Unyanyasaji wa Polisi; Umewahi kupigwa, kuteswa, kudhulumiwa, kukomolewa au kubambikiwa kesi bila kosa? Weka mkasa wako hapa

Unyanyasaji wa Polisi; Umewahi kupigwa, kuteswa, kudhulumiwa, kukomolewa au kubambikiwa kesi bila kosa? Weka mkasa wako hapa

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Sio kusema ni wote lakini hawa wanaofanya haya matukio ndio wanasababisha tuwaweke wote kwenye chungu kimoja.

Leo hii tu kuna kijana mwanafunzi wa chuo cha Saut huko Mwanza katoa ushahidi jinsi alivyopasuliwa korodani na Polisi waliokuwa wamelewa na kumpiga marungu ya kwenye korodani mpaka zikapasuka kwasababu tu kaka yake alihisi yeye ndie kaiba laptop ya laki 3.

Mtu anapasuliwa korodani kisa kuhisiwa kaiba laptop ya laki 3 😕😕 hivi hadi unampasua mwenzako korodani una chembe hata ya ubinadamu kweli?

Kwa matukio haya hata urafiki na mapolisi ni kuiweka roho yako mkononi, siku ifike mzinguane kinachoweza kukutokea unaweza kujuta kuzaliwa
 
Mimi ni mewahi na Sina cha kulalamika, issue ngumu police ni zile wanalazimisha kupata ukweli, they don't use skills, rather mateso.
Kaka kashawishiwa kumpeleka mdogo wake polisi alifkiri wanapiga viboko pekee, Kilichotokea mdogo wake kapigwa marungu ya korodani hadi zimepasuka... Funzo hapa ni kwamba usije mpeleka mtu yoyote polisi, Sidhani kama huyu dogo atakuja kumsamehe kaka yake
 
Sio kusema ni wote lakini hawa wanaofanya haya matukio ndio wanasababisha tuwaweke wote kwenye chungu kimoja.

Leo hii tu Kuna kijana mwanafunzi wa chuo cha Saut huko mwanza katoa ushahidi jinsi alivyopasuliwa korodani na polisi waliokuwa wamelewa na kumpiga marungu ya kwenye korodani mpaka zikapasuka kwasababu tu kaka yake alihisi yeye ndie kaiba laptop ya laki 3... Mtu anapasuliwa korodani kisa kuhisiwa kaiba laptop ya laki 3 [emoji53][emoji53] hivi Hadi unampasua mwenzako korodani una chembe hata ya ubinadamu kweli ??

Kwa matukio haya hata urafiki na mapolisi ni kuiweka roho Yako mkononi, siku ifike mzinguane kinachoweza kukutokea unaweza kujuta kuzaliwa
Kuna Askari anaitwa Palangyo alikuwa ni RTO Shinyanga aliniletea habari za kikuda akataka kuniweka ndani mimi na mtoto wangu, mdogo wangu alikaa ndani kama nusu saa mimi akaogopa kuniweka ndani,nilipiga simu moja tu hadi sasa yupo stend ya Shinyanga na barabarani anapigwa na jua.
 
Kuna Askari anaitwa Palangyo alikuwa ni RTO Shinyanga aliniletea habari za kikuda akataka kuniweka ndani mimi na mtoto wangu, mdogo wangu alikaa ndani kama nusu saa mimi akaogopa kuniweka ndani,nilipiga simu moja tu hadi sasa yupo stend ya Shinyanga na barabarani anapigwa na jua.
Simu Moja tu🤣
 
Polisi wamewahi kunibambika kesi miaka ya 2009 wakishirikiana na bosi wangu kule Songea.
 
ukitaka usisumbuliwe na polisi.

1,wasikilize zaidi,ukijibu jibu mambo ya msingi.
2,wacha vitisho vya aina yoyote.
3,wacha kugusia kuijua sheria,hapa kosa hubadilishwa haraka na kubambikiwa kosa.
4,wacha harakati maandazi,hutulii kama unawashwa makalio,mara ujifanye mbavu,watakutoa wenge kwa makofi.
5,mwisho kabisa uwe na adabu,hii itafanya uheshimiwe pia na kupewa haki zako za msingi kama kuwasiliana na watu wa karibu na hata kuaga.

kama una msuli tengua yote tu hapo ili mheshimiane kwani shingapi bana!!!! but mind you mwisho lazima wewe upoteze pambano.
 
Sio kusema ni wote lakini hawa wanaofanya haya matukio ndio wanasababisha tuwaweke wote kwenye chungu kimoja.

Leo hii tu kuna kijana mwanafunzi wa chuo cha Saut huko Mwanza katoa ushahidi jinsi alivyopasuliwa korodani na Polisi waliokuwa wamelewa na kumpiga marungu ya kwenye korodani mpaka zikapasuka kwasababu tu kaka yake alihisi yeye ndie kaiba laptop ya laki 3.

Mtu anapasuliwa korodani kisa kuhisiwa kaiba laptop ya laki 3 [emoji53][emoji53] hivi hadi unampasua mwenzako korodani una chembe hata ya ubinadamu kweli?

Kwa matukio haya hata urafiki na mapolisi ni kuiweka roho yako mkononi, siku ifike mzinguane kinachoweza kukutokea unaweza kujuta kuzaliwa
Polisiccm wengi ni wahuni, huko ccp sijui wanaeda kufundisha ugaidi! Pumbavu Sana!
 
Kaka kashawishiwa kumpeleka mdogo wake polisi alifkiri wanapiga viboko pekee, Kilichotokea mdogo wake kapigwa marungu ya korodani hadi zimepasuka... Funzo hapa ni kwamba usije mpeleka mtu yoyote polisi, Sidhani kama huyu dogo atakuja kumsamehe kaka yake
Wakati anapigwa kaka yupo anashudia na wote polisi na kaka yake wamelewa na bia mifukoni.
 
Nje mada: Usiwe na ushikaji au urafiki wa kupindukia na askari polisi. Polisi ni "masnichi" sana. Usiruhusu polisi akujue jue sana hawanaga ushikaji.
Ndio maana hata wenye ndugu mapolisi huwa wanajaribu kuwa mbali nao
 
Binafsi sijawahi pishana nao Ila kupitia yahawa wengine natamani niweke bajeti kwa jili ya kuwatafunia mbususu mademu wakipolisi

Nawao niwape corplo punishment kupitia kitanda kwenye viti sebuleni na maeneo mengine Kama bafuni ikimpendeza anafilwa kabisa

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kaka kashawishiwa kumpeleka mdogo wake polisi alifkiri wanapiga viboko pekee, Kilichotokea mdogo wake kapigwa marungu ya korodani hadi zimepasuka... Funzo hapa ni kwamba usije mpeleka mtu yoyote polisi, Sidhani kama huyu dogo atakuja kumsamehe kaka yake
Naimani huyo bro anajuta huko aliko kwa maamuzi aliyochukua. Haya sasa kamsababishia utasa mdogo wake, wanaangalianaje hivi sasa?
Kwa wenzetu huko magaribi wana watu special kwaajiri ya ku extract infos by torturing suspects tena wakiongozwa na sheria maalumu za utesaji.
 
Kaka kashawishiwa kumpeleka mdogo wake polisi alifkiri wanapiga viboko pekee, Kilichotokea mdogo wake kapigwa marungu ya korodani hadi zimepasuka... Funzo hapa ni kwamba usije mpeleka mtu yoyote polisi, Sidhani kama huyu dogo atakuja kumsamehe kaka yake
Huyo ndugu yangu kwanza tutakaa km paka na panya hata kutafuta bangi unaweka kwenye begi lake harafu unawatonya nae ajaribu kwenda kuona km ni sehem nzuri mm nilisha sema km ndugu ananipeleka polisi undugu unaisha hapo hapo ...
 
Kuna Askari anaitwa Palangyo alikuwa ni RTO Shinyanga aliniletea habari za kikuda akataka kuniweka ndani mimi na mtoto wangu, mdogo wangu alikaa ndani kama nusu saa mimi akaogopa kuniweka ndani,nilipiga simu moja tu hadi sasa yupo stend ya Shinyanga na barabarani anapigwa na jua.
Palangyo yule alikua na harrier yake [emoji23][emoji23] muacheni aendelee kujiuguza afande
 
ukitaka usisumbuliwe na polisi.

1,wasikilize zaidi,ukijibu jibu mambo ya msingi.
2,wacha vitisho vya aina yoyote.
3,wacha kugusia kuijua sheria,hapa kosa hubadilishwa haraka na kubambikiwa kosa.
4,wacha harakati maandazi,hutulii kama unawashwa makalio,mara ujifanye mbavu,watakutoa wenge kwa makofi.
5,mwisho kabisa uwe na adabu,hii itafanya uheshimiwe pia na kupewa haki zako za msingi kama kuwasiliana na watu wa karibu na hata kuaga.

kama una msuli tengua yote tu hapo ili mheshimiane kwani shingapi bana!!!! but mind you mwisho lazima wewe upoteze pambano.
Nimevunja sheria zote hizo tano na bado nikawatoa kwa knockout
 
Back
Top Bottom