DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bwana Yule kwa sehemu fulani alichochea maovu ya aina hii hasa kipindi cha utemi wake. Eti mtu akionekana tuu kumuunga mkono basi anapata promotion ni hatari sana. Sasa tukajikuta tunapata viongozi hatari sana kwenye sekta nyeti ndani ya taifa letu. Mtu kama huyo anajiamini kufanya hayo kwa sababu anajua anayo connection ndani ya SIRIKALI NA SISIEM. Sijajua alipata wadhifa huo kipindi gani, lakini mashaka makubwa zaidi niliyonayo ni jinsi alivyopata wadhifa huo na sasa hii ndo inapelekea kuyatenda yote haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi mkuu wengi wao ni zao la mwendazake yupo mmoja kule wilaya ya Chamwino ilipo ikulu ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anaitwa zainabu kishegwe alipata nafasi hiyo ya uafisa elimu msingi(w) na mume wake ndiye meya wajiji la dodoma huyo mama nae ni WA hovyo na amesharipotiwa hapa jf mala kwa mala,akijitanda ushungi wake unawezajua pana mtu pale kumbe shetani wa kike.
 
Jukwaa limekuwa la matusi tena mkuu?
Hivi kama siyo upumbavu unaweza kumuambia usiyemjua kwa ujinga wako hata mumeo ana kazi!
Unanijua mimi ni mwanaume au mwanamke?
Kupishana maoni uanze kunikejeli mara mimi mjinga na ukanipa jinsia ya kike ni sawa?
Acha watu waanike maovu kwenye jamii na wawe huru kuzungumza, umekosa hekima
 
Humu jamii forum kuna watu wa hovyo ujuaji mwingi kumbe bure.

Hivi we ni mtu gani usiyejua maana ya hili jukwaa,inakuaje unashangaa malalamiko kuletwa humu? haya ndo malalamiko ya kwanza kuletwa humu?

Mnafikia hatua ya kuporomosheana matusi,do you think clearly?

Alafu mwisho unahitimisha mie sio mtumishi wa umma sasa kiherehere chote cha nini?

Kama ni tuhuma si uchunguzi unafanyika we kinachokuuma ni nini,ye ndo wa kwanza kutuhumiwa?acheni ujuaji bwana
 
Yeyote humu anayetoa maneno mabaya kwa mleta mada ajitafakari vizuri kama kweli kichwani zimo!
 
Maafisa Elimu wengi wanakuwaga kama Miungu watu..kuna mama mmoja alikuaga hapa same..alikuwa kama Simba. Hakuna mtu anafanya kitu akiwa hayupo ni kama sio ofisi ya umma. Sijui yupo wapi kwa sasa ila legacy yake ipo. Wajirekebishe cheo ni dhamana.
 
Hivi kama siyo upumbavu unaweza kumuambia usiyemjua kwa ujinga wako hata mumeo ana kazi!
Unanijua mimi ni mwanaume au mwanamke?
Kupishana maoni uanze kunikejeli mara mimi mjinga na ukanipa jinsia ya kike ni sawa?
Acha watu waanike maovu kwenye jamii na wawe huru kuzungumza, umekosa hekima
We nakufahamu ni mmama
 
Humu jamii forum kuna watu wa hovyo ujuaji mwingi kumbe bure.

Hivi we ni mtu gani usiyejua maana ya hili jukwaa,inakuaje unashangaa malalamiko kuletwa humu? haya ndo malalamiko ya kwanza kuletwa humu?

Mnafikia hatua ya kuporomosheana matusi,do you think clearly?

Alafu mwisho unahitimisha mie sio mtumishi wa umma sasa kiherehere chote cha nini?

Kama ni tuhuma si uchunguzi unafanyika we kinachokuuma ni nini,ye ndo wa kwanza kutuhumiwa?acheni ujuaji bwana
Huyo atakuwa ni miongoni mwa zile mboga za afisa elimu.
 
Maafisa Elimu wengi wanakuwaga kama Miungu watu..kuna mama mmoja alikuaga hapa same..alikuwa kama Simba. Hakuna mtu anafanya kitu akiwa hayupo ni kama sio ofisi ya umma. Sijui yupo wapi kwa sasa ila legacy yake ipo. Wajirekebishe cheo ni dhamana.
Mimi nafikiri itengenezwe thread maalumu kuorodheshwa maafisa elimu wote vimeo nchini na kuambatanisha na Picha zao Ili hao wanaowalinda huko tamisemi waone vimeo vyao!!
 
Mimi nafikiri itengenezwe thread maalumu kuorodheshwa maafisa elimu wote vimeo nchini na kuambatanisha na Picha zao Ili hao wanaowalinda huko tamisemi waone vimeo vyao!!
Naunga hoja mkono pia itasadia hata watakao pata hizo teuzi kutofanya kazi kwa mazoea.
 
Lakini mengine umechapia mwalimu unachuki na huyo afisa na wewe siyo mtumishi wa Mungu kama ulivyojinasibu mtu wa Mungu hawezi andika haya uliyo andika Kwa maana unaonesha unachuki siyo ubapenda haki hapana je umemfuata ukamwonya kama mtumishi wa Mungu?
AKILI NDOGO.
 
Mungu akujuwe vema wewe mwenye akili kubwa
Wakati mwingine majibu kama hayo mnajitakia wenyewe ukute wapo humu watendwa wa huyo afisa elimu kumbuka anatuhuma ya kula wake za watu kwa kutumia cheo chake na mme wake labda ni member wa jf ni lazima ukumbane na kilichokukuta.
 
Kwani kama ushahidi anao Kuna kitu Gani asiripo huko
Wakati mwingine majibu kama hayo mnajitakia wenyewe ukute wapo humu watendwa wa huyo afisa elimu kumbuka anatuhuma ya kula wake za watu kwa kutumia cheo chake na mme wake labda ni member wa jf ni lazima ukumbane na kilichokukuta.
Takukuru wapo namba zao zipo kwanini asiwapigie? Mimi sipendi uonevu rushwa wala utendaji wa dhambi hoja yangu angewapa takukuru lingefanyiwa kazi vizuri kuliko huku jamvini ninakuwa kama udaku au chuki ya awali kwa mtuhumiwa
 
Back
Top Bottom