Uchaguzi 2020 Uoga: 2020 Mwaka wa uchaguzi umefika lakini CCM yaendelea kuzuia Mikutano ya hadhara, Msajili wa Vyama aufyata

Kabla ya kuwa Rais Magufuli alikuwa Waziri wa ujenzi alikuwa anasimamia nini ?
 
leo Zitto kakamatwa kwenye kikao cha ndani
 
Hata kama Kampeni zitakuwa siku 7 tu , CCM itavuna Mabua .
 

Attachments

  • Apandacho mtu ndicho atakachovuna ( 268 X 480 ).mp4
    370.1 KB
Hapa san sanaSerikali imeongeza matumizi makubwa ya serikali, na hukuisaidia serikali kuongeza ajira, ni msaada mdogo mno kwa Raia, pamoja na Umuhimu wa Miradi kama ile ya Umeme, Madaraja ya kuvushia magari, na Vivuko lakini Ujenzi hauakisi ongezeko la mapato na Ajira.
Nchi inafilisika
watu wanabobea kwenye Umasikini.
Any way
Mleta mada anamlaumu Msajili wa Vyama ,kwanini kaufyata? wakati vyama havifanyi siasa kama ilivyotarajiwa ili vikuwe na kujijenga?
 
Swadakta
 
Pamoja na hayo lakini kampeni ndio inaishia ishia hivyo siku nyingi nishasema huku hadi uzi nikaleta kuwa hii midmradi inayozinduliwa na kamoeni inapigwa hapo hapo
 
CCM wanatanani hata kampeni zisiwepo....yaani ni waoga balaa!!
 
Majina ya hao madhalimu tuyapate tafadhali, tunaandaa salam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…