Willima
Member
- Jul 27, 2022
- 26
- 39
Masuala ya kijinsia yanajumuisha nyanja na masuala yote yanayohusiana na Maisha na hali ya mwanamke na mwanaume katika jamii, jinsi wanavyohusiana, na tofauti zao katika upatikanaji na matumizi ya rasilimali, shuguli zao, na jinsi wanavyo itikia mabadiliko mbalimbali katika jamii. Jinsia ni aina mbalimbali za sifa zinazohusu mwanamke na mwanaume na tofauti zao kulingana na miundo ya kijamii inayo zingatia majukumu ya kila jinsia.
Jinsia ni ya umuhimu mkumbwa katika kufafanua uwezo na fursa ambazo baadhi ya Watu wanao na baadhi ya Watu hawana kaika jamii fulani. Pia kutafsiri na kutathmini jinsia za Watu wengine huathiri ushirmikiano baina ya jinsia katika jamii na maeneo mbalimbali ya kikazi, huu unyanyapaaji wa jinsia hususani jinsia ya kike katika maeneo ya kazi huathiri maemdeleo ya mtu binafsi na jamii kwa ujumla.
Unyanyasaji wa wanawake wanaofanya kazi ya kuhudumu bar umekithiri, suala hili limekuwa likijitokeza mara kwa mara, wahudumu wengi wa Baa hususani wanawake wamekuwa wakikabiliana na matatizo mbalimbali kutoka kwa wateja wao hasa wa jinsia ya kiume, matatizo hayo ni kama kupokea maneno machafu kutoka kwa wateja wao na pia kushikwa kushikwa katika maeneo mabaya ya miili yao.
Hizi ni kero kubwa sana ambazo huvumiliwa na wahudumu wakike wa Baa, kwakuwa wanahitaji kipato na hawana njia nyingine ya kuwaingizia pesa ili waweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku.
Unyanyasaji huu hupelekea wanawake wengi kukata tamta ya kuendelea kufanya kazi hiyo hivyo husababisha wengi kuacha kazi na hali hii hurudisha nyuma maendeleo ya mtu binafsi na jamii kwa ujumla.
Wanawake wanaofanya kazi ya kuhudumu Baa waheshimiwe kwani nao wanatafuta riziki kama watu wanao fanya shughuli zingine.
Kuheshimu kazi ya mtu mwingine ni morali tosha kwa mtu anayefanya kazi hiyo, heshimu kazi ya mwingine ili umjenge katika kazi hiyo na ili kuleta maendekeo katika jamii.
Jinsia ni ya umuhimu mkumbwa katika kufafanua uwezo na fursa ambazo baadhi ya Watu wanao na baadhi ya Watu hawana kaika jamii fulani. Pia kutafsiri na kutathmini jinsia za Watu wengine huathiri ushirmikiano baina ya jinsia katika jamii na maeneo mbalimbali ya kikazi, huu unyanyapaaji wa jinsia hususani jinsia ya kike katika maeneo ya kazi huathiri maemdeleo ya mtu binafsi na jamii kwa ujumla.
Unyanyasaji wa wanawake wanaofanya kazi ya kuhudumu bar umekithiri, suala hili limekuwa likijitokeza mara kwa mara, wahudumu wengi wa Baa hususani wanawake wamekuwa wakikabiliana na matatizo mbalimbali kutoka kwa wateja wao hasa wa jinsia ya kiume, matatizo hayo ni kama kupokea maneno machafu kutoka kwa wateja wao na pia kushikwa kushikwa katika maeneo mabaya ya miili yao.
Hizi ni kero kubwa sana ambazo huvumiliwa na wahudumu wakike wa Baa, kwakuwa wanahitaji kipato na hawana njia nyingine ya kuwaingizia pesa ili waweze kukidhi mahitaji yao ya kila siku.
Unyanyasaji huu hupelekea wanawake wengi kukata tamta ya kuendelea kufanya kazi hiyo hivyo husababisha wengi kuacha kazi na hali hii hurudisha nyuma maendeleo ya mtu binafsi na jamii kwa ujumla.
Wanawake wanaofanya kazi ya kuhudumu Baa waheshimiwe kwani nao wanatafuta riziki kama watu wanao fanya shughuli zingine.
Kuheshimu kazi ya mtu mwingine ni morali tosha kwa mtu anayefanya kazi hiyo, heshimu kazi ya mwingine ili umjenge katika kazi hiyo na ili kuleta maendekeo katika jamii.