hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Hello JF members,
Kwa muda mchache nilioishi hapa Tanzania nimebaini tabia ya Watanzania tofauti na wengine.
Uzoefu huu umenifanya nibaini Watanzania 99% ni waoga na wenye mioyo safi na hii ndio sababu kwanini Tanzania Ina amani
👉Tazama ishu ya bandari, mtanzania yupo tayari kusifia tu japokuwa anaumia moyoni , ilimradi tu amfurahishe mkubwa wake kazini.
👉Maandamano mengi yaliyo serious yanazimwa na bom au risasi moja tu 😂 hii nimeishuhudia mara nyingi ndio maana hatuna uwezo wa kuipinga dola kwa namna yoyote.
👉 Tanzania ipo kwenye nchi top twenty duniani , katika list ya nchi zenye low IQ people. IQ ndogo inawapelekea Watanzania wengi wanashindwa ku take risk.
👉Unaweza pia ukaongeza fact hapa , karibuni.
Kwa muda mchache nilioishi hapa Tanzania nimebaini tabia ya Watanzania tofauti na wengine.
Uzoefu huu umenifanya nibaini Watanzania 99% ni waoga na wenye mioyo safi na hii ndio sababu kwanini Tanzania Ina amani
👉Tazama ishu ya bandari, mtanzania yupo tayari kusifia tu japokuwa anaumia moyoni , ilimradi tu amfurahishe mkubwa wake kazini.
👉Maandamano mengi yaliyo serious yanazimwa na bom au risasi moja tu 😂 hii nimeishuhudia mara nyingi ndio maana hatuna uwezo wa kuipinga dola kwa namna yoyote.
👉 Tanzania ipo kwenye nchi top twenty duniani , katika list ya nchi zenye low IQ people. IQ ndogo inawapelekea Watanzania wengi wanashindwa ku take risk.
👉Unaweza pia ukaongeza fact hapa , karibuni.