Unywaji Wa maji kupita kiasi.

Unywaji Wa maji kupita kiasi.

Kama huna ugonjwa wa kisukari, basi nakushauri nenda Muhimbili ukapime ufanyaji kazi wa grand yako ya Thyroid wenda ikawa inafanya kazi chini ya kiwango - watapima damu yako na kujua kama Thyroid ina tatizo au la - natoa ushauri tu, usipuuzie.
Shukrani sana mkuu. Nikipata majibu ya sukari basi nitajua nifanye nini, mkuu ila itakuwa rahisi kupenya muhimbili kupima hii kitu kweli?
 
ila mtoa mada nakusifu kwa upole,majibu yote ya kebei tunayobupa we unajibu kistaarabu tu hongera
Mkuu tumeambiwa tuwe wapole kama hua/njiwa ila werevu kama nyoka. Asante kwa mchango wako mkuu mdukuzi.
 
Wasalam,

Madaktari naomba msaada, nimekuwa nakunywa maji na kukojoa kila wakati. Kiu inakuwa Kali kiasi nahisi kuchanganyikiwa midomo inakuwa kama imekauka hivi na dawa pekee ni maji, nakunywa maji hadi Lita 6 kwa siku. Nikinywa maji nahisi kabisa tumbo limejaa lakini bado kiu inakuja Kali.

Ratiba ya maji kama Inavyopendekezwa na wadau humu ndani nashindwa kabisa kuifuata, huwa naanza vizuri asubuhi tu kwa kunywa glasi moja ya maji ya moto, Mara baada ya kupata chai ndio shida inaanza hapo, nitakunywa maji mfuliluzo hadi mida ya lunch nikimaliza kula nakunywa maji endlessly hadi jioni na Nikila chakula cha jioni ni kiu Kali ya maji , nimekuwa nikilala SAA 6-7 sababu ya usumbufu Wa kukojoa na nahitajika kuamka kila wakati,

Nahisi nakojoa kupita kiasi cha maji ninayo kunywa... Hili lilianza 2013 lakini nilipima sukari na kukutwa sina, nimebahatika kupata watoto wawili, kipindi chote cha ujauziti huwa sinywi maji na wala huwa sina kiu km sasa.

Nawaombeni msaada nimetoa hayo maelezo ili muweze kunishauri vizuri. Asanteni.
Possibly it can be kisukari, au Msongo wa mawazo. Vyote hivyo husababisha mwili kuhisi kiu na mdomo kukauka, kisukari husababisha pia kukojoa mara kwa mara. Tafadhali kamwone daktari
 
Hali hii si ya kawaida, hebu wenye msaada juu hili mtusaidie tujue.
Kitu kingine umenikumbusha Mimi mwenyewe mwili wangu hauna uwezo wa kustahimili maji hata glass moja lazima nikojoe tu, haijalishi ninasweat au vip, bado maji huwa hayakai mwiliini, na kwa upande wangu nisaidieni, wakuu
Unaweza kuwa na matatizo ya figo, au misuli yakuzuia kibofu cha mkojo imelegea, nenda kamwone daktari
 
Wasalam,

Madaktari naomba msaada, nimekuwa nakunywa maji na kukojoa kila wakati. Kiu inakuwa Kali kiasi nahisi kuchanganyikiwa midomo inakuwa kama imekauka hivi na dawa pekee ni maji, nakunywa maji hadi Lita 6 kwa siku. Nikinywa maji nahisi kabisa tumbo limejaa lakini bado kiu inakuja Kali.

Ratiba ya maji kama Inavyopendekezwa na wadau humu ndani nashindwa kabisa kuifuata, huwa naanza vizuri asubuhi tu kwa kunywa glasi moja ya maji ya moto, Mara baada ya kupata chai ndio shida inaanza hapo, nitakunywa maji mfuliluzo hadi mida ya lunch nikimaliza kula nakunywa maji endlessly hadi jioni na Nikila chakula cha jioni ni kiu Kali ya maji , nimekuwa nikilala SAA 6-7 sababu ya usumbufu Wa kukojoa na nahitajika kuamka kila wakati,

Nahisi nakojoa kupita kiasi cha maji ninayo kunywa... Hili lilianza 2013 lakini nilipima sukari na kukutwa sina, nimebahatika kupata watoto wawili, kipindi chote cha ujauziti huwa sinywi maji na wala huwa sina kiu km sasa.

Nawaombeni msaada nimetoa hayo maelezo ili muweze kunishauri vizuri. Asanteni.
Kapime sukari kwenyedamu huenda una kisukari, kwasasa punguza au acha kabisa soda, bia, sukari hadi itakapofahamika ni nini
 
Mkuu twende hospitali kwa msaada zaidi, hata hivo Leo jioni nkiwahi naenda hospitali, nikichelewa kesho mbio asubuhi.
WAHI MKUU.MI NILIANZA KUNYWA MAJI LITA 5-7 MWISHO WA YOTE PRE DIABETES PATIENT.ILA NAMSHUKURU MUNGU NIPO NJEMA
 
Vip ujawa mweupe? Ray alisema watu wakaangaika na ndoo za maji waaap vip kwako?
 
Back
Top Bottom