Uchaguzi 2020 Uoga: 2020 Mwaka wa uchaguzi umefika lakini CCM yaendelea kuzuia Mikutano ya hadhara, Msajili wa Vyama aufyata

Dictatorship and tyrannic!
 
Zuio la mikutano ya Siasa siyo la kisiasa, inabidi muwe mnaelewa! Wewe unalalamika mbona walioozuiwa hawlalamiki, wewe huwezi kujiuliza kichwani kwako?
 
Hivi kuna waziri aliyewahi kuwa muongo kushinda Mwijage ?
Kosa kubwa lilikuwa kupambana na wafanya biashara kama wezi, wakulima kudhulumiwa mazao, bei zikadorola!!
Vyeti feki ikawa feki!!
Viwanda vingi na maduka vimefungwa, ajira hakuna!!
Sijui maendeleo yako vipi!!
Agenda ni nill wataeleza nini kwa wananchi??
 
Tuliambiwa mapema kwamba , NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…