DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyo bwana NGONYANI n mngoni bila shaka

Tabia za wangoni mnazijua lakini ..VITOMBI SANA sishangai kwa Hilo

Mwandalieni zengwe la fumanizi mimtoe hapo vingnevyo ATATEMBEZA SANA PUMBU HAPO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuh ulawitii umekua mkubwaa sanaa khaaaah.
Mbna hatareee hii lol. [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Huyu ni wa kumfanya hivi tu
 

Attachments

  • FB_IMG_1680551738685.jpg
    13.9 KB · Views: 6
Tanzania usije ukajiloga ukatumia mtu wa serekalin email imekula kwako inaonekana kiumri bado mdogo ndo maana unaropokaropoka na kuchukulia mambo kirahisi
Uko halmashauri ukijifanya mjuaji wanakuondoa
Umri siyo kigezo just a number, lakini unashindwa nini kuandika barua ukatuma posta chini unaandika sisi watumishi bila kutaja jina lako kuna shida gani?
 
Hili suala ni very sensitive ila naona mamlaka zimekaa kimya au jamaa hagusiki kama yeye mwenyewe anavyopendaga kusema kuwa yeye hakuna anayeweza kumgusa.
 
Pole sana mwl. ila ukireport huku usiache kureport na Wizaran kuwa sehemu ya kuwasilisha malalamiko, usiache pia kuandika email kwa waziri wa elimu, CC. TAKUKURU a hata kwa rais, wanafanyia kazi. Ukiwa na lalamiko lolote hakikisha unareport wizara husika mimi nimereport la kudhulumiwa ardhi na wamefanya kazi
 
TAKUKURU unaijua au unaisikia? Hujamsikia JPM aliposema TAKUKURU pia inabidi waundiwe TAKUKURU yao? Wasumbufutu hao
 
Naomba JF ifuatilie kwa karibu hili jambo, huyo mtu aondolewe haraka. Anakatisha tamaa waalimu. JPM alipinga kwa nguvu zote haya mambo "unanijua mimi ni nani?"
 
Mimi nilijua ni hapa Rungwe tu walimu kushika chuchu za watoto wa shule na kesi kuishia ofisi za kata.

Kumbe hadi huko Moshi yapo.

Ngazi ya chini ya mkurugenz sijui kazi yake ni nini?

Maana siku hizi #MEDIA ina maamuzi kulko hao viongozi..

Tupaze sauti tuone anacholingia ni nini?
 
Moshi manispaa Huwa ina mkosi!

Kuna Ded aliyetoka Mwanga ,kama anamfahamu DC wa Mafia, anyooshe kidole.

Tunafuatilia viruko vyao, tabia zao, mahusiano yao, mwenyendo wao, ndoa zoa na urafiki wao.

Siku chache zijazo tutaziweka Jf,ili watanganyika waeze kujua tumepigwa na kitu kizito!
 
Majungu huwa yapo ila hizi tuhuma jinsi zimeandikwa zinaonesha ni kweli kwa kiasi fulani. Ni vizuri huyo dingi wamuhamishie kijijini, watu wa Moshi asilimia kubwa kwenye ukweli wananyoosha.
 
Kipi kinachofanya mke wa mtu (mwalimu) atembee na bosi wake?
 
Wewe ni mpumbavu sana tena kada wa CCM kabisaa.......mods naomba nisipigwe BAN nimepitiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…