Unywaji wa maziwa ya ng'ombe hauna tija na afya yako (African and Asian)

Asante sana kwa elimu mkuu🙏🏽.
 
Yeah; If it is documented and written "Seems to be"..... it means that the issue is subject for further investigations.
Kwa mantiki hiyo huo utafiti bado haujakamilika i.e haujafika mwisho. Unaendelea. Tusubiri hatima italeta jawabu gani.
Masuala ya "A" is linked to "B" inatafsiriwa
1. In maths: "A" ina mahusiano na "B" = Relations
2. In biology(Genetics): "A" inatokana na "B" i.e. "A" amerithi kutoka "B" au "B" amerithi kutoka "A" = A & B ni ndugu. Kuna asilimia (100%)ya Muunganiko/ Mfanano/ Uingilianaji
 
Kabisa ndio maana wale wenzetu wa matoke samaki na maharage wanazalisha maji mengi kwenye lile jambo letu lile;;;;😜anyway,,,,,nisha acha uhuni
 
Elites wanajua chakula ni biological weapon, ni ujasusi watu Wana control population. Na wasio jua maana wanapiga kelele hii ni ajabu.
 
Shida naiona ni kwamba tunasubiri aliyetengeneza mfumo aje atuambie ni kweli sio nzuri, na hapa tumegusa uwezo wa mwili wetu kumeng'enya vipi kuhusu ufugaji wakisasa na dawa na sindano zinzotumika kuchochea uzalishaji.
Chemical hizo zinamadhara Gani kwa mlaji? Ni ipi tofauti ya maziwa ya mama na ya wanyama wengine (wachanga), kwa nini wauzaji wa maziwa ya unga wamelazimishwa kuandika ukweli ya kuwa maziwa ya mama ni Bora kuliko ya maziwa yao tena akisisitiza kua mtoto chini ya miezi sita apewe maziwa ya mama, licha yakuandika kwa maandishi madogo chini kabisa. Ila yanasomeka. Pengine tunasubiri watuandikie kwenye lable kama sigara kwa ni hatari kwa afya Yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…