Unyanyasaji wa wapinzani wakati wa Magufuli na huu wa Rais Samia kunawafanya wapinzani kufikia "The point of no return"

Unyanyasaji wa wapinzani wakati wa Magufuli na huu wa Rais Samia kunawafanya wapinzani kufikia "The point of no return"

Ni ibara gani inayompa kiongozi uhalali wa kuagiza mtu apigwe risasi au atekwe na kisha auwawe? Ni ibara gani inayompa kiongozi uhuru wa kuwambia wananchi "wanabweka" au kuwaambia wameota mikia?Usiwe kilaza kiasi hicho.
We ulimwona wapi anamtuma mtu akatekwe???? Akili kichwani huna umejaza makamasi tupu.
 
Ha ha ha ha msanii Mbowe, ilibidi tu ajitokeze la sivyo wafadhili wake wasingemuelewa, ndio maana akawaanda akina Kikeke wawe pale anaposhukia ili ashikwe haraka bila kipondo, awahi ndani halafu nyumbu kama wewe muendelee kumuamini, na yeye aendelee kupiga pesa, kwanza we uliona anaandamana??
 
Ha ha ha ha msanii Mbowe, ilibidi tu ajitokeze la sivyo wafadhili wake wasingemuelewa, ndio maana akawaanda akina Kikeke wawe pale anaposhukia ili ashikwe haraka bila kipondo, awahi ndani halafu nyumbu kama wewe muendelee kumuamini, na yeye aendelee kupiga pesa, kwanza we uliona anaandamana??
Kwanza hivi nyie ni chama cha siasa mpaka tusumbuke kubishana na nyie wakati siasa zimewashinda mnategemea Polisi?
 
Kwanza hivi nyie ni chama cha siasa mpaka tusumbuke kubishana na nyie wakati siasa zimewashinda mnategemea Polisi?
Wewe hujui namna ambavyo wananchi wanamkubali Mama, we ngoja uone uchaguzi huu anavyoupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom