Unyutro wa Mtandao wa Twitter/X wazidi kuzorota siku ya uchaguzi

Unyutro wa Mtandao wa Twitter/X wazidi kuzorota siku ya uchaguzi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mtandao wa Twitter/X ndio jukwaa maarufu zaidi na pendwa la kimtandao kwa miaka mingi ya hivi karibuni katika kutoa taarifa za mambo ya siasa, katika uchaguzi huu wa Marekani unaondelea wadau wa Democrats wanalalamika X kumbeba Trump na kukandamiza taarifa zao leo siku ya uchaguzi.

Leo siku ya uchaguzi hofu imezidi kuwangia Democrats na wamezidi kulalama baada ya taarifa kusambaa kwamba mmiliki wa X Elon Musk atalala kwa Trump wakiwa wanasubiria matokeo ya uchaguzi mapema, hii ni kwa kuzingatia kwamba Elon Musk ana nguvu kubwa za kuamua namna taarifa za X zinvyoweza kutolewa au kupatikana.
 
Duh Elon angejiuzuia asiingie kwenye siasa ingependeza zaidi a focus kwenye miradi yake
 
Duh Elon angejiuzuia asiingie kwenye siasa ingependeza zaidi a focus kwenye miradi yake
Unapata wapi nguvu za kumshauri TaGri wa dunia na wewe ukiwa matakoni mwa dunia na huu muda wa saa 5 na dkk 46 usiku ni muda wa kupumzika lakini wewe mmatumbi bado upo macho kama mlinzi wa SUMA.
 
Back
Top Bottom