa na mtazamo kama wa kwako ila nilikuja badilika kabisa baada ya kuona mwizi amemchoma dada mmoja jirani yangu kisu cha mgongo ili tu afanikishe wizi wa simu apumzike kwa amani rafiki yangu yule..[emoji120]
Wanazingua sana acha nao waone uchungu.Ebu onaa simu tu anamchomaa kisu dada wa watu mpk akafa hlf mpumbavu mmoja anakuja kuteteaa upuuzii hapaa,,huyu nae ni mwizi
Wezi wauliweeeeee kwa namna yoyote ile
Angekuwa ndio kosa lake la kwanza ningekuwa na huruma ila hilo yaweza kuwa kosa lake la 25Nazungumzia hayo mateso waliyompa na sitayari wamemkamata? Kwanini wakoroge.cement wamnyweshe? Kwanini wamfunge mikono wamwagie petrol na kumchoma sio haki kabisa! Acha kutetea unyanyasaji wa kibinaadamu.
Siku nyingine uwaombe wakunyweshe weweNazungumzia hayo mateso waliyompa na sitayari wamemkamata? Kwanini wakoroge.cement wamnyweshe? Kwanini wamfunge mikono wamwagie petrol na kumchoma sio haki kabisa! Acha kutetea unyanyasaji wa kibinaadamu.
Yeye mwizi kitendo chake cha wizi ni cha kibinadamuNaona watu wengi hata hawajaelewa mada yangu! Nazungumzia vitendo alivyofanyiwa huyo mwizi kuwa sio vitendo vya kibinaadamu kabisa na tuvikemee visiwe vinahalalisha uovu zaidi kwenye jamii.
Acha ale adhabu siku ukiibiwa au kujeruhiwa ndo utajua wakoje. Sinaga huruma na mwizi hata kama namfaham nikikuta anapigwa siwezi kumtetea.Habari za asubuhi wana jamii! Hope mko poa na Xmass ilienda good.
Kuna jambo limenitatiza kidogo kuna kijana amekamatwa akiiba nyumbani kwa jirani hapa, ila cha kushangaza badala ya kumpeleka polisi wakamfungulie mashtaka wameishia kumtesa, kumdhalilisha na kumnyanyasa.
Wamekoroga cement na kumlazimisha ainywe mbaya zaidi wamemfunga kamba mikono na kuimwagia petrol kisha wakaichoma moto, jamani sio uungwana hata kidogo hii ni jamii ya namna gani ya kutesa wezi na vyombo vya sheria vipo? Mbona jamii imekuwa na watu katili kiasi hiki?
Tukataeni unyanyasaji wa aina yoyote ile katika jamii zetu. R.I.P kibaka, walimwengu ni makatili sana.
May he soul rest in peace 🕊️
Swali langu ni kama umemkamata kwanini umue?
Yaan wee acha tyuuh, wezi wenyewee wakiwa ktk mawindo yao wanawaza kuua ili waibe vizuri. LolHahahahaaa .. pole shooo...daaahhh
Mimi sijawahi kabwa ila mmewahi ibiwa vitu vya ndani km mahobda weee..usiombe yakukute
Utaitafuta adabu mkononi uishike
Hapo Sasa wewe ndo umenena!Mwizi ukiweza niibie tu ila ukiingia kwenye 18 zangu ndio utajua kuwa kunabinadamu shetani.
Milion 3 inakufanya uone uhai wa mtu hauna thamani Tena?Mtoa uzi nadhan hujawahi kuibiwa.Mwaka 1998 nikiwa darasa la pili nilishuhudia mwizi akiuliwa kwa kuchomwa moto baada ya kuvalishwa mfuko wa sandarusi.Hapo alikua ameiba mahindi debe mbili tu,niliumia sana.
Kwa muda mrefu tangu nishuhudie tukio hilo nilikua nawahurumia sana wezi na nilikua sisogei karibu wanapokua wanasulubiwa kwa vile moyo wangu ulikua unaumia mno.
Mwaka 2019-08-10 nilipigwa 'kitu kizito'.Wezi walicheza na kitasa wakazama ndani kwangu na kuniibia tv,simu na vitu vingi vilivyokua sebuleni vyote vikiwa na thamani ya tsh 3 million na kidogo,tangu hapo sina huruma na hawa watu[emoji51][emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee subiri siku wamparaze ndo atajua hajui, siku ananyang'anywa pesa, sim au mali yake mwenyewe Tena Kwa makofi akisindikiziwa na matusi, mawe na mapanga ndo atajua kwanini watu huwa wanaasira na weziUkatili si mzuri lakini hao jamaa siku wakikupitia mtazamo unaweza kubadilika dakika tuu