Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 489
- 386
Habari wakuu, Kama kichwa habari kinavyo eleza ya kuwa waafrika na waasia hawawezi kunufaika kiafya kwa kunywa maziwa.
Kwa utafiti uliofanywa na chuo kikuu Cha Cornell kimegundua ya kuwa watu wengi -- kama asilimia 60 na hasa wale wenye asili ya Asia na Afrika -- wanaacha kuzalisha lactase, kimeng'enya kinachohitajika kusaga maziwa, kwani kimsingi ni watu ambao mababu zao walitoka sehemu ambazo mifugo ya maziwa inaweza kufugwa kwa usalama na kiuchumi, kama vile huko Uropa, ambao wamekuza uwezo wa kusaga maziwa na hapa wakiangalia wakigusia adhari hizo za ki-DNA zimetokea kabla ya 1900.
Ingawa watoto wote wa mamalia hunywa maziwa ya mama zao, wanadamu ndio mamalia pekee ambao hunywa maziwa wakiwa watu wazima.
Ila watu wa asili ya kaskazini mwa Ulaya, Wana uwezo wa kuzalisha kimeng'enyo hivyo uwapa sababu ya kunywa maziwa katika maisha yao.
Ni ukweli usiopingika ya kuwa Kila kiumbe kimepewa utaratibu wake wa kula mfano ndege wanatofautiana kwenye vyakula hivyo hivyo kwa wanyama walao majani nk seuze kwa binadamu hivyo kutokana na georgrafia na sababu nyingine za kimaumbile kama rangi, nywele, vimo, nk kwanini isiwe kwenye vyakula pia.
Kuna utafiti uliofanywa nchini Marekani imebaini yakuwa kutokana fast foods kuwa ndio mlo unaliwa na wengi ila imeonekana kuwaadhiri zaidi watu wenye asili ya Afrika na Asia zaidi ndio wanoongoza kwa magonjwa yatokanayo ni kuongezeka uzito wa mwili kupita kiasi.
Source: The Cornell university and many other
Kwa utafiti uliofanywa na chuo kikuu Cha Cornell kimegundua ya kuwa watu wengi -- kama asilimia 60 na hasa wale wenye asili ya Asia na Afrika -- wanaacha kuzalisha lactase, kimeng'enya kinachohitajika kusaga maziwa, kwani kimsingi ni watu ambao mababu zao walitoka sehemu ambazo mifugo ya maziwa inaweza kufugwa kwa usalama na kiuchumi, kama vile huko Uropa, ambao wamekuza uwezo wa kusaga maziwa na hapa wakiangalia wakigusia adhari hizo za ki-DNA zimetokea kabla ya 1900.
Ingawa watoto wote wa mamalia hunywa maziwa ya mama zao, wanadamu ndio mamalia pekee ambao hunywa maziwa wakiwa watu wazima.
Ila watu wa asili ya kaskazini mwa Ulaya, Wana uwezo wa kuzalisha kimeng'enyo hivyo uwapa sababu ya kunywa maziwa katika maisha yao.
Ni ukweli usiopingika ya kuwa Kila kiumbe kimepewa utaratibu wake wa kula mfano ndege wanatofautiana kwenye vyakula hivyo hivyo kwa wanyama walao majani nk seuze kwa binadamu hivyo kutokana na georgrafia na sababu nyingine za kimaumbile kama rangi, nywele, vimo, nk kwanini isiwe kwenye vyakula pia.
Kuna utafiti uliofanywa nchini Marekani imebaini yakuwa kutokana fast foods kuwa ndio mlo unaliwa na wengi ila imeonekana kuwaadhiri zaidi watu wenye asili ya Afrika na Asia zaidi ndio wanoongoza kwa magonjwa yatokanayo ni kuongezeka uzito wa mwili kupita kiasi.
Source: The Cornell university and many other