Unyanyasaji wa wapinzani wakati wa Magufuli na huu wa Rais Samia kunawafanya wapinzani kufikia "The point of no return"

Unyanyasaji wa wapinzani wakati wa Magufuli na huu wa Rais Samia kunawafanya wapinzani kufikia "The point of no return"

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Rais Samia, una impact moja: kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa sana, na kama ni kuuwawa, wenzao wengi wameshauawawa sasa kwanini wao wawe tena hofu.

Hali waliofikishwa viongozi wa upinzani na wanachama na mashabiki wa upinzani, ni sawa na hatu ambayo mtu hufikia kufanya maamuzi magumu ya kujinyonga baada ya kuona kuna mambo yamemuelemea/yanamtesa na sasa haoni tena faida ya kuishi na anakuwa amejenga ujasiri wa kujiua. Hii ndio hatua wapinzani wa nchi hii wamefikishwa na tawala hizi za kimabavu.

SATIVA na Mdude ni ushahidi mzuri wa hichi nachesema. Hata Godbless Lema kupitia video aliojirekodi kaweka wazi kuwa safari hii hatakimbia tena nje ya nchi na hata sms inayodaiwa kuwa ni ya Lissu akimwambia OCD kuwa yuko teyari watoe roho yake, ni ushahidi mwingine wa hiki nachokisema.

Pia soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

Hivyo, kama watawala wanafikiria kutumia dola dhidi ya wapinzani ndio kutawafanya wawe waoga au warudi nyuma, ukweli ni kwamba, wanawajengea ujasiri kupitia shida na hayo mateso wanayowapa na kuwafanya wafikie "the point of no return" katika mapambano na kuona ni bora kufia vitani kuliko kuendelea kunyanyaswa' Hata wapelstina hii ndio spirit yao japo hawana jeshi kama la wayahudi ila wanapambana bila kujali wao ndio wanakufa kwa wingi zaidi.

Kwa msingi huo, halii hii ya wao kuona hawana tena cha kupoteza ndio itawafanya wajitokeza tena bila woga mbele ya askari waliosambazwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaama. Na tunakoelekea, itafika hatua wananchi hawataogopa wala kutishika tena na uwepo wa askari mitaani.

Ndio maana kuna wakati unaweza kuona swala au nyati anajitokeza kupambana na Simba. Mfano ni pale swala au nyati anapoona maisha yake hayana maana tena baada ya Simba kuwa ameua au kujeruhi kitoto chake au mmoja wao katika kundi.

That is nature, and that is also the nature of human being if not all animals on this planet.
 
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Raisi Samia, una impact moja:kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa sana, na kama ni kuuwawa, wenzao wengi wameshauawawa sasa kwanini wao wawe tena hofu.

Hali waliofikishwa viongozi wa upinzani na wanachama na mashabiki wa upinzani, ni sawa na hatu ambayo mtu hufikia kufanya maamuzi magumu ya kujinyonga baada ya kuona kuna mambo yamemuelemea/yanamtesa na sasa haoni tena faida ya kuishi na anakuwa amejenga ujasiri wa kujiua. Hii ndio hatua wapinzani wa nchi hii wamefikishwa na tawala hizi za kimabavu.

SATIVA na Mdude ni ushahidi mzuri wa hichi nachesema. Hata Godbless Lema kupitia video aliojirekodi kaweka wazi kuwa safari hii hatakimbia tena nje ya nchi na hata sms inayodaiwa kuwa ni ya Lissu yuko teyari watoe roho yake ni ushahidi mwingine.

Hivyo, kama watawala wanafikiria kutumia dola dhidi ya wapinzani ndio kutawafanya wawe waoga au warudi nyuma, ukweli ni kwamba wanawajengea ujasiri kupitia shida na hayo mateso wanayowapa na kuwafanya wafikie "the point of no return" katika mapambano.

Hatua hii ndio itawafanya wajitokeza tena sia ajabu mbele ya askari waliosambazwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaama na itafika hatua wananchi hawataogopa wala kutishika na uwepo wa askari mitaani.

Ndio maana kuna wakati unaweza kuona swala au nyati anajitokeza kupambana na Simba. Mfano ni pale swala au nyati anapoona maisha yake hayana maana tena kama Simba ameua au kujeruhi kitoto chake au mmoja wao katika kundi.

That is nature, and that is also the nature of human being if not all animals on this planet.
Tafuta shughuli kuongeza kipato utanishukuru usisahau na kunywa maji mengi
 
Tafuta shughuli kuongeza kipato utanishukuru usisahau na kunywa maji mengi
Wewe chawa unaeishi kwa kujipendekeza, ndio unapaswa kutafuta shughuli ya kufanya na sio kutetea kila ujinga na upuuzi wa mabosi wako ili tu wanao waweza kwenda chooni.
 
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Raisi Samia, una impact moja:kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa sana, na kama ni kuuwawa, wenzao wengi wameshauawawa sasa kwanini wao wawe tena hofu.

Hali waliofikishwa viongozi wa upinzani na wanachama na mashabiki wa upinzani, ni sawa na hatu ambayo mtu hufikia kufanya maamuzi magumu ya kujinyonga baada ya kuona kuna mambo yamemuelemea/yanamtesa na sasa haoni tena faida ya kuishi na anakuwa amejenga ujasiri wa kujiua. Hii ndio hatua wapinzani wa nchi hii wamefikishwa na tawala hizi za kimabavu.

SATIVA na Mdude ni ushahidi mzuri wa hichi nachesema. Hata Godbless Lema kupitia video aliojirekodi kaweka wazi kuwa safari hii hatakimbia tena nje ya nchi na hata sms inayodaiwa kuwa ni ya Lissu akimwambia OCD kuwa yuko teyari watoe roho yake, ni ushahidi mwingine wa hiki nachokisema.

Hivyo, kama watawala wanafikiria kutumia dola dhidi ya wapinzani ndio kutawafanya wawe waoga au warudi nyuma, ukweli ni kwamba, wanawajengea ujasiri kupitia shida na hayo mateso wanayowapa na kuwafanya wafikie "the point of no return" katika mapambano na kuona ni bora kufia vitani kuliko kuendelea kunyanyaswa na hata wapelstina hii ndio spirit yao japo hawana jeshi kama la wayahudi ila wanapambana bila kujali wao ndio wanakufa kwa wingi zaidi.

Kwa msingi huo, halii hii ya wao kuona hawana tena cha kupoteza ndio itawafanya wajitokeza tena bila woga mbele ya askari waliosambazwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaama na tunakoelekea, itafika hatua wananchi hawataogopa wala kutishika tena na uwepo wa askari mitaani.

Ndio maana kuna wakati unaweza kuona swala au nyati anajitokeza kupambana na Simba. Mfano ni pale swala au nyati anapoona maisha yake hayana maana tena baada ya Simba kuwa ameua au kujeruhi kitoto chake au mmoja wao katika kundi.

That is nature, and that is also the nature of human being if not all animals on this planet.
Unyanyasaji gani unaouzungumzia?? Au ule uhuru aliowapa Mama wa kufanya mikutano, kuongea kwa uhuru, kufanya. Siasa ambazo huko nyuma mlizuiliwa, na mwisho mkaanza matusi na kejeli kwa aliyewapa uhuru, na sasa mmekwenda mbali na kutaka kupoka mamlaka ya Amir jesh mkuu!! Kweli machadema akili zenu kama za mbuzi tu!!
 
Unyanyasaji gani unaouzungumzia?? Au ule uhuru aliowapa Mama wa kufanya mikutano, kuongea kwa uhuru, kufanya. Siasa ambazo huko nyuma mlizuiliwa, na mwisho mkaanza matusi na kejeli kwa aliyewapa uhuru, na sasa mmekwenda mbali na kutaka kupoka mamlaka ya Amir jesh mkuu!! Kweli machadema akili zenu kama za mbuzi tu!!
Uhuru wao uko kikatiba na sio hisani ya mtu. Kwani uraisi wake ni wa hisani au ni wa kikatiba? Bila hii katiba yeye angekuwa Raisi?
 
Uhuru wao uko kikatiba na sio hisani ya mtu. Kwani uraisi wake ni wa hisani au ni wa kikatiba? Bila hii katiba yeye angekuwa Raisi?
Katiba yenu tu ya machadema hamuiheshimu, Leo mtaheshimu katiba hii?? ni ibara gani hiyo inayotoa uhuru wa kumtukana, na kumwamuru mkuu wa nchi aondoke??
 
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Raisi Samia, una impact moja:kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa sana, na kama ni kuuwawa, wenzao wengi wameshauawawa sasa kwanini wao wawe tena hofu.

Hali waliofikishwa viongozi wa upinzani na wanachama na mashabiki wa upinzani, ni sawa na hatu ambayo mtu hufikia kufanya maamuzi magumu ya kujinyonga baada ya kuona kuna mambo yamemuelemea/yanamtesa na sasa haoni tena faida ya kuishi na anakuwa amejenga ujasiri wa kujiua. Hii ndio hatua wapinzani wa nchi hii wamefikishwa na tawala hizi za kimabavu.

SATIVA na Mdude ni ushahidi mzuri wa hichi nachesema. Hata Godbless Lema kupitia video aliojirekodi kaweka wazi kuwa safari hii hatakimbia tena nje ya nchi na hata sms inayodaiwa kuwa ni ya Lissu akimwambia OCD kuwa yuko teyari watoe roho yake, ni ushahidi mwingine wa hiki nachokisema.

Hivyo, kama watawala wanafikiria kutumia dola dhidi ya wapinzani ndio kutawafanya wawe waoga au warudi nyuma, ukweli ni kwamba, wanawajengea ujasiri kupitia shida na hayo mateso wanayowapa na kuwafanya wafikie "the point of no return" katika mapambano na kuona ni bora kufia vitani kuliko kuendelea kunyanyaswa na hata wapelstina hii ndio spirit yao japo hawana jeshi kama la wayahudi ila wanapambana bila kujali wao ndio wanakufa kwa wingi zaidi.

Kwa msingi huo, halii hii ya wao kuona hawana tena cha kupoteza ndio itawafanya wajitokeza tena bila woga mbele ya askari waliosambazwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaama. Na tunakoelekea, itafika hatua wananchi hawataogopa wala kutishika tena na uwepo wa askari mitaani.

Ndio maana kuna wakati unaweza kuona swala au nyati anajitokeza kupambana na Simba. Mfano ni pale swala au nyati anapoona maisha yake hayana maana tena baada ya Simba kuwa ameua au kujeruhi kitoto chake au mmoja wao katika kundi.

That is nature, and that is also the nature of human being if not all animals on this planet.
Si ujitoe tu mhanga (jijinge kabisa)kama kweli wewe ni mpinzani halisi?
 
Uhuru wao uko kikatiba na sio hisani ya mtu. Kwani uraisi wake ni wa hisani au ni wa kikatiba? Bila hii katiba yeye angekuwa Raisi?
Katiba ya chadema inasemaje kuhusu uwepo mwenyekiti wa milele?
 
Acha wanyanyaswe maana walihurumiwa sasa wanajifanya wameota mikia, hakun mtawala atakae kubali umkashifu na kumtolea maneno machafu hadharan kwa kisingizio cha demokrasia ndio maan hata wao wakisemwa wafuasi wao wanatukana kwasababu wanaumia kuona viongoz wao wanatukanwa basi wajue na wenzao wanaumia pia, kama uhuru walipewa mikutano wakaruhusiwa na maandamano wakaruhusiwa nchi nzima waandamane wakapewa na ulinzi sasa wanao haitoshi wanataka kufanya fujo kuipindua serikali, kama wao wazalendo kweli si wasubir mwakan uchaguzi ili wachaguliwe na wananchi wenyew mbona wanataka kulazimisha kitu ambacho wananchi hawataki? Miaka mingap wamegombea wameangukia kisogo? Wananchi wangewataka si wangewachagua wao, sasa nasema hiv atakae andaman avunjwe miguu yote akatie garama ukoo wake huko wa kumchangia.

Matusi povu ruksa leteni maan najua hoja hamna zaid ya matusi.
 
Katiba yenu tu ya machadema hamuiheshimu, Leo mtaheshimu katiba hii?? ni ibara gani hiyo inayotoa uhuru wa kumtukana, na kumwamuru mkuu wa nchi aondoke??
Ni ibara gani inayompa kiongozi uhalali wa kuagiza mtu apigwe risasi au atekwe na kisha auwawe? Ni ibara gani inayompa kiongozi uhuru wa kuwambia wananchi "wanabweka" au kuwaambia wameota mikia?Usiwe kilaza kiasi hicho.
 
Unyanyasaji gani unaouzungumzia?? Au ule uhuru aliowapa Mama wa kufanya mikutano, kuongea kwa uhuru, kufanya. Siasa ambazo huko nyuma mlizuiliwa, na mwisho mkaanza matusi na kejeli kwa aliyewapa uhuru, na sasa mmekwenda mbali na kutaka kupoka mamlaka ya Amir jesh mkuu!! Kweli machadema akili zenu kama za mbuzi tu!!
Hadi wanatia huruma
 
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Raisi Samia, una impact moja:kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa sana, na kama ni kuuwawa, wenzao wengi wameshauawawa sasa kwanini wao wawe tena hofu.

Hali waliofikishwa viongozi wa upinzani na wanachama na mashabiki wa upinzani, ni sawa na hatu ambayo mtu hufikia kufanya maamuzi magumu ya kujinyonga baada ya kuona kuna mambo yamemuelemea/yanamtesa na sasa haoni tena faida ya kuishi na anakuwa amejenga ujasiri wa kujiua. Hii ndio hatua wapinzani wa nchi hii wamefikishwa na tawala hizi za kimabavu.

SATIVA na Mdude ni ushahidi mzuri wa hichi nachesema. Hata Godbless Lema kupitia video aliojirekodi kaweka wazi kuwa safari hii hatakimbia tena nje ya nchi na hata sms inayodaiwa kuwa ni ya Lissu akimwambia OCD kuwa yuko teyari watoe roho yake, ni ushahidi mwingine wa hiki nachokisema.

Hivyo, kama watawala wanafikiria kutumia dola dhidi ya wapinzani ndio kutawafanya wawe waoga au warudi nyuma, ukweli ni kwamba, wanawajengea ujasiri kupitia shida na hayo mateso wanayowapa na kuwafanya wafikie "the point of no return" katika mapambano na kuona ni bora kufia vitani kuliko kuendelea kunyanyaswa na hata wapelstina hii ndio spirit yao japo hawana jeshi kama la wayahudi ila wanapambana bila kujali wao ndio wanakufa kwa wingi zaidi.

Kwa msingi huo, halii hii ya wao kuona hawana tena cha kupoteza ndio itawafanya wajitokeza tena bila woga mbele ya askari waliosambazwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaama. Na tunakoelekea, itafika hatua wananchi hawataogopa wala kutishika tena na uwepo wa askari mitaani.

Ndio maana kuna wakati unaweza kuona swala au nyati anajitokeza kupambana na Simba. Mfano ni pale swala au nyati anapoona maisha yake hayana maana tena baada ya Simba kuwa ameua au kujeruhi kitoto chake au mmoja wao katika kundi.

That is nature, and that is also the nature of human being if not all animals on this planet.
Jitokeze mkuu jumatatu ukaandamane maana uko "point of no return"🤣🤣🤣
 
Wewe chawa unaeishi kwa kujipendekeza, ndio unapaswa kutafuta shughuli ya kufanya na sio kutetea kila ujinga na upuuzi wa mabosi wako ili tu wanao waweza kwenda chooni.
Ukijitambua unakuwa huru,wewe subiri watakuletea viroba vya unga nyumbani kwako
 
Mnatamani kuona watu wanakuwa makondoo ili muendelee kuiba uchaguzi na kubaki madarakani
Kuiba uchaguzi tena. Tulia basi, shuka kwenye boda ndio uandike blaza. We huogopi toka chama kiundwe kina mwenyekiti mmoja? Akifanikiwa kushika dola kutakua na uchaguzi?
 
Yani ccm ni kama ukoo halafu wakali ukitaka upange unavyotaka wewe,inabidi ukubaliane na ukoo wako.me nachukua kadi yangu ccm sina shida.ivi jiulize msanii wa uganda awe rais wakati museven kahustle hadi kuja kusoma bongo.chadema wafanye kazi na wananchi kwa vitendo hawana ziada kwakwel.twendeni ccm tu ndugu zangu
 
Back
Top Bottom